Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rukwa, Katavi watumia vibaya ARVs

BAADHI ya wanaume katika mikoa ya Rukwa na Katavi wanakiri kutumia dawa za kufubaza virusi vya Ukimwi (VVU) ARVs kama njia ya kujikinga na maambukizi ya VVU wanapokutana kimwili na wanawake wanaouza miili yao maarufu kama ‘changu doa’.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Makahaba watumia Vibaya Hijab Kenya

Makahaba katika baadhi ya sehemu za mji mkuu wa Kenya , Nairobi, wametupilia Mbali vazi la 'Mini skirt na kuanza kutumia Hijab kama njia ya kuwavutia wateja wao

 

11 years ago

Habarileo

Wanawake Rukwa watumia kondomu kama bangili

BAADHI ya wanawake mkoani Rukwa wamebadili matumizi ya kondomu za kike kwa kuzivaa kama urembo wa bangili.

 

10 years ago

Habarileo

Rukwa, Katavi wataka Nanenane ihame Mbeya

WAKULIMA wa mikoa ya Rukwa na Katavi, wametaka uongozi wa Chama cha Wakulima (TASO) unaoratibu sherehe za maonesho ya Nanenane nchini, kuandaa maonesho hayo kwa zamu, badala ya kila mwaka kulazimika kwenda jijini Mbeya ili kuhudhuria maonesho hayo.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli kuanza kampeni Rukwa akitokea Katavi

MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Pombe Magufuli na mgombea mwenza wake, Samia Suluhu Hassan wanatarajia kuanza kampeni zao mkoani Rukwa wakitokea mkoani Katavi.

 

11 years ago

TheCitizen

Two men killed in separate incidents in Katavi and Rukwa

Two people died in separate incidents in Katavi and Rukwa regions.In the first incident, one Makoye Kapagala, 43, a resident of Mnyagala village, was found dead in his house after he had reportedly locked himself inside and then set the house on fire.

 

10 years ago

Michuzi

LOWASSA APATA UDHAMINI WA KISHINDO KATIKA MIKOA YA KATAVI LA RUKWA

 Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Katavi, Mselem Said Abdallah (shati la kitenge) akizungumza machache wakati wa kumkaribisha, Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CCM, Mh. Edward Lowassa, wakati alipofika kwenye ofisi za Chama hicho, Mpanda, Mkoani Katavi leo Juni 14, 2015.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI. Baadhi ya wananchi wa Mji wa Mpanda wakionekana ni wenye furaha nyingi pindi walipomuona Mh. Edward Lowassa akipita kwenye maeneo yao wakati akielekea...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tume ‘Operesheni Tokomeza’ kutembelea Kigoma, Katavi, Rukwa na Mbeya

Manyanda

Katibu wa Tume Wakili Fredrick Manyanda.

Na Mwandishi Wetu

Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza Ujangili imetangaza ratiba ya kwanza ya ziara yake katika Mikoa ya Kigoma, Katavi, Rukwa na Mbeya ili kukusanya taarifa na kupokea malalamiko yaliyotokana na utekelezaji hiyo.

Kwa mujibu wa Taarifa ya Tume hiyo iliyotolewa leo, Jumatano (Septemba 10, 2014) na Katibu wa Tume Wakili Fredrick Manyanda, ziara hiyo itaanza tarehe 17 mwezi huu na kumalizika tarehe 6 mwezi ujao.

Kwa mujibu...

 

10 years ago

GPL

LOWASSA APATA UDHAMINI WA KISHINDO KATIKA MIKOA YA KATAVI, RUKWA

Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CCM, Mh. Edward Lowassa akiwapungia wananchi wa mji wa Mpanda, Mkoani Katavi waliojitokeza kumlaki, wakati alipofika kwenye Ofisi za CCM Wilaya ya Mpanda, Mkoani Katavi, alikofika jana Juni 14, 2015 kwa ajili ya kutafuta udhamini wa wanaCCM ili apate ridhaa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwania Urais wa Tanzania, kwenye Uchachuzi Mkuu, Unaotarajiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani