Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCK kuzindua kampeni za ubunge leo

CHAMA cha Kijamii (CCK), kinazindua kampeni za ubunge leo jijini Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Chausta kuzindua kampeni leo

Mgombea wa ubunge Jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Chausta, Richard Minja atazindua kampeni zake rasmi leo.

 

9 years ago

Habarileo

CCM kuzindua kampeni Zanzibar leo

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) visiwani hapa kinazindua kampeni leo mjini hapa, huku mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho, Dk Ali Mohamed Shein akitarajiwa kuhutubia.

 

11 years ago

Mwananchi

CCM kuzindua kampeni Chalinze leo

>Chama cha Mapinduzi (CCM), kinatarajia kuzindua rasmi kampeni zake za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze leo kwenye Viwanja vya Polisi, Chalinze Mjini, shughuli ambayo itafanywa na viongozi wakuu wa chama hicho ngazi ya taifa.

 

9 years ago

Mwananchi

ACT - Wazalendo kuzindua kampeni leo

Chama cha ACT – Wazalendo leo kinazindua kampeni zake za uchaguzi kwa kuwatambulisha wagombea wote wa ubunge waliosimamishwa kwenye majimbo ya Tanzania –Bara na Zanzibar.

 

11 years ago

Michuzi

CCM YAFUNGA KAZI YA KAMPENI ZA UBUNGE JUMBONI KALENGA LEO

Wananchi wakiwa wamembeba kwa furaha mgombea wa Ubunge jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, kwa tiketi ya CCM, Godfrey Mgimwa, wakati wa mkutano wa kufunga kampeni uliofanywa na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana na kuhudhuria ma maelfu ya wananchi, kwenye Uwanja wa Mnada, Kijiji cha Kidamali, Kata ya Nzihi.  Picha na Bashir Nkoromo

 

9 years ago

Mwananchi

ACT kuzindua kampeni J’pili

Chama cha ACT – Wazalendo kitazindua kampeni zake za uchaguzi kwa kuwatambulisha wagombea wote wa ubunge waliosimamishwa kwenye majimbo ya Tanzania –Bara na Zanzibar. Uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika Agosti 30 katika Uwanja vya Zakhem Mbagala, wilayani Temeke kuanzia saa nne asubuhi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mgombea Chalinze kuzindua kampeni

>Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha AFP, Ramadhani Mgaya amesema kutokana na viongozi wakuu wa chama hicho kuwapo kwenye Bunge la Katiba, safari hii yeye binafsi kwa kushirikiana na viongozi waandamizi wa chama hicho ndiyo watakaozindua kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani