Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Staili ya Magufuli kampeni za Uchaguzi Mkuu

Juni 4, Dk John Magufuli alijitokeza ofisi za Makao Makuu ya CCM, Dodoma, saa 11.30 jioni na kuchukua fomu za kuwania urais, akiwa amevalia sare za chama chake, suruali nyeusi na shati la kijani, akisindikizwa na mbunge wa Nkenge, Asumpter Mshama na wapambe wengine wawili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Staili za Dk Magufuli, Lowassa zakoleza kampeni

Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu zikiwa zinaelekea ukingoni, vituko vinazidi kwenye majukwaa.

 

10 years ago

Vijimambo

MAANDALIZI YA UZINDUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU CCM YAKAMILIKA, MAGUFULI, SAMIA KUUNGURUMA JANGWANI KESHO

 Katibu Muenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Juma 'Gadafi' akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisi kwake leo asubuhi, kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya uzinduzi wa mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu wa chama hicho utaofanyika kesho viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam. Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.Picha zikichukuliwa.
Na Dotto Mwaibale
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kimetangaza ratiba ya uzinduzi wa kampeni za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kampeni za Uchaguzi mkuu zaanza Tanzania

Kampeni za uchaguzi mkuu nchini Tanzania zimeanza rasmi juzi. Oktoba 25 wananchi watapiga kura kuchagua madiwani, wabunge na Rais

 

10 years ago

GPL

MCHAMBUZI AZUNGUMZIA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU

Mchambuzi wa Idara ya Sayansi ya Siasa na Utawala wa Umma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Richard Mbunda, akizungumza jambo kwenye hafla hiyo. Baadhi ya wanahabari na wanaharakati wakiwa katika hafla hiyo. Miongoni wa waliohudhuria hafla hiyo akinyosha mkono kutaka kuchangia mada mbalimbali…

 

10 years ago

GPL

STAILI YA KAMPENI YA LOWASSA YAZUA GUMZO

Mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Ngoyai Lowassa akiwa kwenye daladala. MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Ngoyai Lowassa amezua gumzo kubwa baada ya kutumia staili ya kupanda daladala na wananchi wa kawaida, kitu kinachoonekana kuwa ni kampeni ya aina yake.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1MSRMnv ...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa aibua staili mpya ya kampeni

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa jana alianza kampeni kwa staili ya aina yake kwa kusafiri kwa daladala kuangalia hali ya usafiri wa umma katika Jiji la Dar es Salaam ikiwa ni siku ya tatu tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi.

 

10 years ago

Habarileo

Waziri Mkuu anogesha kampeni za Magufuli

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, jana alikuwa mstari wa mbele kunogesha kampeni za mgombea wa urais wa CCM, Dk John Magufuli, akisisitiza ni chaguo sahihi kwa Watanzania na kwamba hata upatikanaji wake ulikuwa sahihi kwa asilimia 100 na kwamba, yeye aliyekuwa mjumbe wa vikao hivyo ni shuhuda wa hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yamtahadharisha Lowassa staili ya kampeni zake

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtahadharisha mgombea wa urais kwa tiketi ya Chadema Edward Lowassa kuwa kampeni alizoanza kwa kuyatembelea makundi kadhaa zinaweza kutumiwa na maadui wa kisiasa kumdhuru.

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Live. Mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu — C.U.F — Kipangani Ole Pemba.

muumbela is on Mixlr Bofya hapa kucheza moja kwa moja

The post Live. Mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu – C.U.F – Kipangani Ole Pemba. appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani