Staili ya Magufuli kampeni za Uchaguzi Mkuu
Juni 4, Dk John Magufuli alijitokeza ofisi za Makao Makuu ya CCM, Dodoma, saa 11.30 jioni na kuchukua fomu za kuwania urais, akiwa amevalia sare za chama chake, suruali nyeusi na shati la kijani, akisindikizwa na mbunge wa Nkenge, Asumpter Mshama na wapambe wengine wawili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Oct
Staili za Dk Magufuli, Lowassa zakoleza kampeni
10 years ago
VijimamboMAANDALIZI YA UZINDUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU CCM YAKAMILIKA, MAGUFULI, SAMIA KUUNGURUMA JANGWANI KESHO
Na Dotto Mwaibale
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kimetangaza ratiba ya uzinduzi wa kampeni za...
10 years ago
BBCSwahili24 Aug
Kampeni za Uchaguzi mkuu zaanza Tanzania
10 years ago
GPL
MCHAMBUZI AZUNGUMZIA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
10 years ago
GPL
STAILI YA KAMPENI YA LOWASSA YAZUA GUMZO
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Lowassa aibua staili mpya ya kampeni
10 years ago
Habarileo26 Aug
Waziri Mkuu anogesha kampeni za Magufuli
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, jana alikuwa mstari wa mbele kunogesha kampeni za mgombea wa urais wa CCM, Dk John Magufuli, akisisitiza ni chaguo sahihi kwa Watanzania na kwamba hata upatikanaji wake ulikuwa sahihi kwa asilimia 100 na kwamba, yeye aliyekuwa mjumbe wa vikao hivyo ni shuhuda wa hilo.
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Polisi yamtahadharisha Lowassa staili ya kampeni zake
10 years ago
Mzalendo Zanzibar16 Sep
Live. Mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu — C.U.F — Kipangani Ole Pemba.
muumbela is on Mixlr Bofya hapa kucheza moja kwa moja
The post Live. Mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu – C.U.F – Kipangani Ole Pemba. appeared first on Mzalendo.net.