MAANDALIZI YA UZINDUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU CCM YAKAMILIKA, MAGUFULI, SAMIA KUUNGURUMA JANGWANI KESHO
Katibu Muenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Juma 'Gadafi' akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisi kwake leo asubuhi, kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya uzinduzi wa mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu wa chama hicho utaofanyika kesho viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Picha zikichukuliwa.
Na Dotto Mwaibale
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kimetangaza ratiba ya uzinduzi wa kampeni za...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/TUFiBBVU-jQ/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog23 Aug
Kumekucha uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu CCM, Viwanja vya Jangwani leo
Katibu Muenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Juma ‘Gadafi’ akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisi kwake uliofanyika mapema Agosti 22, kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya uzinduzi wa mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu wa chama hicho utaofanyika leo viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.
10 years ago
VijimamboUZINDUZI RASMI WA KAMPENI YA WAZAZI NIPENDENI NI KESHO VIWANJA VYA MWEMBE YANGA JIJINI DAR ES SALAAM MAANDALIZI YAMEKAMILIKA WANA MUZIKI LULUKI KUTOA BURUDANI WANDUGU SAIDIA TUTANI UZINDUZI RASMI NI KESHO
9 years ago
GPLMAANDALIZI YA TAMASHA LA KULIOMBEA TAIFA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU YAKAMILIKA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/TUFiBBVU-jQ/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-eVhScSIEhDQ/VgGH0ytqPYI/AAAAAAAC_cc/fU5BJdqILNc/s72-c/_MG_9123.jpg)
MAGUFULI AMALIZANA NA KAMPENI ZAKE KAGERA,KESHO KUUNGURUMA MKOANI GEITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-eVhScSIEhDQ/VgGH0ytqPYI/AAAAAAAC_cc/fU5BJdqILNc/s640/_MG_9123.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fVQHpII2AqU/VgGHv2n610I/AAAAAAAC_bk/enpYt2ateBY/s640/_MG_9005.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eVhScSIEhDQ/VgGH0ytqPYI/AAAAAAAC_cc/fU5BJdqILNc/s72-c/_MG_9123.jpg)
Dkt. MAGUFULI AMALIZA KAMPENI ZAKE KAGERA, KESHO KUUNGURUMA MKOANI GEITA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/1186.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. John Pombe Magufuli akitoa mpya jukwaani kwa kupiga Push Up kama kumi hivi ili kuwadhihirishia wananchi wa Mjini Karagwe mkoani Kagera kuwa yuko fiti kiafya ili kuwatumikia watanzania mara watakapompa ridhaa ya kuwaongoza Watanzania ifikapo Oktoba 25 mwaka huu katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani .
Huku umati wa Wakazi wa Karagwe...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Jm3wQFpsqcI/Vgqc4kHCKtI/AAAAAAAC_7A/OcrI8jwrgLw/s72-c/_MG_1037.jpg)
MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE,KESHO KUUNGURUMA LIVE UWANJA WA JAMHURI MKOANI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jm3wQFpsqcI/Vgqc4kHCKtI/AAAAAAAC_7A/OcrI8jwrgLw/s640/_MG_1037.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xZX9JChnk4Q/VgqdBWvdObI/AAAAAAAC_7g/QyVuJCxGBr8/s640/_MG_1110.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9HRM0nTu3dI/VWSjdURRdxI/AAAAAAAAG_0/RcIGu8f-vrw/s72-c/Press%2BConf.jpg)
MAANDALIZI YA UZINDUZI WA MANJANO FOUNDATION YAKAMILIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-9HRM0nTu3dI/VWSjdURRdxI/AAAAAAAAG_0/RcIGu8f-vrw/s640/Press%2BConf.jpg)
Shear Illusions inasherehekea mwongo mmoja wa urembo nchini Tanzania kwa kuzindua vipodozi vyake ijulikanayo kama LuvTouch Manjano!Uzinduzi huu utafanyika tarehe 31 Mei 2015 kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee VIP Hall. Shamrashamra hizi pia itatoa fursa kwa kuendeleza mtandao wa kibiashara kwa kina mama na pia mada mbali mbali ya jinsi ya kujikwamua...