MAANDALIZI YA UZINDUZI WA MANJANO FOUNDATION YAKAMILIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-9HRM0nTu3dI/VWSjdURRdxI/AAAAAAAAG_0/RcIGu8f-vrw/s72-c/Press%2BConf.jpg)
Wasichana waliochaguliwa kunufaika na Mpango hup wakiwa Katika Picha ya Pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear illusions Ltd. Mama Shekha Nasser .
Shear Illusions inasherehekea mwongo mmoja wa urembo nchini Tanzania kwa kuzindua vipodozi vyake ijulikanayo kama LuvTouch Manjano!Uzinduzi huu utafanyika tarehe 31 Mei 2015 kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee VIP Hall. Shamrashamra hizi pia itatoa fursa kwa kuendeleza mtandao wa kibiashara kwa kina mama na pia mada mbali mbali ya jinsi ya kujikwamua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMAANDALIZI YA UZINDUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU CCM YAKAMILIKA, MAGUFULI, SAMIA KUUNGURUMA JANGWANI KESHO
Na Dotto Mwaibale
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kimetangaza ratiba ya uzinduzi wa kampeni za...
9 years ago
Michuzi12 Oct
TAASISI YA MANJANO FOUNDATION WAENDELEA KUWANUFAISHA WANAWAKE
![](https://mmi111.whatsapp.net/d/uT3ZLf1yuF7Z0CbS62U2Z1YX8mM/AqPJxU2e7NR9qq4BW6b20jBsg3Jr_Y0NXnGA2xODkSfs.jpg)
10 years ago
MichuziMMILIKI WA SHEAR ILLUSION WAZINDUA MANJANO FOUNDATION
Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.MAMLAKA ya chakula na dawa wamewataka wananchi kuepukana na kutumia bidhaa za vipodozi feki kwani bidhaa hizo zinamadhara makubwa kwa mtumiaji.
Hayo aliyasemwa na Meneja wa Usajili wa vipodozi wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Grace Shimela wakati wa uzinduzi kipodozi aina ya Manjano Lovtouch katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana.
Shimela alisema kuwa wamiliki wote wa bidhaa vya vipodozi wanatakiwa kusajili bidhaa zao ili wafanye...
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Taasisi ya Manjano Foundation wazindua mafunzo ya wajasiriamali
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions Ltd, Mama Shekha Nasser akitoa mada kwenye Mradi wake aliouanzisha kuwejengea Uwezo wanawake Kwenye Ujasiriamali.Mafunzo hayo yalianza jana Chini ya Taasisi ya Manjano Foundation.Lengo la Mradi huo ni kuwajengea Uwezo wanwake wa Kitanzania Kupitia Bidhaa bidhaa za Vipodozi vya Luv touch Manjano kujisimamia na Kujikita Vizuri kwenye Biashara ya Vipodozi na kujua Mbinu Mbalimbali za Biashara kwa lengo la Kumjengea uwezo Mwanamke wa Kitanzania.
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Mama Tunu Pinda azindua Taasisi ya Manjano Foundation
![](http://1.bp.blogspot.com/-ay3W9oC4DVI/VWyC6OJ1WXI/AAAAAAAAHJc/6lIM2fm0IhY/s640/TUNU-3%2B%25281%2529.jpg)
Mgeni Rasmi kwenye halfa ua Uzinduzi wa Taasisi ya Manjano Foundation Pamoja na Vipodozi Pendwa Vijulikanavyo kama Luv Touch Manjano Mke wa Waziri Mkuu Mh Tunu Pinda akitoa Hotuba yake katika Uzinduzi huo .
Katika Hotuba yake Mh Mama Pinda Alisema amefurahishwa sana Kwa Mwanamke wa Kitanzania Kuanzisha Bidhaa amabyo imeweza kushindana na Bidhaa kama hizo kutoka mataifa Mengine.Halfa hiyo iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee.
Hafla hiyo ya uzinduzi ilifunguliwa na mke wa Waziri...
11 years ago
BBCSwahili19 May
Malawi:Maandalizi ya uchaguzi yakamilika
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8e0m82BHkpl-*kjSVlyQQSe6D3Cha0gd8VHd*90fmqWDw4YEH9P0VfxwflyX58kfscl2BP7DpvQdD0CPH3*HbTSWUKgbiv2*/wiz.jpg?width=650)
MAANDALIZI UJIO WA WIZKID YAKAMILIKA
10 years ago
GPLMAANDALIZI YA MKESHA KULIOMBEA TAIFA YAKAMILIKA
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Maandalizi Tenisi Afrika Mashariki yakamilika
MAANDALIZI ya michuano ya Vijana ya Tenisi Afrika Mashariki (Junior East Africa Tennis Championship) yanayotarajiwa kutimua vumbi kwenye viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam Januari 11, mwaka huu yamekamilika....
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10