MMILIKI WA SHEAR ILLUSION WAZINDUA MANJANO FOUNDATION
Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.MAMLAKA ya chakula na dawa wamewataka wananchi kuepukana na kutumia bidhaa za vipodozi feki kwani bidhaa hizo zinamadhara makubwa kwa mtumiaji.
Hayo aliyasemwa na Meneja wa Usajili wa vipodozi wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Grace Shimela wakati wa uzinduzi kipodozi aina ya Manjano Lovtouch katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana.
Shimela alisema kuwa wamiliki wote wa bidhaa vya vipodozi wanatakiwa kusajili bidhaa zao ili wafanye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Taasisi ya Manjano Foundation wazindua mafunzo ya wajasiriamali
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions Ltd, Mama Shekha Nasser akitoa mada kwenye Mradi wake aliouanzisha kuwejengea Uwezo wanawake Kwenye Ujasiriamali.Mafunzo hayo yalianza jana Chini ya Taasisi ya Manjano Foundation.Lengo la Mradi huo ni kuwajengea Uwezo wanwake wa Kitanzania Kupitia Bidhaa bidhaa za Vipodozi vya Luv touch Manjano kujisimamia na Kujikita Vizuri kwenye Biashara ya Vipodozi na kujua Mbinu Mbalimbali za Biashara kwa lengo la Kumjengea uwezo Mwanamke wa Kitanzania.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9HRM0nTu3dI/VWSjdURRdxI/AAAAAAAAG_0/RcIGu8f-vrw/s72-c/Press%2BConf.jpg)
MAANDALIZI YA UZINDUZI WA MANJANO FOUNDATION YAKAMILIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-9HRM0nTu3dI/VWSjdURRdxI/AAAAAAAAG_0/RcIGu8f-vrw/s640/Press%2BConf.jpg)
Shear Illusions inasherehekea mwongo mmoja wa urembo nchini Tanzania kwa kuzindua vipodozi vyake ijulikanayo kama LuvTouch Manjano!Uzinduzi huu utafanyika tarehe 31 Mei 2015 kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee VIP Hall. Shamrashamra hizi pia itatoa fursa kwa kuendeleza mtandao wa kibiashara kwa kina mama na pia mada mbali mbali ya jinsi ya kujikwamua...
9 years ago
Michuzi12 Oct
TAASISI YA MANJANO FOUNDATION WAENDELEA KUWANUFAISHA WANAWAKE
![](https://mmi111.whatsapp.net/d/uT3ZLf1yuF7Z0CbS62U2Z1YX8mM/AqPJxU2e7NR9qq4BW6b20jBsg3Jr_Y0NXnGA2xODkSfs.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Mama Tunu Pinda azindua Taasisi ya Manjano Foundation
![](http://1.bp.blogspot.com/-ay3W9oC4DVI/VWyC6OJ1WXI/AAAAAAAAHJc/6lIM2fm0IhY/s640/TUNU-3%2B%25281%2529.jpg)
Mgeni Rasmi kwenye halfa ua Uzinduzi wa Taasisi ya Manjano Foundation Pamoja na Vipodozi Pendwa Vijulikanavyo kama Luv Touch Manjano Mke wa Waziri Mkuu Mh Tunu Pinda akitoa Hotuba yake katika Uzinduzi huo .
Katika Hotuba yake Mh Mama Pinda Alisema amefurahishwa sana Kwa Mwanamke wa Kitanzania Kuanzisha Bidhaa amabyo imeweza kushindana na Bidhaa kama hizo kutoka mataifa Mengine.Halfa hiyo iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee.
Hafla hiyo ya uzinduzi ilifunguliwa na mke wa Waziri...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--QiP0_NgEJY/VDzBm1ub_0I/AAAAAAAGqY8/W-29JvgEvuk/s72-c/UZINDUZI.jpg)
WORD LUNG FOUNDATION NA SERIKALI YA MKOA WA KIGOMA WAZINDUA KAMPENI YA THAMINI UHAI OKOA MAISHA YA MAMA MJAZITO NA MTOTO
SERIKALI ya Mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la Word Lung Foundation chini ya ufadhili wa Swedish Internatinol Agency (SIDA) wamezindua Mkoani hapa kampeni ya''THAMINI UHAI OKOA MAMA MJAMZITO NA MTOTO''
Mgeni rasmi katika uzinduzi huo Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya alisema kuwa lengo la kampeni hiyo kuongeza na huduma kwa akina mama wajawazito waweze kujifungulia katika vituo vya huduma ya afya.
''Hawa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT0Gr3uZwggto*R-lgl6tO7qJJZ3nSTcTxtfvVT5cJc0wyNX5eUzrb9HLoQZYH*Ln0h829Mn9N1b7wzGdTvJBZ4v/UZINDUZI.jpg?width=650)
WORLD LUNG FOUNDATION NA SERIKALI YA MKOA WA KIGOMA WAZINDUA KAMPENI YA THAMINI UHAI OKOA MAISHA YA MAMA MJAZITO NA MTOTO
11 years ago
TheCitizen15 Feb
ONE MAN'S VIEW: Cold truth: The alpha male is but a dying illusion!
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OzPXjnvvan8/Vm1c-MbjtHI/AAAAAAAAIbA/B9C4PnhkpRs/s72-c/871ba5f9-5e0a-42c6-9dfa-90ecdb2d38f4.jpg)
SHEKHA NASSER wa Shear illusions ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-OzPXjnvvan8/Vm1c-MbjtHI/AAAAAAAAIbA/B9C4PnhkpRs/s640/871ba5f9-5e0a-42c6-9dfa-90ecdb2d38f4.jpg)
siku kadhaa zilizopita, Shekha alisherehekea siku yake ya kuzaliwa ambapo aliamua kujumuika pamoja na wafanyakazi wake katika kusherehekea siku yake hiyo ya kuzaliwa kwa kula mlo wa jioni pamoja pia na washiriki wa Manjano Dream-makers.
Ikiwa ni utamaduni wa kampuni yake kufanya sherehe ya kuuaga mwaka alitumia kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa pamoja na...
9 years ago
Michuzi23 Sep
AFISA MTENDAJI MKUU WA SHEAR ILLUSIONS AFRICA AWATAKA WANAWAKE KUDHUBUTU
![](https://mmi657.whatsapp.net/d/jjvabxwuwmNg3F4CVZSJWFX-aww/Aiv3Y38HuXeQXBpCjL_mdTcssdspxBmPq-IcqSNC0zOq.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10