Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Staili za Dk Magufuli, Lowassa zakoleza kampeni

Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu zikiwa zinaelekea ukingoni, vituko vinazidi kwenye majukwaa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lowassa aibua staili mpya ya kampeni

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa jana alianza kampeni kwa staili ya aina yake kwa kusafiri kwa daladala kuangalia hali ya usafiri wa umma katika Jiji la Dar es Salaam ikiwa ni siku ya tatu tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi.

 

10 years ago

GPL

STAILI YA KAMPENI YA LOWASSA YAZUA GUMZO

Mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Ngoyai Lowassa akiwa kwenye daladala. MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Ngoyai Lowassa amezua gumzo kubwa baada ya kutumia staili ya kupanda daladala na wananchi wa kawaida, kitu kinachoonekana kuwa ni kampeni ya aina yake.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1MSRMnv ...

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yamtahadharisha Lowassa staili ya kampeni zake

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtahadharisha mgombea wa urais kwa tiketi ya Chadema Edward Lowassa kuwa kampeni alizoanza kwa kuyatembelea makundi kadhaa zinaweza kutumiwa na maadui wa kisiasa kumdhuru.

 

10 years ago

Mwananchi

Staili ya Magufuli kampeni za Uchaguzi Mkuu

Juni 4, Dk John Magufuli alijitokeza ofisi za Makao Makuu ya CCM, Dodoma, saa 11.30 jioni na kuchukua fomu za kuwania urais, akiwa amevalia sare za chama chake, suruali nyeusi na shati la kijani, akisindikizwa na mbunge wa Nkenge, Asumpter Mshama na wapambe wengine wawili.

 

10 years ago

Raia Mwema

10 years ago

Mwananchi

Wapambe wanogesha kampeni Lowassa, Magufuli

Wakati wagombea urais wa vyama vya CCM na Chadema wakijikita kwenye ahadi za mambo watakayofanya iwapo watachaguliwa, wapambe wao wameendelea kufanya kazi ya kujibu kutuma mashambulizi kwenye kampeni kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu zinazoendelea kote nchini.

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais

Thursday, October 8, 2015 Siku chache baada ya chama cha ACT-Wazalendo kutoa tamko rasmi kuwa hawataweza kumruhusu Dk. Wilbroad Slaa kupanda kwenye jukwaa lao kumnadi mgombea urais wa chama hicho kwa sababu za kiusalama, jana mwanasiasa […]

The post Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Marafiki wa Lowassa waja na staili mpya

Daniel Mjema na Rehema Matowo, Mwananchi

 

10 years ago

Mwananchi

Staili ya Chegeni yatumika tena kumshawishi Edward Lowassa

Staili aliyotumia Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Dk Raphael Chegeni kumshawishi Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa agombee urais imetumika tena jana baada ya makundi mbalimbali ya jamii kwenda nyumbani kwake Monduli na kumtaka achukue uamuzi huo haraka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani