SHUKRANI ZA DHATI KWA WANA-DMV
![](http://4.bp.blogspot.com/-KmL7iy3TJag/U-fwvGUhd_I/AAAAAAAF-Qw/K6YfDRzrG2o/s72-c/png;base64c5152851411af50e.png)
Ndugu zangu WanaDMV, mimi Harriet Shangarai nakuja mbele yenu kuwashukuru kwa kujitokeza kwa wingi ili kushiriki katika zoezi la kidemokrasia -Kupitia kura, sauti za wanaDMV zimesikika.
Ushirikiano na Upendo mlio onyesha ndio msingi utakaotuletea maendeleo ya kweli.Mbele yetu tuna kazi kubwa, lakini kwa moyo mliyoonyesha nina imani tutaweza.Asanteni saana. Palipo na Umoja pana Ushindi. PS
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi30 Nov
IBADA YA SHUKRANI za dhati kwenda kwa wadau wote
![kansolele](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2014/11/kansolele.jpg)
Inaniwia vingumu sana kutoa shukrani kwa mtu mmoja mmoja au makundi kutokana na ushirikiano wenu katika kipindi kigumu cha msiba na mazishi ya mpendwa mume wangu na mwenyekiti wa Dorka catering na Dorka group of company Marehemu Dr kephas kansolele Ntevi kwaniaba ya familia yangu .Ninapenda kutoa shukrani za dhati kwa wote walio shiriki kwa njia moja au nyingine kwa kipindi chote cha msiba wa mume wangu.Kiukweli tulipatwa na kigugumizi ambacho hakisemeki Ingawa nyote mnastahili kushukuriwa...
10 years ago
Vijimambo08 Oct
SHUKRANI ZA DHATI KWA WENYEJI WA NORTH CAROLINA, DICOTA, NA WAGENI WOTE WALIOHUDHURIA
JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAPENDA KUTOA SHUKURANI ZA DHATI KWA UONGOZI WA WENYEJI WA NORTH CAROLINA, DICOTA, WAGENI RASMI NA WOTE WALISHIRIKI KULETA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA MKUTANO WA DICOTA 2014.
TUNASHUKURU KWA UPENDO WENU WA DHATI, HUDUMA YA HALI YA JUU NA ELIMU KUBWA TULIYOIPATA. TUMENUFAIKA NA KUJIFUNZA MENGI NA KUTUPATIA CHANGAMOTO YA KUSONGA MBELEPAMOJA TUNAWEZA NA TUTAFIKAASANTENI SANA UONGOZI WA JUMUIYA DMV
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-jBW1zQkaq-U/VNjwP37knmI/AAAAAAAAE24/rHWQXPa8LXg/s72-c/Untitled%2Bpresentation%2B(16).jpg)
SHUKRANI ZA DHATI !.
![](http://4.bp.blogspot.com/-jBW1zQkaq-U/VNjwP37knmI/AAAAAAAAE24/rHWQXPa8LXg/s1600/Untitled%2Bpresentation%2B(16).jpg)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-QHWEmlb4UOA%2FVNj1jT9S-EI%2FAAAAAAAAE3s%2FvCFb4I726Xs%2Fs1600%2Fimage%252B(2).jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
WATOTO WA SHULE YA MSINGI WAKIJITOLEA ILI KUPATA MASAA 75 YA HUDUMA KWA JAMII KAMA DESTURI KABLA YA KUFUZU ELIMU YA SEKONDARI NCHINI MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-jJ0wr1BBX-4/VNjwhN8xIPI/AAAAAAAAE3A/eZWU0brbJ4o/s1600/IMG-20150208-WA0014%2B(4).jpg)
SURVIVOR WA SHAMBULIZI LA MOYO AKIZUNGUMZA NA JAMII
![](http://3.bp.blogspot.com/-xoK_vKbZceE/VNjwr07Hk3I/AAAAAAAAE3I/f_G1XdStmgA/s1600/download_20150208_220521%2B(1).jpeg)
DADA ASHA HARRIZ AKITEMBELEA HUDUMA MBALI MBALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-WjK51IGRNck/VNjw19i79rI/AAAAAAAAE3Q/XjxQNohhxFY/s1600/20150207_124926.jpg)
Shukrani;NesiWangu blogspot.com
11 years ago
Michuzi14 Apr
Shukrani kwa kufanikisha Free Health Screening Washington DMV
![Thank You, script lettering](http://www.kwanzaproduction.com/wp-content/uploads/2014/04/Thank-You..jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9COy0IFbVME/U9TFTdm_BdI/AAAAAAAF6_o/dgyG24wcafQ/s72-c/New+Picture.png)
Salam kwa Wana DMV toka kwa Harriet Shangarai
![](http://4.bp.blogspot.com/-9COy0IFbVME/U9TFTdm_BdI/AAAAAAAF6_o/dgyG24wcafQ/s1600/New+Picture.png)
Malengo niliyo nayo kwa jumuiya hii na kwa jamii kwa ujumla sio malengo ya mpito.
Sisi wanaDiaspora tumeaacha nchi yetu nzuri, wazazi,watoto, ndugu hata marafiki kwa nia ya kuja kutafuta ahueni ya maisha.Maumivu na changamoto za ugenini ni sababu tosha za kutoruhusu jambo lolote kupotosha malengo yetu.
Nipo pamoja nanyi kama...
10 years ago
VijimamboWANA DMV WAHANI MSIBA NYUMBANI KWA KINA MARY MGAWE TANZANIA
Mona, Libe wakiwa na Mary mgawe, Tino, Lukia Mtingwa na Lazia nyumban kwa marehemu
![](http://1.bp.blogspot.com/-W_9l6GVWkSg/VSlV9QhZkcI/AAAAAAAABKw/RyZsh0dbPdg/s1600/Libe%2BTino.jpg)
Mona, Bernad, Augustino na Libe msibani
11 years ago
Michuzi24 Apr
BALOZI AWAASA WANA DMV KUJITOKEZA KWA WINGI KATIKA SHEREHE ZA MUUNGANO
![Embassy pics 016](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/04/embassy-pics-016.jpg?w=714)
![Embassy pics 037](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/04/embassy-pics-037.jpg?w=714)
![Embassy pics 018](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/04/embassy-pics-018.jpg?w=714)
![Embassy pics 007](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/04/embassy-pics-007.jpg?w=714)
11 years ago
Michuzi30 Jun
SHUKRANI: TEAM LIBE FOR DMV COMMUNITY PRESIDENT 2014
![](https://3.bp.blogspot.com/-abT2YIqzXW8/U7A-uOzAJGI/AAAAAAAAIVk/iLmCPVgg2CI/s1600/Libe+.jpg)
Team Libe for DMV Community President 2014 tunapenda kutoa shukrani za dhati kwa kila mmoja aliye weza kufika kwenye mkutano wa kampeni wa hadhara jana Meadowbroak Park. Pia tunapenda kuwashukuru wale walio kuwa na nia ya kuja lakini kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao wakashindwa kutimiza hadhma hiyo. Asanteni!
Pia, Team Libe for DMV Community President 2014 tunapenda kuwashukuru wagombea wengine kwa kujitokeza na kuonyesha ushirikiano chanya na...
10 years ago
VijimamboWANA DMV WAMUAGA KASSIM MGANGA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania