SHUKRANI ZA DHATI KWA WENYEJI WA NORTH CAROLINA, DICOTA, NA WAGENI WOTE WALIOHUDHURIA
JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAPENDA KUTOA SHUKURANI ZA DHATI KWA UONGOZI WA WENYEJI WA NORTH CAROLINA, DICOTA, WAGENI RASMI NA WOTE WALISHIRIKI KULETA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA MKUTANO WA DICOTA 2014.
TUNASHUKURU KWA UPENDO WENU WA DHATI, HUDUMA YA HALI YA JUU NA ELIMU KUBWA TULIYOIPATA. TUMENUFAIKA NA KUJIFUNZA MENGI NA KUTUPATIA CHANGAMOTO YA KUSONGA MBELEPAMOJA TUNAWEZA NA TUTAFIKAASANTENI SANA UONGOZI WA JUMUIYA DMV
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboDICOTA WAMKABIDHI BALOZI LIBERATA MULAMULA RIPOTI YAO YA DICOTA CONVENTION 2014 ILIYOFANYIKA NORTH CAROLINA
Viongozi wa DICOTA Lunda Asmani na Dr. Kurwa Nyigu walifika jioni ya Desemba 8, 2014 ofisi ya Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani uliopo Washington DC kumkabidhi Mhe. Liberata Mulamula ripoti ya mkutano wa kongamano wa DICOTA wa 2014 uliofanyika mapema mwezi Oktoka kati ya tarehe 2 mpaka 5.
Katika makabidhiano hayo yaliyo ambayo yalikua ni maelezo ya viongozi wa DICOTA na maoni ya wahudhuriaji wa mkutano huo wa kongamono wa ndani na nje ya Marekani ikiwemo DVD 2 ya...
Katika makabidhiano hayo yaliyo ambayo yalikua ni maelezo ya viongozi wa DICOTA na maoni ya wahudhuriaji wa mkutano huo wa kongamono wa ndani na nje ya Marekani ikiwemo DVD 2 ya...
10 years ago
GPLDICOTA WAMKABIDHI BALOZI LIBERATA MULAMULA RIPOTI YAO YA DICOTA CONVENTION 2014 ILIYOFANYIKA NORTH CAROLINA
 Viongozi wa DICOTA Lunda Asmani (kushoto)na Dr. Kurwa Nyigu wakitia saini kitabu cha wageni mara tu walipofika Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani uliopo Washington, DC kuonana na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamuala (hayupo pichani) na kumkabidhi ripoti ya mkutano wa kongamano wa DICOTA uliofanyika mapema mwezi wa Oktoba kwenye tarehe 2 mpaka 5 2014.… ...
10 years ago
Michuzi30 Nov
IBADA YA SHUKRANI za dhati kwenda kwa wadau wote
![kansolele](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2014/11/kansolele.jpg)
Inaniwia vingumu sana kutoa shukrani kwa mtu mmoja mmoja au makundi kutokana na ushirikiano wenu katika kipindi kigumu cha msiba na mazishi ya mpendwa mume wangu na mwenyekiti wa Dorka catering na Dorka group of company Marehemu Dr kephas kansolele Ntevi kwaniaba ya familia yangu .Ninapenda kutoa shukrani za dhati kwa wote walio shiriki kwa njia moja au nyingine kwa kipindi chote cha msiba wa mume wangu.Kiukweli tulipatwa na kigugumizi ambacho hakisemeki Ingawa nyote mnastahili kushukuriwa...
10 years ago
Vijimambo02 Oct
Welcome to DICOTA 2014 Convention in Durham North Carolina
A Welcome note from the DICOTA President,
Dear All
Welcome to Durham: Getting Around the City
Arrival: If you’re arriving via RDU Airport, there are several options that will take you to the Millennium Durham Hotel.
1. The dedicated DICOTA Logistic Team will be at their airport. Contact Mr. Saburi Mtarazaki at 919 423 0657 or Mr. Tony Ntirugelegwa at 919 599 7459 and their team, they will give you a ride to the hotel (as part of your convention registration fee- you don’t need to pay for...
Dear All
Welcome to Durham: Getting Around the City
Arrival: If you’re arriving via RDU Airport, there are several options that will take you to the Millennium Durham Hotel.
1. The dedicated DICOTA Logistic Team will be at their airport. Contact Mr. Saburi Mtarazaki at 919 423 0657 or Mr. Tony Ntirugelegwa at 919 599 7459 and their team, they will give you a ride to the hotel (as part of your convention registration fee- you don’t need to pay for...
10 years ago
VijimamboDICOTA 2014 CONVETION DURHAM, NORTH CAROLINA
Wadau mbalimbali wakiwasili kwenye hotel ya Millennium Durham tayari kwenye DICOTA 2014 utaonza rasmi Ijumaa Oct 3, 2014 kwenye mji wa Durham jimbo la North Carolina mkutano utamalizika siku ya Jumapili Oct 5, 2014 kwenye picha kushoto ni mpiga picha za kiwango na maarufu kutoka DMV Bi Iska Jojo na makamu wa rais DMV Bi, Harriet Shangarai wakielekea vyumbani baada ya kuwasili kwenye hotel ya Millennium muda si mrefu na kukutana na ukodak wa Vijimambo ambao utakuwepo kwenye mkutano huo...
10 years ago
GPLDICOTA 2014 CONVETION DURHAM, NORTH CAROLINA
 Wadau mbalimbali wakiwasili kwenye hotel ya Millennium Durham tayari kwenye DICOTA 2014 utaonza rasmi Ijumaa Oct 3, 2014 kwenye mji wa Durham jimbo la North Carolina mkutano utamalizika siku ya Jumapili Oct 5, 2014 kwenye picha kushoto ni mpiga picha za kiwango na maarufu kutoka DMV Bi Iska Jojo na makamu wa rais DMV Bi, Harriet Shangarai wakielekea vyumbani baada ya kuwasili kwenye hotel ya Millennium muda si mrefu na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KmL7iy3TJag/U-fwvGUhd_I/AAAAAAAF-Qw/K6YfDRzrG2o/s72-c/png;base64c5152851411af50e.png)
SHUKRANI ZA DHATI KWA WANA-DMV
![](http://4.bp.blogspot.com/-KmL7iy3TJag/U-fwvGUhd_I/AAAAAAAF-Qw/K6YfDRzrG2o/s1600/png;base64c5152851411af50e.png)
Ushirikiano na Upendo mlio onyesha ndio msingi utakaotuletea maendeleo ya kweli.Mbele yetu tuna kazi kubwa, lakini kwa moyo mliyoonyesha nina imani tutaweza.Asanteni saana. Palipo na Umoja pana Ushindi. PS
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-jBW1zQkaq-U/VNjwP37knmI/AAAAAAAAE24/rHWQXPa8LXg/s72-c/Untitled%2Bpresentation%2B(16).jpg)
SHUKRANI ZA DHATI !.
![](http://4.bp.blogspot.com/-jBW1zQkaq-U/VNjwP37knmI/AAAAAAAAE24/rHWQXPa8LXg/s1600/Untitled%2Bpresentation%2B(16).jpg)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-QHWEmlb4UOA%2FVNj1jT9S-EI%2FAAAAAAAAE3s%2FvCFb4I726Xs%2Fs1600%2Fimage%252B(2).jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
WATOTO WA SHULE YA MSINGI WAKIJITOLEA ILI KUPATA MASAA 75 YA HUDUMA KWA JAMII KAMA DESTURI KABLA YA KUFUZU ELIMU YA SEKONDARI NCHINI MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-jJ0wr1BBX-4/VNjwhN8xIPI/AAAAAAAAE3A/eZWU0brbJ4o/s1600/IMG-20150208-WA0014%2B(4).jpg)
SURVIVOR WA SHAMBULIZI LA MOYO AKIZUNGUMZA NA JAMII
![](http://3.bp.blogspot.com/-xoK_vKbZceE/VNjwr07Hk3I/AAAAAAAAE3I/f_G1XdStmgA/s1600/download_20150208_220521%2B(1).jpeg)
DADA ASHA HARRIZ AKITEMBELEA HUDUMA MBALI MBALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-WjK51IGRNck/VNjw19i79rI/AAAAAAAAE3Q/XjxQNohhxFY/s1600/20150207_124926.jpg)
Shukrani;NesiWangu blogspot.com
10 years ago
Vijimambo20 May
Sifa na Utukufu kwa Mungu - Shukrani kwa Wote! - Ibada ya Kiswahili ~ Columbus, Ohio
Sifa na Utukufu kwa Mungu kwa Baraka za Watoto Kwaya kutoka Uganda waliotembelea Ibada ya Kiswahili 12 Mei 2015. Kipekee tunawashukuru Wanajumuiya wote kwa ushirikiano wako na kushiriki katika Tamasha hili. Mungu akubariki na kubariki huduma yako pia kwa kuwakarimu Watoto na wageni wote ~ Ibada ya Kiswahili ~ Mch. Ipyana Mwakabonga![](http://www.iykcolumbus.org/wp-content/uploads/2015/05/Watoto2015-1.jpg)
Watoto Kwaya - Uganda![](http://www.iykcolumbus.org/wp-content/uploads/2015/05/Watoto2015-19.jpg)
Watoto Kwaya wakikaribishwa rasmi na Watoto wa Ibada ya Kiswahili - Ohio ( Ian na Suzy) na Uongozi wa Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio
![](http://www.iykcolumbus.org/wp-content/uploads/2015/05/Watoto2015-1.jpg)
Watoto Kwaya - Uganda
![](http://www.iykcolumbus.org/wp-content/uploads/2015/05/Watoto2015-19.jpg)
Watoto Kwaya wakikaribishwa rasmi na Watoto wa Ibada ya Kiswahili - Ohio ( Ian na Suzy) na Uongozi wa Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio
![](http://www.iykcolumbus.org/wp-content/uploads/2015/05/Watoto2015-3.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10