DICOTA WAMKABIDHI BALOZI LIBERATA MULAMULA RIPOTI YAO YA DICOTA CONVENTION 2014 ILIYOFANYIKA NORTH CAROLINA
 Viongozi wa DICOTA Lunda Asmani (kushoto)na Dr. Kurwa Nyigu wakitia saini kitabu cha wageni mara tu walipofika Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani uliopo Washington, DC kuonana na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamuala (hayupo pichani) na kumkabidhi ripoti ya mkutano wa kongamano wa DICOTA uliofanyika mapema mwezi wa Oktoba kwenye tarehe 2 mpaka 5 2014.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboDICOTA WAMKABIDHI BALOZI LIBERATA MULAMULA RIPOTI YAO YA DICOTA CONVENTION 2014 ILIYOFANYIKA NORTH CAROLINA
Katika makabidhiano hayo yaliyo ambayo yalikua ni maelezo ya viongozi wa DICOTA na maoni ya wahudhuriaji wa mkutano huo wa kongamono wa ndani na nje ya Marekani ikiwemo DVD 2 ya...
10 years ago
Vijimambo02 Oct
Welcome to DICOTA 2014 Convention in Durham North Carolina
Dear All
Welcome to Durham: Getting Around the City
Arrival: If you’re arriving via RDU Airport, there are several options that will take you to the Millennium Durham Hotel.
1. The dedicated DICOTA Logistic Team will be at their airport. Contact Mr. Saburi Mtarazaki at 919 423 0657 or Mr. Tony Ntirugelegwa at 919 599 7459 and their team, they will give you a ride to the hotel (as part of your convention registration fee- you don’t need to pay for...
10 years ago
GPLDICOTA 2014 CONVETION DURHAM, NORTH CAROLINA
10 years ago
VijimamboDICOTA 2014 CONVETION DURHAM, NORTH CAROLINA
Wadau mbalimbali wakiwasili kwenye hotel ya Millennium Durham tayari kwenye DICOTA 2014 utaonza rasmi Ijumaa Oct 3, 2014 kwenye mji wa Durham jimbo la North Carolina mkutano utamalizika siku ya Jumapili Oct 5, 2014 kwenye picha kushoto ni mpiga picha za kiwango na maarufu kutoka DMV Bi Iska Jojo na makamu wa rais DMV Bi, Harriet Shangarai wakielekea vyumbani baada ya kuwasili kwenye hotel ya Millennium muda si mrefu na kukutana na ukodak wa Vijimambo ambao utakuwepo kwenye mkutano huo...
10 years ago
Vijimambo08 Oct
SHUKRANI ZA DHATI KWA WENYEJI WA NORTH CAROLINA, DICOTA, NA WAGENI WOTE WALIOHUDHURIA
JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAPENDA KUTOA SHUKURANI ZA DHATI KWA UONGOZI WA WENYEJI WA NORTH CAROLINA, DICOTA, WAGENI RASMI NA WOTE WALISHIRIKI KULETA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA MKUTANO WA DICOTA 2014.
TUNASHUKURU KWA UPENDO WENU WA DHATI, HUDUMA YA HALI YA JUU NA ELIMU KUBWA TULIYOIPATA. TUMENUFAIKA NA KUJIFUNZA MENGI NA KUTUPATIA CHANGAMOTO YA KUSONGA MBELEPAMOJA TUNAWEZA NA TUTAFIKAASANTENI SANA UONGOZI WA JUMUIYA DMV
10 years ago
Vijimambo2014 DICOTA CONVENTION
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QEPa7A0cUTY/VBlq-DA8vcI/AAAAAAAGkDo/ICubMwzAoqg/s72-c/unnamed%2B(53).jpg)
10 years ago
VijimamboDICOTA 2014 DURHAM CONVENTION
Kofi Anani ambaye ni senior operations Officer, Africa Diaspora Investment fund, World Bank akiotoa mada kuhusiana na maswala hayo kwenye mkutano wa DICOTA 2014 uliofanyika Jumamosi Oct 4, 2014 ambao ndio ulikua mkutano wa mwisho na baada ya jioni kulikua na nyama choma.
10 years ago
Vijimambo11 Oct
DICOTA 2014 Convention - Your Feedback is very important!
As one of our members, supporters, and friends of the Diaspora Council of Tanzanians in America (DICOTA),
Thank you for participating in the 2014 DICOTA Convention. It's the collaboration including your participation that made it one of the most successful conventions thus far!
We would like to take this opportunity to invite you to a two-part survey on: (1) the DICOTA 2014 Convention recently held at the Millennium Hotel in Durham, NC from Oct 2nd to 5th; and (2) the future direction...