Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IBADA YA SHUKRANI za dhati kwenda kwa wadau wote

kansolele
Inaniwia vingumu sana kutoa shukrani kwa mtu mmoja mmoja au makundi kutokana na ushirikiano wenu katika kipindi kigumu cha msiba na mazishi ya mpendwa mume wangu na mwenyekiti wa Dorka catering na Dorka group of company Marehemu Dr kephas kansolele Ntevi kwaniaba ya familia yangu .Ninapenda kutoa shukrani za dhati kwa wote walio shiriki kwa njia moja au nyingine kwa kipindi chote cha msiba wa mume wangu.Kiukweli tulipatwa na kigugumizi ambacho hakisemeki Ingawa nyote mnastahili kushukuriwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SHUKRANI ZA DHATI KWA WENYEJI WA NORTH CAROLINA, DICOTA, NA WAGENI WOTE WALIOHUDHURIA


JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAPENDA KUTOA SHUKURANI ZA DHATI KWA UONGOZI WA WENYEJI WA NORTH CAROLINA,  DICOTA, WAGENI RASMI NA  WOTE WALISHIRIKI KULETA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA MKUTANO WA DICOTA 2014.
TUNASHUKURU KWA UPENDO WENU WA DHATI, HUDUMA YA HALI YA JUU NA ELIMU KUBWA TULIYOIPATA. TUMENUFAIKA NA KUJIFUNZA MENGI NA KUTUPATIA CHANGAMOTO YA KUSONGA MBELEPAMOJA TUNAWEZA NA TUTAFIKAASANTENI SANA UONGOZI WA JUMUIYA DMV  

 

10 years ago

Vijimambo

Sifa na Utukufu kwa Mungu - Shukrani kwa Wote! - Ibada ya Kiswahili ~ Columbus, Ohio

Sifa na Utukufu kwa Mungu kwa Baraka za Watoto Kwaya kutoka Uganda waliotembelea Ibada ya Kiswahili 12 Mei 2015. Kipekee tunawashukuru Wanajumuiya wote kwa ushirikiano wako na kushiriki katika Tamasha hili. Mungu akubariki na kubariki huduma yako pia kwa kuwakarimu Watoto na wageni wote ~ Ibada ya Kiswahili ~ Mch. Ipyana Mwakabonga
Watoto Kwaya - Uganda
Watoto Kwaya wakikaribishwa rasmi na Watoto wa Ibada ya Kiswahili - Ohio ( Ian na Suzy) na Uongozi wa Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio

 

11 years ago

Michuzi

SHUKRANI ZA DHATI KWA WANA-DMV

Ndugu zangu WanaDMV, mimi Harriet Shangarai nakuja mbele yenu kuwashukuru kwa kujitokeza kwa wingi ili kushiriki katika zoezi la kidemokrasia -Kupitia  kura, sauti za wanaDMV  zimesikika. 
Ushirikiano na Upendo mlio onyesha ndio msingi utakaotuletea maendeleo ya kweli.Mbele yetu tuna kazi kubwa, lakini kwa moyo  mliyoonyesha nina imani tutaweza.Asanteni saana. Palipo na Umoja pana  Ushindi. PS

 

10 years ago

Vijimambo

SHUKRANI ZA DHATI !.


WANADIASPORA  WAKIWA MSTARI WA MBELE KUANGALIA AFYA  ZA JAMII

WATOTO WA SHULE YA MSINGI WAKIJITOLEA ILI KUPATA  MASAA  75 YA HUDUMA KWA JAMII KAMA DESTURI KABLA YA  KUFUZU ELIMU YA SEKONDARI  NCHINI MAREKANI 

SURVIVOR WA SHAMBULIZI LA MOYO AKIZUNGUMZA  NA JAMII

DADA ASHA HARRIZ AKITEMBELEA HUDUMA MBALI MBALI
 WASHIRIKI WALIPATA ZAWADI MBALI MBALI



Shukrani;NesiWangu blogspot.com

 

10 years ago

Vijimambo

SHUKRANI KUTOKA KWA DR TEMBA KWENDA KWA NEW YORK TANZANIA COMMUNITY PAMOJA NA NDUGU NA MARAFIKI


Mwalimu Flavian Temba 6-09-2015 
To All: We wish to acknowledge the many expressions from friends and love one during this time bereavement. Words cannot express the strength you and the Diaspora and Bongo community have given us during this difficult time. 
May Mwalimu Flavian Temba's bright spirit live on in us all. Sincerely 
Temba Anicetus family



His wife, Salome Flavian Temba, family and friends giving blessing on his eternal journey in peace 

Godson Philip Kilewo, families, and...

 

10 years ago

Michuzi

Shukrani za DJ John Dilinga kwa wadau

Big up na special thanks zifike kwa marafiki Juma Rajabu wa Max malipo, Mwinchade Chambuso wa hella investment, Richard Orombe wa hot shot production, Robby wa Robby One Fashion, Bakari Madega wa Rangers bureau de change, Harisday na Evance Bukuku kutoka event light, Muhidini Michuzi wa Michuziblog, Radio One Mtaa wa Mangoma, East Africa Radio pamoja na E fm kwa kuthubutu kuiboost THE LEGEND 2nd anniversary kwa moyo mmoja na bila kipingamizi chochote kile. 
Sina maneno ya kuweza kuelezea...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

Ujumbe kwa wanachama, wadau na waandishi wote wa mkoa wa Mbeya.

Ndugu wanachama, Wadau na wandishi wote wa Habari,   Kuna ujumbe unaozunguka miongoni mwetu, kwa wandishi wa habari wasiokuwa wanachama na kwa wadau wetu ukieleza kwamba Mbeya Press Club (MBPC) imeandaa safari ya wanachama wake kutembelea nchi Jirani ya Malawi.  Ujumbe huu unawataja baadhi ya wanachama wa MBPC kuwa ndio waratibu wa Safari hiyo, huku ukiwataka wanachama na wadau kuchangia safari hiyo fedha kiasi cha shilingi 200,000 (Laki mbili) kwa kila mwanachama na mwandishi wa habari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani