Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IBADA YA SHUKRANI


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

IBADA YA SHUKRANI za dhati kwenda kwa wadau wote

kansolele
Inaniwia vingumu sana kutoa shukrani kwa mtu mmoja mmoja au makundi kutokana na ushirikiano wenu katika kipindi kigumu cha msiba na mazishi ya mpendwa mume wangu na mwenyekiti wa Dorka catering na Dorka group of company Marehemu Dr kephas kansolele Ntevi kwaniaba ya familia yangu .Ninapenda kutoa shukrani za dhati kwa wote walio shiriki kwa njia moja au nyingine kwa kipindi chote cha msiba wa mume wangu.Kiukweli tulipatwa na kigugumizi ambacho hakisemeki Ingawa nyote mnastahili kushukuriwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Ibada ya shukrani na kumbukumbu ya Baba Peter Msungu na Kaka Gerald A. Natumwa


Steve akisoma neno la kwanza wakati wa ibada hiyo ya shukurani na kumbukumbu.
Dada Kie akisoma wasifu wa Marehemu Gerald NatumwaNdugu Vitalis Gunda akitoa shukurani kwa niaba ya familia ya Steve na Esther Msungu

Binamu wa Steave Msungu , Ndugu  Vicent akisoma wasifu wa Marehemu Mzee Msungu















Picha zaidi hapa kwa iskajojo

 

10 years ago

Vijimambo

Sifa na Utukufu kwa Mungu - Shukrani kwa Wote! - Ibada ya Kiswahili ~ Columbus, Ohio

Sifa na Utukufu kwa Mungu kwa Baraka za Watoto Kwaya kutoka Uganda waliotembelea Ibada ya Kiswahili 12 Mei 2015. Kipekee tunawashukuru Wanajumuiya wote kwa ushirikiano wako na kushiriki katika Tamasha hili. Mungu akubariki na kubariki huduma yako pia kwa kuwakarimu Watoto na wageni wote ~ Ibada ya Kiswahili ~ Mch. Ipyana Mwakabonga
Watoto Kwaya - Uganda
Watoto Kwaya wakikaribishwa rasmi na Watoto wa Ibada ya Kiswahili - Ohio ( Ian na Suzy) na Uongozi wa Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio

 

9 years ago

MillardAyo

Kiongozi wa ibada alivyowashiwa moto baada ya kukatisha na hoverboard kwenye ibada.. (+Video)

Hoverboard ni jina la kiingereza lakini sina uhakika kama kuna jina rasmi la kiswahili limepatikana kuviita hivi vifaa… ni kama fashion sasahivi utaona mastaa kibao wanapost video wanatembea navyo !! Lakini kama haujaviweza tafadhali mtu wangu, hata usithubutu kuvijaribu.. Ripoti ya stori kwenye mtandao wa BBC inasema waumini kadhaa wamemshutumu Paroko mmoja wa Ufilipino ambae […]

The post Kiongozi wa ibada alivyowashiwa moto baada ya kukatisha na hoverboard kwenye ibada.. (+Video) appeared...

 

11 years ago

Michuzi

Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga

NENO LA LEO: Luka 6: 27-28  Lakini nawaambia nyie mnaosikia, wapendeni adui zenu,watendeeni mema wale ambao wanaowachukia ninyi.  28 Wabarikieni wale ambao wanawalaani ninyi, Waombeeni wale ambao wanaowaonea ninyi.
TAFAKARI: Neno la leo ni mtihani mkubwa sana manake Bwana Yesu anatuamuru kuwa tuwapende maadui zetu na kuwaombea wale ambao wanatuonea. Kiubinadamu ni kawaida kutaka kulipiza mabaya kwa mabaya. Hiyo ndiyo asili yetu. Lakini sisi Wakristo tunatakiwa maisha yetu yawe ni...

 

10 years ago

Vijimambo

Karibuni Ibada ya Kuabudu na Kusifu - Jumapili Januari 18, 2015 Ibada itaanza saa kumi kamili 4:00pm (EST)

Ibada ya Kiswahili inakukaribisha Rasmi katika Ibada ya Pili ya mwezi wa Januari 2015Kwa Baraka za Mungu tumebarikiwa kuanza mwaka 2015 kwa Ibada mbili kila mwezi,  Ibada ya pili itaongozwa na Kuabudu na Kusifu - Januari 18, 2015 Saa Kumi kamili 4:00pm*** www.iykcolumbus.org ***

 

11 years ago

Michuzi

Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga - Juni 1, 2014 Kuanzia 3:30pm

 Anza Siku njema na NENO la MUNGU kila siku kwa kutembelea Ibada ya Kiswahili website na Ukurasa wa Ibada ya Kiswahili kwenye Facebook.

 

11 years ago

GPL

SHUKRANI



Ndugu Max Edmund Kafipa wa Ununio Bahari Beach jijini Dar es Salaam inapenda kutoa shukrani kwa ndugu, jamaa, marafiki wote na wakazi wa Ununio walioshirikiana nae katika msiba hadi mazishi ya mke wake mpendwa  Sophia Uledi Kafipa (pichani) aliyefariki dunia kwa ajali ya gari tarehe 10/01/2014 na kuzikwa tarehe 13/01/2014 kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar.

Bwana ametoa Bwana ametwaa jina la Mungu… ...

 

10 years ago

Vijimambo

SHUKRANI ZA DHATI !.


WANADIASPORA  WAKIWA MSTARI WA MBELE KUANGALIA AFYA  ZA JAMII

WATOTO WA SHULE YA MSINGI WAKIJITOLEA ILI KUPATA  MASAA  75 YA HUDUMA KWA JAMII KAMA DESTURI KABLA YA  KUFUZU ELIMU YA SEKONDARI  NCHINI MAREKANI 

SURVIVOR WA SHAMBULIZI LA MOYO AKIZUNGUMZA  NA JAMII

DADA ASHA HARRIZ AKITEMBELEA HUDUMA MBALI MBALI
 WASHIRIKI WALIPATA ZAWADI MBALI MBALI



Shukrani;NesiWangu blogspot.com

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani