Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ibada ya shukrani na kumbukumbu ya Baba Peter Msungu na Kaka Gerald A. Natumwa


Steve akisoma neno la kwanza wakati wa ibada hiyo ya shukurani na kumbukumbu.
Dada Kie akisoma wasifu wa Marehemu Gerald NatumwaNdugu Vitalis Gunda akitoa shukurani kwa niaba ya familia ya Steve na Esther Msungu

Binamu wa Steave Msungu , Ndugu  Vicent akisoma wasifu wa Marehemu Mzee Msungu















Picha zaidi hapa kwa iskajojo

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

IBADA YA KUMBUKUMBU YA MPENDWA BABA YETU GODFREY MNGODO COLUMBUS. OHIO

Familia ya Michael na Teddy pamoja na Mngodo wote, tunapenda kuwakaribisha ndugu, jamaa na marafiki zetu kwenye ibada maalumu ya shukurani, na kusherehekea maisha ya Marehemu Baba yetu Mzee GODFREY MBIU MNGODO, (pichani) itakayofanyika siku ya jumamosi 10/31/2015 kuanzia saa kumi jioni hadi saa tatu usiku ..Mahali ni 35 E.STANTON AVE, COLUMBUS OH 43214. Karibuni sana na Mungu awabariki.
Kwa maelezo zaidi na maelekezoMichael Mngodo 614 446 5565

 

10 years ago

Michuzi

MBATIA NA MREMA WAKUTANA KANISANI KATIKA IBADA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU BABA ASKOFU STEPHANO MOSHI

Mbunge wa kuteuliwa na Rais Mhe. James Mbatia akizungumza jambo na mbunge wa jimbo la Vunjo Mhe. Agustino Mrema mara baada ya kukutana kwa mara ya kwanza jimboni humo katika ibada ya kumbukumbu ya askofu wa kwanza wa KKKT dayosisi ya Kaskazini iliyofanyika mwishoni mwa wiki.
Mbunge Mrema akiwa ameketi na mbunge mwenzake Mbatia wakifuatilia ibada hiyo.
BabaAskofu Dkt Fredrick Shoo akiongoza ibada hiyo ya kumbukumbu ya miaka 29 ya kifo cha aliyekuwa askofu wa kwanza wa KKKT dayosisi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

WABUNGE MH,MBATIA NA MH,MREMA WAKUTANA KANISANI,NI KATIKA IBADA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU BABA ASKOFU STEPHANO MOSHI.

Mbunge wa kuteuliwa na rais,Jmaes Mbatia akizungumza jambo na mbunge wa jimbo la Vunjo ,Agustino Mrema mara baada ya kukutana kwa mara ya kwanza jimboni humo katika ibada ya kumbukumbu ya askofu wa kwanza wa KKKT dayosisi ya Kaskazini iliyofanyika mwishoni mwa wiki/Kanisala la KKKT ,Usharika wa Mamba Kotelailokofanyika ibada hiyoMbunge Mbatia akiingia kanisani humo.Ujenzi wa taasisi ya saratani ya Bishop Moshiunaofanyika kando ya Usharika huo.Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Bishop Moshi...

 

10 years ago

TheCitizen

KAIGARULA: Peter Msungu: A sociable scribe and dear to many

>Whenever you land in a new workplace, you’ve got to explore the surroundings carefully, figure out how best you can fit in and avoid stepping on the toes of your new workmates if you’re to avoid unpleasant reactions.

 

10 years ago

Bongo Movies

Mzee Magali, Peter Luse Na Stanley Msungu Wazindua Filamu ya Dini

Waigizaji wa filamu, Peter Luse, Mzee Magali na Stanley Msungu wamezindua filamu  ya kidini  inayotambulika kwa jina la Behind The Pastors.

Uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa Princess Hall, Sinza-Mapambano, jijini Dar,  ambapo mtunzi wa filamu hiyo alisema madhumuni ya kuandaa filamu hiyo ni kubainisha changamoto wanazokutana nazo watumishi wa Mungu kama visa, ugomvi wa madhabahuni na ushirikina.

GPL

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

IBADA YA SHUKRANI za dhati kwenda kwa wadau wote

kansolele
Inaniwia vingumu sana kutoa shukrani kwa mtu mmoja mmoja au makundi kutokana na ushirikiano wenu katika kipindi kigumu cha msiba na mazishi ya mpendwa mume wangu na mwenyekiti wa Dorka catering na Dorka group of company Marehemu Dr kephas kansolele Ntevi kwaniaba ya familia yangu .Ninapenda kutoa shukrani za dhati kwa wote walio shiriki kwa njia moja au nyingine kwa kipindi chote cha msiba wa mume wangu.Kiukweli tulipatwa na kigugumizi ambacho hakisemeki Ingawa nyote mnastahili kushukuriwa...

 

11 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA DR. PETER ZACHARIAH KOPWE

Mpendwa wetu Dr Peter Zachariah leo ni miaka Saba tangu umetutoka na kutangulia mbele ya haki tulikupenda lakini mungu alikupenda zaidi una kumbukwa na mke wako Lilian. P. Kopwe watoto wako Ronald , Paul , Nancy na Gerald pamoja na Wazizi wako kaka zako Dada zako shemeji zako Wakwe zako wote pamoja jamaa na marafiki (Ayub 19:25 )tunakuombea pumziko la amani
- Amen

 

10 years ago

Vijimambo

IBADA YA KISWAHILI NA SEMINA YA PETER MITIMINGI

Mchungaji Peter Mitimingi akitoa semina kwa waumini wa kanisa la kiswahili Columbus, Ohio iliyofanyika Jumapili July 26, 2015 Columbus, Ohio nchini Marekani. Picha zote na Akili Mtaam, Mwakilishi wa Vijimambo, Columbus, Ohio.Mchungaji wa ibada ya kiswahili Columbus, Ohio akitoa mahaubiri kwa waumini wa ibada ya kiswahili iliyofanyika siku ya Jumapili July 26, 2015 Columbus, Ohio.Waumini wa ibada ya kiswahili wakifuatilia semina ya mchungaji Peter Mitimingi iliyofanyika siku ya Jumapili July...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani