KUMBUKUMBU YA DR. PETER ZACHARIAH KOPWE
Mpendwa wetu Dr Peter Zachariah leo ni miaka Saba tangu umetutoka na kutangulia mbele ya haki tulikupenda lakini mungu alikupenda zaidi una kumbukwa na mke wako Lilian. P. Kopwe watoto wako Ronald , Paul , Nancy na Gerald pamoja na Wazizi wako kaka zako Dada zako shemeji zako Wakwe zako wote pamoja jamaa na marafiki (Ayub 19:25 )tunakuombea pumziko la amani
- Amen
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
Ibada ya shukrani na kumbukumbu ya Baba Peter Msungu na Kaka Gerald A. Natumwa



















Picha zaidi hapa kwa iskajojo
10 years ago
Vijimambo27 Jul
Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU. Jamaa ana kumbukumbu sana.

Afikirie "uchafu" wote waliosema Lowassa anao, bado aonekane "msafi kuwakilisha chama kuliko yeye"Ni hapo unapotamani uwe na SELECTIVE AMNESIASijui kuna sauti ngapi kichwani mwake sasa?Na sijui kama kuna inayomuasa kufanya "maamuzi magumu"?:
SOURCE.:.MUBELWA BANDIO
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
10-May-2025 in Tanzania