Mzee Magali, Peter Luse Na Stanley Msungu Wazindua Filamu ya Dini
Waigizaji wa filamu, Peter Luse, Mzee Magali na Stanley Msungu wamezindua filamu ya kidini inayotambulika kwa jina la Behind The Pastors.
Uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa Princess Hall, Sinza-Mapambano, jijini Dar, ambapo mtunzi wa filamu hiyo alisema madhumuni ya kuandaa filamu hiyo ni kubainisha changamoto wanazokutana nazo watumishi wa Mungu kama visa, ugomvi wa madhabahuni na ushirikina.
GPL
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLPETER LUSE, MZEE MAGALI WAZINDUA FILAMU YA DINI
Baadhi ya watu waliohudhuria uzinduzi huo.
Mzee Magali akicheza muziki na mashabiki wake.
Bendi ya muziki wa injili kutoka katika kanisa la Nchi ya Ahadi ikitumbuiza.…
10 years ago
TheCitizen25 Feb
KAIGARULA: Peter Msungu: A sociable scribe and dear to many
>Whenever you land in a new workplace, you’ve got to explore the surroundings carefully, figure out how best you can fit in and avoid stepping on the toes of your new workmates if you’re to avoid unpleasant reactions.
10 years ago
VijimamboIbada ya shukrani na kumbukumbu ya Baba Peter Msungu na Kaka Gerald A. Natumwa
Steve akisoma neno la kwanza wakati wa ibada hiyo ya shukurani na kumbukumbu.
Dada Kie akisoma wasifu wa Marehemu Gerald NatumwaNdugu Vitalis Gunda akitoa shukurani kwa niaba ya familia ya Steve na Esther Msungu
Binamu wa Steave Msungu , Ndugu Vicent akisoma wasifu wa Marehemu Mzee Msungu
Picha zaidi hapa kwa iskajojo
10 years ago
GPLSISTER FAY AMKANA MZEE MAGALI
Hamida Hassan na Gladness Mallya
MSANII wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Faidha Omari ‘Sister Fay’ amedaiwa kumkana Charles Magali ‘Mzee Magali’ na kusema siyo baba yake halisi baada ya ndugu zake kumjia juu na kumtenga. Msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Faidha Omari ‘Sister Fay’ Kikizungumza na Ijumaa chanzo makini kilisema kwamba, Sister Fay amemkana Mzee Magali baada ya...
10 years ago
Bongo526 Feb
Filamu mpya ya JB ‘Mzee wa Swagga’ ni kopi 100% ya filamu ya kihindi
Kwa mara ya kwanza muigizaji na muongozaji mahiri wa filamu nchini ameingia kwenye skendo ya kugeza filamu ya nje na kutengeneza filamu yake iitwayo ‘Mzee wa Swagga’. Issue hiyo ilianza kujulikana kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV ambapo kwa mujibu wa mtangazaji Zamaradi Mketema, shabiki mmoja wa show hiyo alimweleza kufanana kwa filamu […]
10 years ago
VijimamboMZEE PETER KISUMO AFARIKI DUNIA
Muasisi wa Tanu na baadaye CCM, Mzee Peter Kisumo (pichani) amefariki dunia. Mwanasiasa huyo mkongwe nchini ambaye aliwahi kushika nyadhifa kadhaa katika Serikali ya Awamu ya Kwanza, alifariki Dunia jana saa moja usiku katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.Mtoto wa marehemu, Michael Kisumo alilithibitishia juu ya kifo cha baba yake akisema kilitokana na maradhi ya figo ambayo yamekuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.“Tulikuja hapa Muhimbili kwa ajili ya mzee kufanyiwa dialysis (usafishaji damu...
10 years ago
MichuziMAGUFULI ATOA POLE KWA FAMILIA YA MZEE PETER KISUMO
Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi,Dk.John Pombe Magufuli akisaini kitabu cha maombolezo ya msiba wa Mwanasiasa Mkongwe nchini Mzee Peter Kisumo aliyefariki dunia jioni ya tarehe 3 Agosti katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi,Dk.John Pombe Magufuli akizungumza na mjane wa marehemu Pater Kisumo, Hosiana Kisumo nyumbani kwa marehemu mtaa wa Isevya ,Upanga,Dar es Salaam.(Picha na Adam Mzee) BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI.
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU MZEE PETER KISUMO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kwenye kitabu cha maombolezo Upanga jijini Dar es salaam alipokwenda kwenye msiba wa mmoja wa wanasiasa wakongwe nchini, Marehemu Mzee Peter Kisumo, aliyefariki dunia Jumatatu katika Hospitali ya taifa ya Muhimbili ambako alikuwa anapatiwa matibabu8 ya figo. Marehemu Mzee Kisumo alipata kuwa Mzee wa Chama cha TANU, Muasisi na mdhamini wa Chama cha CCM na aliyeshikilia nafasi nyingi za uongozi ndani ya...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBILAMBI KWA FAMILIA YA MZEE PETER KISUMO
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesikitishwa na kuhuzunishwa mno na kifo cha mmoja wa wanasiasa wa kongwe nchini, Mzee Peter Kisumo ambaye alipata kuwa Mzee wa Chama cha TANU, Muasisi na mdhaminiwa Chama cha CCM naaliyeshikilia nafasi nyingi za uongozi ndani ya Serikali na utumishi wa umma ukiwemo uwaziri.
“Nimepokeakwamasikitikomakubwanahuzuninyingitaarifayakifo cha Mzee Peter Kisumoambayenimejulishwaaliagaduniajana,...
“Nimepokeakwamasikitikomakubwanahuzuninyingitaarifayakifo cha Mzee Peter Kisumoambayenimejulishwaaliagaduniajana,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania