Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SISTER FAY AMKANA MZEE MAGALI

Hamida Hassan na Gladness Mallya
MSANII wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Faidha Omari ‘Sister Fay’ amedaiwa kumkana Charles Magali ‘Mzee Magali’ na kusema siyo baba yake halisi baada ya ndugu zake kumjia juu na kumtenga. Msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Faidha Omari ‘Sister Fay’ Kikizungumza na Ijumaa chanzo makini kilisema kwamba, Sister Fay amemkana Mzee Magali baada ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

PETER LUSE, MZEE MAGALI WAZINDUA FILAMU YA DINI

Baadhi ya watu waliohudhuria uzinduzi huo.
Mzee Magali akicheza muziki na mashabiki wake.
Bendi ya muziki wa injili kutoka katika kanisa la Nchi ya Ahadi ikitumbuiza.…

 

10 years ago

Bongo Movies

Mzee Magali, Peter Luse Na Stanley Msungu Wazindua Filamu ya Dini

Waigizaji wa filamu, Peter Luse, Mzee Magali na Stanley Msungu wamezindua filamu  ya kidini  inayotambulika kwa jina la Behind The Pastors.

Uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa Princess Hall, Sinza-Mapambano, jijini Dar,  ambapo mtunzi wa filamu hiyo alisema madhumuni ya kuandaa filamu hiyo ni kubainisha changamoto wanazokutana nazo watumishi wa Mungu kama visa, ugomvi wa madhabahuni na ushirikina.

GPL

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

GPL

SHERRY MAGALI AUGUA, AKONDA

Stori:  Hamida Hassan
STAA wa filamu za vichekesho Bongo ambaye ni mtoto wa Mzee Charles Magali, Sherry Charles Magali ana hali mbaya na sasa ukimuona huwezi kumtambua kama ni yeye. Sherry Charles Magali kabla ya kukonda. Hali hiyo imekuja kutokana na maelezo kuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo kiasi cha kumfanya akonde sana na lile wowowo lake lililokuwa likimtambulisha kwenye usanii kupotea. “Yaani sina hata la...

 

10 years ago

Bongo Movies

Johari Amkana Ray!

Staa wa Bongo Movies na mmiliki mwenza  wa kampuni ya filamu nchini ya ‘RJ Company’, Blandina Chagula ‘Johari’, ameibuka na kushangaza wengi kwa kauli yake kwamba hakuwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji mwenzake, Vicent Kigosi ‘Ray’.

Staa huyo aliwahi kukiri kuwa na uhusiano huo na msanii huyo na kwamba walishaachana kwa amani, ndiyo maana waliweza kuendelea na kampuni yao ya masuala ya filamu ya Rj Company.

Juzi Johari ameliambia gazeti la Mtanzania kwamba, muda mrefu alikuwa...

 

10 years ago

GPL

ODAMA AMKANA PEDESHEE

Stori: Mayasa Mariwata Si kweli! Mtoto mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amekanusha vikali madai ya kutembea na pedeshee mmoja anayedaiwa kuwa ni mmiliki wa baa moja iliyopo maeneo ya River-Side, Ubungo jijini Dar. Mtoto mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama'. Baada ya kusomewa madai hayo ambayo yamesambaa kwenye mitandao ya kijamii, Odama alikanusha vilivyo na kusema wanamsingizia tu.“Hee!...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani