ODAMA AMKANA PEDESHEE
![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7knxRUxE-FoVJf90L6Kpa5VAPvKhE5KlrxEqTY8j5KbqORKBNkZ5WohQu4MaqlgCrLK5Kb0Bq*z5ie2RlWyjG5P/ODAMA.jpg)
Stori: Mayasa Mariwata Si kweli! Mtoto mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amekanusha vikali madai ya kutembea na pedeshee mmoja anayedaiwa kuwa ni mmiliki wa baa moja iliyopo maeneo ya River-Side, Ubungo jijini Dar. Mtoto mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama'. Baada ya kusomewa madai hayo ambayo yamesambaa kwenye mitandao ya kijamii, Odama alikanusha vilivyo na kusema wanamsingizia tu.“Hee!...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu2M9ovpHtgJ-8mJvCgZ3qFYeEHshkvvHjFhKgWbXztL4EdyA3x8Ldk2tOvj-vN*xP6rgrY3H1vjTt0KGyhPeWjE/wolper.jpg?width=650)
WOLPER AMLIPUA PEDESHEE MAARUFU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP4Bj2qwD4O3yH51Z9eqKDvCb5aFzr8xPmzMlHcHZ8BYCYuhi8pyhFM1PiQ*5eeXyFpGmUYdJu5AI9NVRKDJjBmn/Mtoto.jpg)
ZARI, PEDESHEE KATUNZI LAIVU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBuCiZNfmpZwNenzeMTvx18tlRo1ScYIZxEc-j1ImR05OuhsC8*ORyWdVBph2OjnbqLSeBqY6VX8WxxZB*CEsmsa/CHEKANAKITIME.jpg)
USHAWAHI MUONA PANYA PEDESHEE?
11 years ago
Mwananchi18 May
Pesa za pedeshee zawapagawisha waumini
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pM3ABSV3WVXr9Bndaa6DPCxytc16rhLGl4ESvSiCOfSUJtIC9HcgVx*PjHNcU3gGo53736E6nJ57lP2w*tLZWRA6NiPNCCCG/nisha.jpg?width=650)
NISHA: SIJAWAHI KUCHUKULIWA NA PEDESHEE
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Pedeshee aapa kuvunja uchumba wa dida
Khadija Shaibu ‘Dida’.
Imelda Mtema
Pedeshee maarufu jijini Dar anadaiwa kuapa kuvunja uchumba wa Mtangazaji wa Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ mara tu baada ya kutangaza kuvalishwa pete ya uchumba hivi karibuni na mwanaume ambaye hakutaka kumuanika.
Habari kutoka kwa chanzo chetu makini zilieleza kwamba, pedeshee huyo amekuwa akimpa Dida vitisho kuwa mwanaume ambaye atamuoa hatakuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yake hivyo anaamini yeye ndiye anayeweza kumpa chochote anachotaka na si...
10 years ago
Bongo Movies24 Apr
Johari Amkana Ray!
Staa wa Bongo Movies na mmiliki mwenza wa kampuni ya filamu nchini ya ‘RJ Company’, Blandina Chagula ‘Johari’, ameibuka na kushangaza wengi kwa kauli yake kwamba hakuwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji mwenzake, Vicent Kigosi ‘Ray’.
Staa huyo aliwahi kukiri kuwa na uhusiano huo na msanii huyo na kwamba walishaachana kwa amani, ndiyo maana waliweza kuendelea na kampuni yao ya masuala ya filamu ya Rj Company.
Juzi Johari ameliambia gazeti la Mtanzania kwamba, muda mrefu alikuwa...
10 years ago
GPL12 Mar
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uqLqBDFuIfDOKBGTGDdmFG205wpTLYrAIGCtZNIn60*fc39Pwfk9DQLJ79aeQugBbJsGNBvtTL-lOIqUUdD7txc4zbzKniel/timthumb.jpg?width=650)
AUNT: SIHITAJI PEDESHEE, DANSA WANGU ANATOSHA