ZARI, PEDESHEE KATUNZI LAIVU!
![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP4Bj2qwD4O3yH51Z9eqKDvCb5aFzr8xPmzMlHcHZ8BYCYuhi8pyhFM1PiQ*5eeXyFpGmUYdJu5AI9NVRKDJjBmn/Mtoto.jpg)
Issa Mnally KABAAANG! Wakati supastaa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akitembea kifua mbele huku akijinasibu kuwa anasubiri kwa hamu kupata mtoto kutoka kwa mchumba wake, Zarinah Hassan ‘Zari’, imevuja picha inayomuonesha laivu mwandani wake huyo akiwa na pedeshee maarufu Bongo, Muzamili Issa Katunzi ikidaiwa kuwa ni mtu wake wa nguvu, Ijumaa lina stori kamili. Zarinah Hassan ‘Zari’ akiwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5Ej2l34xTOaQZeG2D7-uE6SJomylut-ZkVjhrYcVhC8KBY-edcu26ZRdq0HWQ7ltKGyffYm*drl5p1bFd8WuJtqj/ZARINA.jpg)
ZARI ATESWA NA PICHA YA KATUNZI
10 years ago
Vijimambo08 Jan
DAVIDO WAPEANA MAKAVU LAIVU LAIVU KWENYE MITANDAO
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/Davido-ttt.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7knxRUxE-FoVJf90L6Kpa5VAPvKhE5KlrxEqTY8j5KbqORKBNkZ5WohQu4MaqlgCrLK5Kb0Bq*z5ie2RlWyjG5P/ODAMA.jpg)
ODAMA AMKANA PEDESHEE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu2M9ovpHtgJ-8mJvCgZ3qFYeEHshkvvHjFhKgWbXztL4EdyA3x8Ldk2tOvj-vN*xP6rgrY3H1vjTt0KGyhPeWjE/wolper.jpg?width=650)
WOLPER AMLIPUA PEDESHEE MAARUFU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBuCiZNfmpZwNenzeMTvx18tlRo1ScYIZxEc-j1ImR05OuhsC8*ORyWdVBph2OjnbqLSeBqY6VX8WxxZB*CEsmsa/CHEKANAKITIME.jpg)
USHAWAHI MUONA PANYA PEDESHEE?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pM3ABSV3WVXr9Bndaa6DPCxytc16rhLGl4ESvSiCOfSUJtIC9HcgVx*PjHNcU3gGo53736E6nJ57lP2w*tLZWRA6NiPNCCCG/nisha.jpg?width=650)
NISHA: SIJAWAHI KUCHUKULIWA NA PEDESHEE
11 years ago
Mwananchi18 May
Pesa za pedeshee zawapagawisha waumini
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/P0y0X6852Mc/default.jpg)
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Pedeshee aapa kuvunja uchumba wa dida
Khadija Shaibu ‘Dida’.
Imelda Mtema
Pedeshee maarufu jijini Dar anadaiwa kuapa kuvunja uchumba wa Mtangazaji wa Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ mara tu baada ya kutangaza kuvalishwa pete ya uchumba hivi karibuni na mwanaume ambaye hakutaka kumuanika.
Habari kutoka kwa chanzo chetu makini zilieleza kwamba, pedeshee huyo amekuwa akimpa Dida vitisho kuwa mwanaume ambaye atamuoa hatakuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yake hivyo anaamini yeye ndiye anayeweza kumpa chochote anachotaka na si...