DAVIDO WAPEANA MAKAVU LAIVU LAIVU KWENYE MITANDAO
Ikiwa bado ni asubuhi kabisa yaani wiki ya kwanza ya 2015, lakini inavyoonekana kuna mtu kagusa ‘wrong note’ kwenye gitaa la bwana David Adedeji Adeleke a.k.a Davido, hivyo ameamua kumtolea uvivu!Muimbaji huyo wa Nigeria ambaye yupo Dubai na familia kwaajili ya mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka, ametumia Twitter kutoa hasira zake kwa mtu ambaye hakumtaja kwa jina, kwa kuandika “Niggas forget who helped them So quick God don bless me I do my thing dey go keep my name out ur mouth !! WHO...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo03 Jan
JOKATE: DIAMOND HANA AKILI TIMAMU....AMPA MAKAVU LAIVU KWEUPE
![](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2012/10/Jokate-2.jpg)
10 years ago
Habarileo04 Dec
Kesi zenye mvuto kuwa laivu kwenye TV
MAHAKAMA inaangalia uwezekano wa kuruhusu vyombo vya habari kurekodi picha na sauti kuwezesha vituo vya radio na televisheni kuripoti habari za mahakama wakati kesi zinaendelea.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4hNukqhfhE32DZxEf7QQYDHUr7qVMY2nSdf*FjZEUgYJphFdmrC*TKBUcOWqhdhvoAsB0IfFsgBVbb9dstl9FaVf3RXwytdV/BACKAMANI.jpg)
JIDE, AY LAIVU!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SDhgST2Am3WKSjyltRAkvklhv2pdg*GlKDZbdKuVmBinTuOoyJR93N-52R3J7lkGwuLg520aQ8gSGMGlRJN96eDYrD3J6BQ8/RIYAMA.gif?width=650)
RIYAMA LAIVU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jFOIY4-HTkrKHiQjOChSX*OvD66SQ*-b5VYMvOnf6dwbDgm9d*tJueeW7yEyB-qBwwGFu5VHQRpxxSXsCsJOu1B/rehema.jpg?width=650)
REHEMA FABIAN LAIVU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpwbYZd5uoZUIx8pqQuV5Ywf95VXfU7XI199bjMhWTp3nJoFBDimO-*OnrIbxUHM*ADH7V*ywJE2cuF08kCM2i1h/nay.jpg?width=650)
NAY WA MITEGO LAIVU
9 years ago
Bongo Movies03 Sep
Riyama Anaswa Laivu!
KANASWA! Staa wa filamu Bongo, Riyama Ally kwa mara ya kwanza amenaswa laivu na kijana aliyemtambulisha kama mwandani wake, akimtaja kwa jina la Idd Mwalimu Mzee, anayemzidi umri kwa miaka saba, Amani linaandika.
Sapraizi’ hiyo ilitokea saa sita mchana Jumatatu wiki hii nyumbani kwa muigizaji huyo, Mabibo jijini Dar, akiweka wazi kuwa muda wowote kuanzia sasa watafunga ndoa, kwani anampenda kwa dhati mpenziwe huyo, aliyesema ni msanii wa muziki wa Kizazi Kipya, akifanya Hip Hop.
“Yeah,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NQ48wH9Dt2SlBDYdl4nau-Dqizc5LICwQoiRHd64Lcm7nEAyG7jq006jhP4e3T5yWd4TesnYvdLSo-8bjRwpyWSQ8kbHQsDm/batuli.gif?width=650)
BATULI LAIVU NA MWANAUME
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP4Bj2qwD4O3yH51Z9eqKDvCb5aFzr8xPmzMlHcHZ8BYCYuhi8pyhFM1PiQ*5eeXyFpGmUYdJu5AI9NVRKDJjBmn/Mtoto.jpg)
ZARI, PEDESHEE KATUNZI LAIVU!