Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi zenye mvuto kuwa laivu kwenye TV

Jaji Mkuu, Mohamed Chande OthmanMAHAKAMA inaangalia uwezekano wa kuruhusu vyombo vya habari kurekodi picha na sauti kuwezesha vituo vya radio na televisheni kuripoti habari za mahakama wakati kesi zinaendelea.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

DAVIDO WAPEANA MAKAVU LAIVU LAIVU KWENYE MITANDAO

Ikiwa bado ni asubuhi kabisa yaani wiki ya kwanza ya 2015, lakini inavyoonekana kuna mtu kagusa ‘wrong note’ kwenye gitaa la bwana David Adedeji Adeleke a.k.a Davido, hivyo ameamua kumtolea uvivu!Muimbaji huyo wa Nigeria ambaye yupo Dubai na familia kwaajili ya mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka, ametumia Twitter kutoa hasira zake kwa mtu ambaye hakumtaja kwa jina, kwa kuandika “Niggas forget who helped them So quick God don bless me I do my thing dey go keep my name out ur mouth !! WHO...

 

11 years ago

BBCSwahili

Condom zenye mvuto kwa vijana A. Kusini

Serikali ya A.Kusini imeanza mpango wa kuwapa vijana wa shule mipira ya Condom zenye rangi tofauti tofauti na ambazo zina harufu nzuri

 

10 years ago

GPL

JE, UNAPENDA KUWA MREMBO NA MWENYE MVUTO KWA HARAKA?

Tuna uzoefu wa miaka 15 na bidhaa zetu zote zimethibitishwa.           TUNAZO BIDHAA ZA:- 1. Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=. 2. Kutengeneza shepu (hips na makalio) @90,000/=. 3. Kuwa mweupe na softi mwili mzima @80,000/=. 4. Kuondoa mvi milele zisirudi @90,000/=. 5. Kuongeza maumbile na nguvu za kiume kwa:- (i)  Gely ya kupaka @70,000/=  (ii)  Vidonge… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Unafahamu kuwa ‘high heels’ inaweza kuongeza mvuto wako

Kinadada wengi wanavaa viatu virefu kwa mazoea au wakati mwingine kwa kuona mwenzake amevaa na amependeza.

 

9 years ago

Mtanzania

Natasha: Majina ya Kiingereza kwenye filamu yana mvuto

NatashaMWIGIZAJI wa siku nyingi nchini, Susan Humba ‘Natasha’, amesema wazalishaji wa filamu wengi wa Tanzania walikuwa wakitumia majina ya Kiingereza kwenye filamu zao kwa madai kwamba huvutia yanapotamkwa tofauti na ya Kiswahili.

“Wazalishaji wa filamu hizo walikuwa wakidai kwamba majina hayo huvutia kutamkwa mfano ‘My love’, inavuta na inatamkika vema kuliko ‘Mpenzi wangu’.

Hata hivyo, alieleza kwamba miaka ya sasa wengi wamebadilisha hulka hiyo na kutumia majina ya Kiswahili yenye maana husika...

 

10 years ago

Bongo5

Rihanna ashinda kesi dhidi ya duka la Uingereza lililokuwa likiuza T-shirt zenye picha yake

Rihanna ameshinda kesi yake dhidi ya duka kubwa la Topshop la nchini Uingereza lililokuwa likiuza T-shirts zenye picha yake. Mahakama ya rufaa ya jijini London imetoa katazo la kuuzwa kwa T-shirts hizo zilizokuwa zikiuzwa bila ridhaa ya Rihanna. Staa huyo aliishtaki kampuni mama ya Topshop, Arcadia kwa kudai fidia ya dola milioni tano mwaka 2013 […]

 

10 years ago

Michuzi

DK. ALI MOHAMED SHEIN AMESEMA KUWA KENYA NA TANZANIA NI NCHI ZENYE UHUSIANO WA MUDA MREFU


  STATE HOUSE ZANZIBAROFFICE OF THE PRESS SECRETARY PRESS RELEASE   Zanzibar                                                                                                           29.06.2015
RAIS  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Kenya na Tanzania ni nchi zenye uhusiano wa muda mrefu hivyo kuna kila sababu za kuendelea kuimarisha na kuitekeleza Sera ya Demokrasia ya Uchumi  kwa manufaa ya pande mbili hizo.
Dk. Shein...

 

9 years ago

StarTV

Wafanyabiashara wadogo Afrika Mashariki watakiwa kuongeza uzalishaji zenye bidhaa zenye ubora

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amewataka wafanyabiashara wadogo wadogo wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kukidhi soko la kimataifa la bidhaa hizo.

Rais Magufuli amesema endapo bidhaa zenye ubora zitazalishwa ndani ya Nchi hizo ,malalamiko ya mara kwa mara ya wafanyabiashara hao kuhusu masoko yatafikia ukomo kutokana na kuwa na wateja wengi  kutoka nchi mbalimbali Duniani.

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Said Meck...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani