Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AUNT: SIHITAJI PEDESHEE, DANSA WANGU ANATOSHA

MAKUBWA! Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa wapo watu wanamcheka kuwa na uhusiano wa kimapenzi na dansa (Moze Iyobo) lakini ni bora aendelee kuwa naye kuliko kuwa na uhusiano na mtu mwenye pesa za kugawa hovyo (pedeshee) asiyekuwa na mapenzi ya dhati. Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel akiwa na mpenzi wake Moze Iyobo. Akizungumza na Amani, Aunt alisema kuwa aangalii hela hata kama wakilala njaa lakini kama kuna...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AUNT: MUME WANGU HAJUI KAMA NINA MIMBA

Stori:Musa mateja
Msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ‘Mama Kijacho’ amefunguka kuwa, licha ya ujauzito wake kuwa mkubwa, mume wake Sunday Demonte hana taarifa yoyote juu ya kitumbo hicho.Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni, Aunt alisema maneno hayo yanaweza kuwashangaza watu lakini ndiyo ukweli wenyewe. Msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ‘Mama Kijacho’. Alidai kuwa yeye na mume wake huyo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Belinda: Sihitaji Kuwa Daktari Nitaigiza Tu

MWIGIZAJI chipukizi mwenye umri mdogo katika tasnia ya filamu Bongo Belinda Steven amesema kuwa amechagua kazi yake ya kuigiza toka akiwa mtoto hivyo anasoma kwa bidii lakini hafikirii kuwa Daktari bingwa au kazi yoyote zaidi ya uigizaji tu kwani sanaa hiyo ipo moyoni mwake anaongea kwa kujiamini.


“Namdu masomo na kuigiza kwani kila kitu kina nafasi yake hivyo hawezi kuingiliana hata siku moja, ninapokuwa shule akili yangu yote inakuwa katika masoma na nikiwa kuigiza nakuwa makini kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Lulu: Nadhani sihitaji simu ya mkononi

Mwigizaji anayefanya vizuri sokoni kwa sasa,Elizabeth Michael maarufu Lulu, amesema kuwa hatamani tena kutumia simu ya mkononi kwani amekuwa akisumbuliwa na watu wasiokuwa na mambo ya msingi ya kumweleza wanaompigia simu mara kwa mara.

 

9 years ago

Bongo Movies

Sihitaji Kuwa Daktari Nitaigiza Tu- Belinda

MWIGIZAJI chipukizi mwenye umri mdogo katika tasnia ya filamu Bongo Belinda Steven amesema kuwa amechagua kazi yake ya kuigiza toka akiwa mtoto hivyo anasoma kwa bidii lakini hafikirii kuwa Daktari bingwa au kazi yoyote zaidi ya uigizaji tu kwani sanaa hiyo ipo moyoni mwake anaongea kwa kujiamini.

“Namdu masomo na kuigiza kwani kila kitu kina nafasi yake hivyo hawezi kuingiliana hata siku moja, ninapokuwa shule akili yangu yote inakuwa katika masoma na nikiwa kuigiza nakuwa makini kwa hilo,...

 

10 years ago

GPL

THEA: SINA MPENZI NA WALA SIHITAJI

Na Brighton Masalu
Msanii wa kitambo katika tasnia ya filamu Bongo, Ndumbangu Mesayo ‘Thea’ amefungua kinywa kwa mara ya kwanza kuwa, hivi sasa hana  wala hahitaji kabisa mpenzi na hapendi kukumbuka chochote kilichopita katika maisha yake ya kimapenzi. Msanii wa kitambo katika tasnia ya filamu Bongo, Ndumbangu Mesayo ‘Thea’. Akizu ngumza na gazeti hili juzi Thea alisema, hakuna kitu ambacho...

 

10 years ago

GPL

JOHARI: SIHITAJI MUME STAA KAMA RAY

Imelda Mtema /Uwazi
STAA mkongwe katika tasnia ya filamu, Blandina Chagula ‘Johari’ amefunguka kuwa kamwe hatarajii kuolewa na staa kama Vicent Kigosi ‘Ray’ bali anahitaji mume wa kawaida asiye maarufu. Akizungumza na Uwazi, Johari alisema kuwa kwa upande wake hachagui mwanaume gani wa kumuoa bali tu ajue kumthamini na kumuheshimu kama mwanamke. Staa mkongwe katika tasnia ya filamu, Blandina Chagula...

 

10 years ago

GPL

ODAMA AMKANA PEDESHEE

Stori: Mayasa Mariwata Si kweli! Mtoto mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amekanusha vikali madai ya kutembea na pedeshee mmoja anayedaiwa kuwa ni mmiliki wa baa moja iliyopo maeneo ya River-Side, Ubungo jijini Dar. Mtoto mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama'. Baada ya kusomewa madai hayo ambayo yamesambaa kwenye mitandao ya kijamii, Odama alikanusha vilivyo na kusema wanamsingizia tu.“Hee!...

 

11 years ago

GPL

MCHUNGAJI MSIGWA KWA NILIYOFANYA, SIHITAJI KAMPENI 2015

Stori: Haruni Sanchawa IRINGA ni miongoni mwa mikoa ambayo siku za nyuma ilikuwa ni tegemeo la chakula kwa taifa letu, ikiwa ni mojawapo ya iliyounda kitu kilichoitwa Big Four, kwa uzalishaji wa chakula, mingine ikiwa ni Mbeya, Ruvuma na Rukwa. Lakini katika miaka ya hivi karibuni, uzalishaji huo umekuwa ukishuka, jambo linalosababishwa pamoja na mambo mengine, mabadiliko ya hali ya hewa na usimamizi mbaya wa viongozi wa vijiji...

 

9 years ago

Michuzi

WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAKIRI WAZI HAIJAPATA KUTOKEA,WAELEZA HISIA ZAO KUWA MAGUFULI ANATOSHA NAFASI YA URAIS.

 Dkt. Magufuli (katikati) akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Nyamagana (pichani kulia) Ndugu Stanslaus Mabula mbele ya Maelfu ya wakazi wa jiji la Mwanza kwenye mkutano wa kampeni katika viwanja vya Furahisha jioni ya leo.Baadhi ya wakazi wa jiji la Mwanza waliohojiwa na Globu ya Jamii walieleza na kukiri wazi kuwa haijawahi kutokea kwa mapokezi haya makubwa na ya aina yake,na kuwa Magufuli ndiye anaetosha kuvaa viatu vya Urais. Dk Magufuli (katikati) akiwanadi Mgombea Ubunge Jimbo la Ilemela,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani