THEA: SINA MPENZI NA WALA SIHITAJI
![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP5Oup38Umfqh1LXLruf4q9o5tqzoNzsarPTaIUe5xyL7tsjwvCuR24*F2WeO8FthY9G0OvwvA13ht1wEWLV-3Q2/Zamaradi.jpg)
Na Brighton Masalu Msanii wa kitambo katika tasnia ya filamu Bongo, Ndumbangu Mesayo ‘Thea’ amefungua kinywa kwa mara ya kwanza kuwa, hivi sasa hana wala hahitaji kabisa mpenzi na hapendi kukumbuka chochote kilichopita katika maisha yake ya kimapenzi. Msanii wa kitambo katika tasnia ya filamu Bongo, Ndumbangu Mesayo ‘Thea’. Akizu ngumza na gazeti hili juzi Thea alisema, hakuna kitu ambacho...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo528 Aug
Zitto: Sina uhusiano na Mwasiti wala Diva
10 years ago
GPLIDRIS SINA MPANGO WA KUWA NA MPENZI
10 years ago
Bongo518 Feb
Lady Jaydee: Sina mtoto wala watoto, Sijajua mpaka sasa nitazaa lini…Accept me the way I am
10 years ago
Bongo Movies20 Apr
Lulu: Sina cha Kusema Wala Tamko Kuhusu Kifo cha Seki
Kufuatia kuhusishwa na kuwa na mahusiano ya kimapenzi na marehemu Bilionea Lusekelo Samson Mwandenga ‘Seki’ aliyefariki dunia Alhamisi iliyopita, Staa wa Bongo Movies Elizaberth Michael ‘Lulu’ amesema hana la kusema na hana tamko lolote fufuatia kifo cha Seki.
Akiongea na gazeti la Ijumaa Wikienda Juzi, lililotaka kujua taarifa za yeye kuhusishwa na bilionea huyo pamoja na mambo mengine, Lulu alijibu kwa kifupi;
Mwandishi: “Lulu kwanza tumesikia unaumwa na umelazwa, ni kweli?”
Lulu: “Siyo...
10 years ago
Bongo513 Feb
Rich Mavoko: Sijaachia wimbo wala kwa sasa sina mpango wa kuachia wimbo
10 years ago
Bongo524 Aug
New Video: Chris Bee f/ G Sacha & Silvia – Wala Wala
9 years ago
Bongo Movies26 Nov
Sihitaji Kuwa Daktari Nitaigiza Tu- Belinda
MWIGIZAJI chipukizi mwenye umri mdogo katika tasnia ya filamu Bongo Belinda Steven amesema kuwa amechagua kazi yake ya kuigiza toka akiwa mtoto hivyo anasoma kwa bidii lakini hafikirii kuwa Daktari bingwa au kazi yoyote zaidi ya uigizaji tu kwani sanaa hiyo ipo moyoni mwake anaongea kwa kujiamini.
“Namdu masomo na kuigiza kwani kila kitu kina nafasi yake hivyo hawezi kuingiliana hata siku moja, ninapokuwa shule akili yangu yote inakuwa katika masoma na nikiwa kuigiza nakuwa makini kwa hilo,...
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Lulu: Nadhani sihitaji simu ya mkononi
10 years ago
Bongo Movies10 Jul
Belinda: Sihitaji Kuwa Daktari Nitaigiza Tu
MWIGIZAJI chipukizi mwenye umri mdogo katika tasnia ya filamu Bongo Belinda Steven amesema kuwa amechagua kazi yake ya kuigiza toka akiwa mtoto hivyo anasoma kwa bidii lakini hafikirii kuwa Daktari bingwa au kazi yoyote zaidi ya uigizaji tu kwani sanaa hiyo ipo moyoni mwake anaongea kwa kujiamini.
“Namdu masomo na kuigiza kwani kila kitu kina nafasi yake hivyo hawezi kuingiliana hata siku moja, ninapokuwa shule akili yangu yote inakuwa katika masoma na nikiwa kuigiza nakuwa makini kwa...