Zitto: Sina uhusiano na Mwasiti wala Diva
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe ameibuka na kukana kuwa na mahusiano na mtangazaji wa Clouds FM, Loveness ‘Diva’ pamoja na msanii wa muziki, Mwasiti. Zitto alifunguka hayo juzi kupitia kipindi cha Mkasi cha EATV ambapo alikanusha kuwa na uhusiano wowote wa mapenzi na mastaa hao licha ya kudaiwa kutungiwa wimbo na Diva. “Mh! […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo515 Dec
Diva: Sina uhusiano na Alikiba
![11917989_166629733673746_101973509_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11917989_166629733673746_101973509_n-300x194.jpg)
Mtangazaji wa Clouds FM, Diva the Bawse amekanusha tetesi zilizosambazwa na gazeti moja la udaku kuwa ana uhusiano na Alikiba.
Kupitia Instagram, Diva ameandika:
Kuna gazeti Nimetumiwa limeandika nina Mahusiano na Ali Kiba. bila aibu wametumia Picha tumepiga studio. really? Since when ? Ali he is My good friend. he is sucha great heart and soul sina mahusiano nae sijawahi Wallahi kuwa na Mahusiano nae hata mara 1. na focus sana na Kazi yangu nina Plan zangu kibao sitaki niandikwe mambo ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFWcQoJXwXOWjWhUDU28LlxwG-G8Avy*C1*mBsfoslOeW5I2KW*tFIz*By8NtAFxwW6tze42Svnm-KjvditorEJ3/ZITTO.jpg)
ZITTO AANIKA UHUSIANO WAKE NA DIVA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP5Oup38Umfqh1LXLruf4q9o5tqzoNzsarPTaIUe5xyL7tsjwvCuR24*F2WeO8FthY9G0OvwvA13ht1wEWLV-3Q2/Zamaradi.jpg)
THEA: SINA MPENZI NA WALA SIHITAJI
9 years ago
Mtanzania20 Nov
MO MUSIC: Sina uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji
NA MAULI MUYENJWA
MSANII wa Muziki wa Bongo Fleva, Moshi Katemi, maarufu kwa jina la Mo Music, amekana tetesi kwamba anatoka na mtangazaji mmoja wa redio maarufu nchini.
“Sijawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwandishi wa habari, ingawa ninafahamiana na wengi ila kikubwa huwa tunaongea kuhusu kazi, naamini muziki wangu ndiyo unaonifanya niwe maarufu, lakini siyo skendo kama hizo,” alisema Mo.
Aliongeza kwamba kutokana na kuuamini muziki wake hawezi kukubali kuchafuka kwa kashfa kwa kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWyMu9OStupI-oHOEXcHngty*imrl6z0HZWHbkdt7RA-oC6knxzsVWLdJlWcuHdcC6SGlDng3eQ2oY7iUXn94ifz/DIVA.jpg?width=650)
DIVA: ZITTO NI MUME WANGU
10 years ago
Bongo518 Sep
Global Publishers yawaomba radhi Zitto Kabwe na Diva
10 years ago
GPLUKWELI KUHUSU HABARI YA DIVA KUTAMKA ZITTO NI MUME WAKE
10 years ago
Bongo518 Feb
Lady Jaydee: Sina mtoto wala watoto, Sijajua mpaka sasa nitazaa lini…Accept me the way I am