Diva: Sina uhusiano na Alikiba
Mtangazaji wa Clouds FM, Diva the Bawse amekanusha tetesi zilizosambazwa na gazeti moja la udaku kuwa ana uhusiano na Alikiba.
Kupitia Instagram, Diva ameandika:
Kuna gazeti Nimetumiwa limeandika nina Mahusiano na Ali Kiba. bila aibu wametumia Picha tumepiga studio. really? Since when ? Ali he is My good friend. he is sucha great heart and soul sina mahusiano nae sijawahi Wallahi kuwa na Mahusiano nae hata mara 1. na focus sana na Kazi yangu nina Plan zangu kibao sitaki niandikwe mambo ya...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo528 Aug
Zitto: Sina uhusiano na Mwasiti wala Diva
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFWcQoJXwXOWjWhUDU28LlxwG-G8Avy*C1*mBsfoslOeW5I2KW*tFIz*By8NtAFxwW6tze42Svnm-KjvditorEJ3/ZITTO.jpg)
ZITTO AANIKA UHUSIANO WAKE NA DIVA
9 years ago
Mtanzania20 Nov
MO MUSIC: Sina uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji
NA MAULI MUYENJWA
MSANII wa Muziki wa Bongo Fleva, Moshi Katemi, maarufu kwa jina la Mo Music, amekana tetesi kwamba anatoka na mtangazaji mmoja wa redio maarufu nchini.
“Sijawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwandishi wa habari, ingawa ninafahamiana na wengi ila kikubwa huwa tunaongea kuhusu kazi, naamini muziki wangu ndiyo unaonifanya niwe maarufu, lakini siyo skendo kama hizo,” alisema Mo.
Aliongeza kwamba kutokana na kuuamini muziki wake hawezi kukubali kuchafuka kwa kashfa kwa kuwa...
10 years ago
Bongo Movies09 Jun
Jokate Mwegelo Afunguka kwa Mara ya Kwanza Kuhusu Uhusiano Wake na Alikiba
Wengi wanaamini kuwa Jokate Mwegelo na Alikiba kwasasa ni mtu na mpenzi wake japo wao hawajathibitisha hilo rasmi. Tetesi na hisia juu ya wawili hao kuzama kwenye dimbwi la mahaba zinachangiwa na picha zao kadhaa zinazoenea kwenye mtandao picha wa Instagram.
Lakini hatimaye Jokate amefunguka kwa mara ya kwanza kupitia mahojiano yake na Global TV. “Ni kwasababu Alikiba anapenda sana muziki na anajua muziki na anajua style mbalimbali.
Halafu ukitaka kuwa the best you obviously need to be...
10 years ago
Habarileo09 Aug
`Ushindani wa namba ni mkubwa Azam’ Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar Na Mwandishi Wetu MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la m
MCHEZAJI wa Azam FC, Kelvin Friday amesema ushindani wa namba ni mkubwa katika kikosi chake, hivyo anahitaji kuonesha juhudi ili kufanya vizuri na kuingizwa katika kikosi cha kwanza.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydWiKHVV7mzTXqsNHTVhmdpUZYozO0qsJlbjKc5mK-sgP8npjoYU3t1a2aH2OIWUS8V9NVLYokIEfOfrxEsPrFs7/nanu.jpg)
DIVA, GK LIVE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWyMu9OStupI-oHOEXcHngty*imrl6z0HZWHbkdt7RA-oC6knxzsVWLdJlWcuHdcC6SGlDng3eQ2oY7iUXn94ifz/DIVA.jpg?width=650)
DIVA: ZITTO NI MUME WANGU