Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIVA, GK LIVE

Loveness Malinzi ' Diva' (kulia) na King Crazy GK katika pozi la kimahaba. Loveness Malinzi 'Diva' wa  Clouds FM amevunja ukimya na kuweka wazi juu ya mahusiano yake na Msanii aliyekuwa anaunda kundi la East Coast Gwamaka Kaihura ' King Crazy GK' baada ya hapo jana kutupia picha katika akaunti yake ya instagram na kufunguka yafuatayo.."have a Beautiful sunday... i gotta man to take care of... Ofcoz my GK.. love y'all .. and...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

LIVE KUTOKA DAR LIVE: BURUDANI ZA MWANZO KABLA YA SHOO YA MWANA DAR LIVE

Waimbaji wa Mashauzi Classic wakiwa stejini. Msanii wa Bongo Fleva, Aisha Amsha Popo akifanya vitu vyake katika steji ya Dar Live usiku huu.…

 

9 years ago

Bongo5

Diva: Sina uhusiano na Alikiba

11917989_166629733673746_101973509_n

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva the Bawse amekanusha tetesi zilizosambazwa na gazeti moja la udaku kuwa ana uhusiano na Alikiba.

11917989_166629733673746_101973509_n

Kupitia Instagram, Diva ameandika:

Kuna gazeti Nimetumiwa limeandika nina Mahusiano na Ali Kiba. bila aibu wametumia Picha tumepiga studio. really? Since when ? Ali he is My good friend. he is sucha great heart and soul sina mahusiano nae sijawahi Wallahi kuwa na Mahusiano nae hata mara 1. na focus sana na Kazi yangu nina Plan zangu kibao sitaki niandikwe mambo ya...

 

9 years ago

GPL

DAVIDO AWAGOMBANISHA MASOGANGE, DIVA

Video Queen maarufu Bongo Agness Jerald ‘Masongange’. Na Imelda Mtema KITUKO! Mtangazaji wa kituo cha redio cha Clouds, Loveness Malinzi ‘Diva’ na Video Queen maarufu Bongo Agness Jerald ‘Masongange’ wamejikuta wakiingia katika ugomvi, kisa kikiwa ni msanii wa muziki wa Nigeria, Davido. Mtangazaji wa kituo cha redio cha Clouds, Loveness Malinzi ‘Diva’. Akizungumza na gazeti...

 

10 years ago

GPL

DIVA: ZITTO NI MUME WANGU

Na Shakoor Jongo
MTANGAZAJI wa Kipindi cha Ala za Roho kinachorushwa kupitia Radio Clouds FM ya jijini Dar, Loveness Malinzi ‘Diva’ kwa mara ya kwanza, amejilipua kuzungumzia uhusiano wake na Zitto Kabwe kwamba walikuwa mke na mume. Mtangazaji wa Kipindi cha Ala za Roho, Loveness Malinzi ‘Diva’ akipozi. Katika mahojiano maalum na mwanahabari wetu jijini Dar juzi, Diva alisema anashangazwa na baadhi...

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Sudanese diva on her desert songs

Amira Kheir been hailed as the Diva of the Sudanese Desert and is one of the most popular folk musicians to emerge from Sudan in the last decade. The singer told BBC Africa's Peter Okwoche about her new album.

 

10 years ago

GPL

DIVA, AUNT KIMENUKA CHANZO UJAUZITO!

Na Shakoor Jongo JAMBO limezua jambo! Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson amemvaa prizenta wa Kipindi cha Ala za Roho cha Redio Clouds FM, Lovennes Malinzi ‘Diva’ kwa madai kwamba amemtangaza mitandaoni kuwa amepachikwa ujauzito na mume wa mtu ambaye ni densa wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Peter ‘Moze Iyobo’, jambo ambalo ni uongo. Prizenta wa Kipindi cha Ala za Roho cha Redio...

 

5 years ago

The Citizen Daily

THE DIVA: Weaving a substantial love nest

THE DIVA: Weaving a substantial love nest  The Citizen Daily

 

11 years ago

GPL

DIVA, B 12, MCHOMVU ‘OUT’ CLOUDS

Stori:  MUSA MATEJA
WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na Loveness Malinzi ‘Diva’, wamepigwa chini na kituo hicho, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Hamis Mandi ‘B 12’. Habari za chini kwa chini kutoka kwa chanzo chetu zinasema kuwa uongozi wa Clouds umefikia hatua hiyo baada ya kuchoshwa na tabia ya utovu wa nidhamu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani