Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZITTO AANIKA UHUSIANO WAKE NA DIVA

Stori: Erick Evarist KWA mara ya kwanza Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe ameibuka na kuzungumzia uhusiano wake na mtangazaji wa Clouds FM, Loveness Malinzi ‘Diva’ na kufuta uvumi mzito uliokuwa ukizagaa kuwa wawili hao ni wapenzi. Mtangazaji wa Clouds FM, Loveness Malinzi ‘Diva’. Zitto alifunguka hayo juzi kupitia kipindi cha Mkasi kinachorushwa na Televesheni ya East Africa ambapo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Zitto: Sina uhusiano na Mwasiti wala Diva

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe ameibuka na kukana kuwa na mahusiano na mtangazaji wa Clouds FM, Loveness ‘Diva’ pamoja na msanii wa muziki, Mwasiti. Zitto alifunguka hayo juzi kupitia kipindi cha Mkasi cha EATV ambapo alikanusha kuwa na uhusiano wowote wa mapenzi na mastaa hao licha ya kudaiwa kutungiwa wimbo na Diva. “Mh! […]

 

10 years ago

GPL

UKWELI KUHUSU HABARI YA DIVA KUTAMKA ZITTO NI MUME WAKE

KATIKA Gazeti la Amani Toleo Namba 829 la Septemba 11-17, 2014, kulichapishwa habari ukurasa wa mbele iliyosomeka: “DIVA: ZITTO NI MUME WANGU.” Ikikolezwa na dondoo ‘Adai ni mke anayetambulika kisheria’ na ‘Asema hayuko tayari kuachana naye kirahisi,’ ambayo uongozi wa gazeti umekusudia kwa nia njema kutoa ukweli juu ya habari hiyo. Loveness Malinzi (Diva). Ufafanuzi huu unalenga kumaliza...

 

9 years ago

Bongo5

Diva: Sina uhusiano na Alikiba

11917989_166629733673746_101973509_n

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva the Bawse amekanusha tetesi zilizosambazwa na gazeti moja la udaku kuwa ana uhusiano na Alikiba.

11917989_166629733673746_101973509_n

Kupitia Instagram, Diva ameandika:

Kuna gazeti Nimetumiwa limeandika nina Mahusiano na Ali Kiba. bila aibu wametumia Picha tumepiga studio. really? Since when ? Ali he is My good friend. he is sucha great heart and soul sina mahusiano nae sijawahi Wallahi kuwa na Mahusiano nae hata mara 1. na focus sana na Kazi yangu nina Plan zangu kibao sitaki niandikwe mambo ya...

 

10 years ago

GPL

DIVA: ZITTO NI MUME WANGU

Na Shakoor Jongo
MTANGAZAJI wa Kipindi cha Ala za Roho kinachorushwa kupitia Radio Clouds FM ya jijini Dar, Loveness Malinzi ‘Diva’ kwa mara ya kwanza, amejilipua kuzungumzia uhusiano wake na Zitto Kabwe kwamba walikuwa mke na mume. Mtangazaji wa Kipindi cha Ala za Roho, Loveness Malinzi ‘Diva’ akipozi. Katika mahojiano maalum na mwanahabari wetu jijini Dar juzi, Diva alisema anashangazwa na baadhi...

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto aanika majina mabilioni ya Uswisi

Kiongozi mkuu wa chama chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe jana alianika orodha ya majina ya watu wanaotuhumiwa kuhodhi akaunti zenye mabilioni ya fedha nje ya nchi, lakini akasita kuyataja kutokana na sababu za kisheria.

 

10 years ago

Bongo5

Global Publishers yawaomba radhi Zitto Kabwe na Diva

Kupitia gazeti la Amani la Septemba 11-17, 2014, kulichapishwa habari ukurasa wa mbele iliyosomeka: “DIVA: ZITTO NI MUME WANGU.” Ikikolezwa na dondoo ‘Adai ni mke anayetambulika kisheria’ na ‘Asema hayuko tayari kuachana naye kirahisi,’. Na sasa uongozi wa gazeti hilo umekusudia kwa nia njema kutoa ukweli juu ya habari hiyo. Ufafanuzi huu unalenga kumaliza mkanganyiko […]

 

10 years ago

GPL

JOKATE AANIKA MAPENZI YAKE KWA JANUARI, ZITTO NA MILLARD

Leo kwenye safu hii tunaye mwanadada ambaye anaendesha maisha yake kwa kazi mbalimbali zikiwemo uigizaji, muziki, uanamitindo, ujasiriamali na utangazaji. Miss Tanzania namba 2, 2006, Jokate Mwegelo akipozi. Huyu ni Jokate Mwegelo ambaye ni Miss Tanzania namba 2, 2006. Wiki hii yuko hapa kujibu maswali 10 ambayo mwandishi wetu Hamida Hassan alimuuliza na akatoa ushirikiano katika kuyajibu. Ijumaa: Kuna madai kwamba sasa hivi...

 

9 years ago

Mtanzania

Jennifer Lopez aanika mwili wake

Three Lions Entertainment Presents Fashion Rocks 2014 - ShowLOS ANGELES, MAREKANI

NYOTA wa muziki nchini Marekani, Jennifer Lopez ‘J.Lo’, juzi alishangaza mashabiki wake kutokana na vazi lake alilovaa kwenye utoaji wa tuzo za American Music Awards, ambapo vazi hilo lilionesha sehemu kubwa ya makalio yake.

Hata hivyo, msanii huyo alionekana hana wasi wasi na nguo hiyo, ambapo aliwaambia mashabiki wake kwamba, huo ulikuwa ni usiku wake na ndiyo maana aliamua kuwa tofauti na wengine.

Msanii huyo amekuwa hakauki na matukio, japokuwa umri wake umekwenda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani