ZITTO AANIKA UHUSIANO WAKE NA DIVA
![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFWcQoJXwXOWjWhUDU28LlxwG-G8Avy*C1*mBsfoslOeW5I2KW*tFIz*By8NtAFxwW6tze42Svnm-KjvditorEJ3/ZITTO.jpg)
Stori: Erick Evarist KWA mara ya kwanza Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe ameibuka na kuzungumzia uhusiano wake na mtangazaji wa Clouds FM, Loveness Malinzi ‘Diva’ na kufuta uvumi mzito uliokuwa ukizagaa kuwa wawili hao ni wapenzi. Mtangazaji wa Clouds FM, Loveness Malinzi ‘Diva’. Zitto alifunguka hayo juzi kupitia kipindi cha Mkasi kinachorushwa na Televesheni ya East Africa ambapo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo528 Aug
Zitto: Sina uhusiano na Mwasiti wala Diva
10 years ago
GPLUKWELI KUHUSU HABARI YA DIVA KUTAMKA ZITTO NI MUME WAKE
9 years ago
Bongo515 Dec
Diva: Sina uhusiano na Alikiba
![11917989_166629733673746_101973509_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11917989_166629733673746_101973509_n-300x194.jpg)
Mtangazaji wa Clouds FM, Diva the Bawse amekanusha tetesi zilizosambazwa na gazeti moja la udaku kuwa ana uhusiano na Alikiba.
Kupitia Instagram, Diva ameandika:
Kuna gazeti Nimetumiwa limeandika nina Mahusiano na Ali Kiba. bila aibu wametumia Picha tumepiga studio. really? Since when ? Ali he is My good friend. he is sucha great heart and soul sina mahusiano nae sijawahi Wallahi kuwa na Mahusiano nae hata mara 1. na focus sana na Kazi yangu nina Plan zangu kibao sitaki niandikwe mambo ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWyMu9OStupI-oHOEXcHngty*imrl6z0HZWHbkdt7RA-oC6knxzsVWLdJlWcuHdcC6SGlDng3eQ2oY7iUXn94ifz/DIVA.jpg?width=650)
DIVA: ZITTO NI MUME WANGU
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Zitto aanika majina mabilioni ya Uswisi
10 years ago
Bongo518 Sep
Global Publishers yawaomba radhi Zitto Kabwe na Diva
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YRV3Lv4YkEKN*riTkpzr-P31K9ejKc21SFcCDGU1ipmcFpzw-uj1DEtXOlvPP*fnE-EJPJY8btVnEYYpOECJMUIekgrBcUXd/Jokate.jpg)
JOKATE AANIKA MAPENZI YAKE KWA JANUARI, ZITTO NA MILLARD
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Jennifer Lopez aanika mwili wake
LOS ANGELES, MAREKANI
NYOTA wa muziki nchini Marekani, Jennifer Lopez ‘J.Lo’, juzi alishangaza mashabiki wake kutokana na vazi lake alilovaa kwenye utoaji wa tuzo za American Music Awards, ambapo vazi hilo lilionesha sehemu kubwa ya makalio yake.
Hata hivyo, msanii huyo alionekana hana wasi wasi na nguo hiyo, ambapo aliwaambia mashabiki wake kwamba, huo ulikuwa ni usiku wake na ndiyo maana aliamua kuwa tofauti na wengine.
Msanii huyo amekuwa hakauki na matukio, japokuwa umri wake umekwenda...