Global Publishers yawaomba radhi Zitto Kabwe na Diva
Kupitia gazeti la Amani la Septemba 11-17, 2014, kulichapishwa habari ukurasa wa mbele iliyosomeka: “DIVA: ZITTO NI MUME WANGU.” Ikikolezwa na dondoo ‘Adai ni mke anayetambulika kisheria’ na ‘Asema hayuko tayari kuachana naye kirahisi,’. Na sasa uongozi wa gazeti hilo umekusudia kwa nia njema kutoa ukweli juu ya habari hiyo. Ufafanuzi huu unalenga kumaliza mkanganyiko […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Vodacom yawaomba radhi watejaÂ
KAMPUNI ya simu za mikononi ya Vodacom imewaomba radhi wateja wake kutokana na kukatika kwa huduma. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza, alisema hali...
10 years ago
Dewji Blog03 Oct
Skylight Band yakwea pipa kutumbuiza Oman, yawaomba radhi mashabiki wake Dar
Uongozi wa Skylight Band unawaomba radhi mashabiki wake wa Dar es Salaam kwa kutokuwepo nchini kwa ajili ya kutoa burudani jioni ya leo kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village Masaki pamoja na siku ya Jumapili kwenye Skylight Sunday Bonanza katika kiota cha maraha Escape One kutokana na kupata mwaliko wa kutumbuiza nchini Oman.
Skylight Band watarejea nyumbani wiki ijayo na kuendelea na ratiba zao kama kawaida ambapo siku ya Ijumaa tarehe 10/10/2014 watakuwepo Thai Village pamoja na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pIRF2oTwTNc/U6F71HfCVfI/AAAAAAAFrgM/75fFMB57Hq8/s72-c/unnamed+(17).jpg)
M-Pesa yarejea hewani,Vodacoma yawaomba radhi wateja wake kwa tatizo lililojitokeza
![](http://2.bp.blogspot.com/-pIRF2oTwTNc/U6F71HfCVfI/AAAAAAAFrgM/75fFMB57Hq8/s1600/unnamed+(17).jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza amewaambia waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo kuwa huduma hiyo kwa sasa iko imara na kuchukua nafasi hiyo kuwoamba radhi wateja kwa usumbufu walioupata wakati huduma hiyo ilipokosekana.
“Napenda kuwaomba radhi wateja wetu...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/10494817_372473116244006_3617867818539775125_n.jpg)
SKYLIGHT BAND YAKWEA PIPA KUTUMBUIZA OMAN, YAWAOMBA RADHI MASHABIKI WAKE DAR
10 years ago
GPLMAD ICE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS, ALONGA NA GLOBAL TV ONLINE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO yawaomba radhi wakazi wote wa jiji la Dar na mji wa Bagamoyo kwa kukosekana kwa huduma ya maji
![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s1600/Untitled1.png)
Kukosekana kwa huduma hii kulitokana na kazi ya mkandarasi (Sino-hydro Corporation ltd) kuunganisha bomba la zamani na bomba jipya (cross-connection) katika mtambo wa Ruvu Chini eneo la Mpiji, Bagamoyo na eneo la Chuo Kikuu Ardhi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWyMu9OStupI-oHOEXcHngty*imrl6z0HZWHbkdt7RA-oC6knxzsVWLdJlWcuHdcC6SGlDng3eQ2oY7iUXn94ifz/DIVA.jpg?width=650)
DIVA: ZITTO NI MUME WANGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFWcQoJXwXOWjWhUDU28LlxwG-G8Avy*C1*mBsfoslOeW5I2KW*tFIz*By8NtAFxwW6tze42Svnm-KjvditorEJ3/ZITTO.jpg)
ZITTO AANIKA UHUSIANO WAKE NA DIVA