Vodacom yawaomba radhi watejaÂ
KAMPUNI ya simu za mikononi ya Vodacom imewaomba radhi wateja wake kutokana na kukatika kwa huduma. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza, alisema hali...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo518 Sep
Global Publishers yawaomba radhi Zitto Kabwe na Diva
10 years ago
Dewji Blog03 Oct
Skylight Band yakwea pipa kutumbuiza Oman, yawaomba radhi mashabiki wake Dar
Uongozi wa Skylight Band unawaomba radhi mashabiki wake wa Dar es Salaam kwa kutokuwepo nchini kwa ajili ya kutoa burudani jioni ya leo kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village Masaki pamoja na siku ya Jumapili kwenye Skylight Sunday Bonanza katika kiota cha maraha Escape One kutokana na kupata mwaliko wa kutumbuiza nchini Oman.
Skylight Band watarejea nyumbani wiki ijayo na kuendelea na ratiba zao kama kawaida ambapo siku ya Ijumaa tarehe 10/10/2014 watakuwepo Thai Village pamoja na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pIRF2oTwTNc/U6F71HfCVfI/AAAAAAAFrgM/75fFMB57Hq8/s72-c/unnamed+(17).jpg)
M-Pesa yarejea hewani,Vodacoma yawaomba radhi wateja wake kwa tatizo lililojitokeza
![](http://2.bp.blogspot.com/-pIRF2oTwTNc/U6F71HfCVfI/AAAAAAAFrgM/75fFMB57Hq8/s1600/unnamed+(17).jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza amewaambia waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo kuwa huduma hiyo kwa sasa iko imara na kuchukua nafasi hiyo kuwoamba radhi wateja kwa usumbufu walioupata wakati huduma hiyo ilipokosekana.
“Napenda kuwaomba radhi wateja wetu...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/10494817_372473116244006_3617867818539775125_n.jpg)
SKYLIGHT BAND YAKWEA PIPA KUTUMBUIZA OMAN, YAWAOMBA RADHI MASHABIKI WAKE DAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO yawaomba radhi wakazi wote wa jiji la Dar na mji wa Bagamoyo kwa kukosekana kwa huduma ya maji
![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s1600/Untitled1.png)
Kukosekana kwa huduma hii kulitokana na kazi ya mkandarasi (Sino-hydro Corporation ltd) kuunganisha bomba la zamani na bomba jipya (cross-connection) katika mtambo wa Ruvu Chini eneo la Mpiji, Bagamoyo na eneo la Chuo Kikuu Ardhi...
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Airtel yashinda tuzo mbili kwa kutoa huduma bora kwa watejaâ€
MKurugenzi Mkuu wa Airtel Bwana Sunil Colaso akipokea tuzo ya ubora katika kipengele cha kutoa huduma za kimtandao kutoka kwa waandaaji wa tuzo za Tanzania Leadership Award bwana Kishore Bollakpalli (kushoto). Airtel Tanzania imejishindia tuzo mbili za ubora katika kipengele cha kutoa huduma za kimtandao pamoja na huduma zinazokidhi mahitaji ya wateja.
Yajishindia tuzo kwa matumizi bora katika kutoa huuduma za kimtandao pamoja na huduma zinazokidhi mahitaji ya wateja
Dar es Salaam, Jumanne...
10 years ago
BBCSwahili08 Mar
Kampuni yawaomba msamaha wanawake
9 years ago
MichuziSUMATRA yawaomba wananchi kupendekeza nauli za BRT
5 years ago
MichuziBAKWATA SINGIDA YAWAOMBA WAISLAMU KUOMBEA DUA UGONJWA WA KORONA