BAKWATA SINGIDA YAWAOMBA WAISLAMU KUOMBEA DUA UGONJWA WA KORONA
Ni Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi(CCM) Elibariki Emmanueli Kingu (wa kwanza kutoka kushoto) akimkabidhi Katibu wa Bakwata wa Mkoa wa Singida,Alhaji Buruhani Mlau vitabu vitakatifu vya korani tukufu,vikiwemo misahamu 100 pamoja na juzuu 400 kwa ajili ya kugawa kwenye misikiti ya jimbo la Singida Magharibi.
Baadhi ya vitabu vitakatifu(juzuuu) zilizokabidhiwa na Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi(CCM)Elibariki Emmanueli Kingu kwa ajili ya kusambazwa kwenye misikiti ya jimbo zima la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziBAKWATA MKOA WA SINGIDA YAWAOMBA WAISLAMU KUVITUMIA VITABU VITAKATIBU KUOMBA DUA UGONJWA WA KORONA UWEZE KUTOWEKA
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Singida limewaomba waumini wa madhehebu ya dini ya kiislamu Mkoani Singida kuvitumia vitabu vya korani tukufu kusoma na kuomba dua ili Mwenyezimungu aweze kuwaondolea waislamu,watanzania pamoja na duniani kwa ujumla janga la COVID -19 linalosababisha ugonjwa wa korona.
Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa Bakwata wa Mkoa wa Singida,Alhaji Buruhani Mlau kwenye hafla ya kupokea vitabu vya koroni tukufu vikiwepo...
9 years ago
Habarileo25 Oct
Waswali kuombea dua uchaguzi mkuu
IKIWA leo ni siku ya Uchaguzi Mkuu wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Rais wa Zanzibar, wabunge, wawakilishi na madiwani, wananchi wa mikoa miwili ya Pemba, Kusini na Kaskazini wameswali pamoja kuombea dua uchaguzi mkuu unaofanyika leo uwe wa amani.
10 years ago
Habarileo15 Nov
Waislamu kuombea nchi
WAISLAMU nchini leo wanaanza kufanya dua maalumu katika viwanja vya Jangwani, kuombea Watanzania kumrudia Mungu na kuwa na hofu na Mungu katika matendo yao.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rUrHnDSl8N-7H4T*-XYZGqykoKWaG1jMSMF8Zc1A-bZPp8PlVdoUiYVw39jXnTj6*3t4qznatESMHgqAoVXnCpqnxtP5O*u0/mufti.jpg?width=600)
MAHAKAMA YA KADHI, BAKWATA WAWASIHI WAISLAMU
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Waislamu watakiwa kuiunga mkono Bakwata
TAASISI ya Tanzania Islamic Peace Foundation (TIPF) imewataka Waislamu kuunga mkono juhudi za maendeleo zinazofanywa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata). Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Sheikh Sadiki...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QiYZ3d6wXIc/ViuvmwA-c6I/AAAAAAAIClA/y4gXwzrqmiE/s72-c/IMG-20151024-WA0025.jpg)
5 years ago
MichuziWAISLAMU KUFANYA DUA YA KUMSHUKURU MUNGU KWA SIKU TATU
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BWAKWATA) Mkoa wa Mwanza, limesema waumini wa dini hiyo mkoani humu wataungana na wa mikoa mingine nchini kufanya ibada ya kuomba dua kumshukuru Mungu kwa kusikia na kujibu maombi ya Watanzania kuhusiana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (Covid-19).
Pia watafanya ibada ya kumwombea dua Rais John Magufuli, Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda kwa alichokionyesha na hatua alizochukua za kuwapigania wananchi wanyonge kwenye mapambano ya...
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-klpsuja_-IU/VkA-hnjCveI/AAAAAAAArHk/mRhHFaiawdo/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA ASHIRIKI HAFLA YA DUA YA KUOMBEA TAIFA AMANI, JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-klpsuja_-IU/VkA-hnjCveI/AAAAAAAArHk/mRhHFaiawdo/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9xj7_MCRi2k/VkA-m_zXa1I/AAAAAAAArH4/691SQAA8x8k/s640/1.jpg)
5 years ago
MichuziHUAWEI YATOA MCHANGO KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI ZA KUPAMBANA NA UGONJWA WA KORONA.