WAISLAMU KUFANYA DUA YA KUMSHUKURU MUNGU KWA SIKU TATU
NA BALTAZAR MASHAKA, Mwanza
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BWAKWATA) Mkoa wa Mwanza, limesema waumini wa dini hiyo mkoani humu wataungana na wa mikoa mingine nchini kufanya ibada ya kuomba dua kumshukuru Mungu kwa kusikia na kujibu maombi ya Watanzania kuhusiana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (Covid-19).
Pia watafanya ibada ya kumwombea dua Rais John Magufuli, Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda kwa alichokionyesha na hatua alizochukua za kuwapigania wananchi wanyonge kwenye mapambano ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-s5XnMV2bWb0/XsY47PIpDpI/AAAAAAAC5wU/YaxMwVqDm14ZW6bxrLJV10uPlbjK0EEbwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WATANZANIA KUFANYA MAOMBI KITAIFA SIKU TATU KUMSHUKURU MUNGU KWA KUTULINDA DHIDI YA JANG LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-s5XnMV2bWb0/XsY47PIpDpI/AAAAAAAC5wU/YaxMwVqDm14ZW6bxrLJV10uPlbjK0EEbwCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
Maombi hayo ya siku tatu, (Ijumaa, Jumamosi na Jumapili (Tarehe 22-24 Mei, 2020) yanafuatia wito wa Rais John Magufuli kupitia Hotuba yake aliyoitoa Jumapili ya tarehe 17 Mei, 2020 wakati akitoa takwimu za Corona katika maeneo mbalimbali ya nchi.
Rais Magufuli aliwahimiza Wananchi katika...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KFpwzB-AXIs/VJ5Jz_yr2WI/AAAAAAAAsG8/MVmWY-dtPSI/s72-c/WAZIRI.jpg)
NYALANDU KUFANYA TAMASHA KUBWA LA KUMSHUKURU MUNGU KWA KUTIMIZA MIAKA 15 YA UBUNGE WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-KFpwzB-AXIs/VJ5Jz_yr2WI/AAAAAAAAsG8/MVmWY-dtPSI/s1600/WAZIRI.jpg)
Na Mwandishi Wetu
Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, Desemba 28, 2014 (kesho J’pili) atafanya mkutano mkubwa kwa ajili ya kumshukuru Mwenyezi Mungu na wananchi wa Singida Vijijini na Watanzania wote kwa kutimiza miaka 15 ya ubunge.
Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Mbunge huyo, Elia Diga, imesema kuwa mkutano huo ambao utaambatana na burudani mbalimbali, utafanyika katika Kata ya Ilongero na utahudhuriwa na viongozi wa Chama na serikali, viongozi wa dini zote na wananchi zaidi ya...
5 years ago
BBCSwahili22 May
Virusi vya corona: Watanzania waanza maombi ya siku 3 kumshukuru Mungu kwa kuwaepusha na janga
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-4IjTBiWlGJc/VOQFMaGfF-I/AAAAAAADZvk/XZ793ldIPsY/s72-c/10430463_883962068294975_6601982860648987121_n.jpg)
SEMA AMEN KWA KUMSHUKURU MUNGU
![](http://3.bp.blogspot.com/-4IjTBiWlGJc/VOQFMaGfF-I/AAAAAAADZvk/XZ793ldIPsY/s1600/10430463_883962068294975_6601982860648987121_n.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-P-tkHW0f02M/VISJvzgfkNI/AAAAAAAG1xY/xzctAo36jYs/s72-c/unnamed%2B(99).jpg)
JK afanya Kisomo Kumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kupona
![](http://2.bp.blogspot.com/-P-tkHW0f02M/VISJvzgfkNI/AAAAAAAG1xY/xzctAo36jYs/s1600/unnamed%2B(99).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dTvfesoWvQ0/VISJws1q5UI/AAAAAAAG1xc/eeOkK75N7vg/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jRqgxRND6Ug/VISJw3RxigI/AAAAAAAG1xk/_NKysoqp1E8/s1600/unnamed%2B(100).jpg)
5 years ago
BBCSwahili24 May
Virusi vya corona: Watanzania wafika kilele cha siku tatu za maombi ya shukrani kwa Mungu
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-dIAfn0-uHcU/VIRg-N43EHI/AAAAAAADQFw/_4ivTS3MR7c/s72-c/D92A6166.jpg)
Rais Kikwete afanya Kisomo Kumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kupona
![](http://1.bp.blogspot.com/-dIAfn0-uHcU/VIRg-N43EHI/AAAAAAADQFw/_4ivTS3MR7c/s1600/D92A6166.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4QhYbTyOvIU/VIRg-dHptZI/AAAAAAADQFk/EfYmOw2iVKU/s1600/D92A6155.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MnLwXCnWXKs/VIRg-nKx5vI/AAAAAAADQFo/ehygY6FwDhk/s1600/D92A6216.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1pYGM2xUDQmtRq6VqS9YZ2N0aaCzkt6v3vI4KNa*2Ml8fdzhBh3HEED0imcixqFgII*4cDeE7AX-hFlxet6VALWCAkTfZVKq/JK.jpg?width=750)
MHESHIMIWA RAIS TUNAKUOMBEA KWA MUNGU UPONE HARAKA, TUKO NAWE KWA DUA NA SADAKA
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Wajumbe kuomba, kumshukuru Mungu
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10