NYALANDU KUFANYA TAMASHA KUBWA LA KUMSHUKURU MUNGU KWA KUTIMIZA MIAKA 15 YA UBUNGE WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-KFpwzB-AXIs/VJ5Jz_yr2WI/AAAAAAAAsG8/MVmWY-dtPSI/s72-c/WAZIRI.jpg)
Na Mwandishi Wetu
Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, Desemba 28, 2014 (kesho J’pili) atafanya mkutano mkubwa kwa ajili ya kumshukuru Mwenyezi Mungu na wananchi wa Singida Vijijini na Watanzania wote kwa kutimiza miaka 15 ya ubunge.
Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Mbunge huyo, Elia Diga, imesema kuwa mkutano huo ambao utaambatana na burudani mbalimbali, utafanyika katika Kata ya Ilongero na utahudhuriwa na viongozi wa Chama na serikali, viongozi wa dini zote na wananchi zaidi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAISLAMU KUFANYA DUA YA KUMSHUKURU MUNGU KWA SIKU TATU
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BWAKWATA) Mkoa wa Mwanza, limesema waumini wa dini hiyo mkoani humu wataungana na wa mikoa mingine nchini kufanya ibada ya kuomba dua kumshukuru Mungu kwa kusikia na kujibu maombi ya Watanzania kuhusiana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (Covid-19).
Pia watafanya ibada ya kumwombea dua Rais John Magufuli, Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda kwa alichokionyesha na hatua alizochukua za kuwapigania wananchi wanyonge kwenye mapambano ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-KFpwzB-AXIs/VJ5Jz_yr2WI/AAAAAAAAsG8/MVmWY-dtPSI/s72-c/WAZIRI.jpg)
TUTANI: NYALANDU KUFANYA TAMASHA KUBWA ILONGELO JUMAPILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-KFpwzB-AXIs/VJ5Jz_yr2WI/AAAAAAAAsG8/MVmWY-dtPSI/s1600/WAZIRI.jpg)
Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, Desemba 28, 2014 (kesho J’pili) atafanya mkutano mkubwa kwa ajili ya kumshukuru Mwenyezi Mungu na wananchi wa Singida Vijijini na Watanzania wote kwa kutimiza miaka 15 ya ubunge.
Taarifa iliyotolewa na Mbunge huyo, Elia Diga, imesema kuwa mkutano huo ambao utaambatana na burudani mbalimbali, utafanyika katika Kata ya Ilongero na utahudhuriwa na viongozi wa Chama na serikali, viongozi wa dini zote...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-s5XnMV2bWb0/XsY47PIpDpI/AAAAAAAC5wU/YaxMwVqDm14ZW6bxrLJV10uPlbjK0EEbwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WATANZANIA KUFANYA MAOMBI KITAIFA SIKU TATU KUMSHUKURU MUNGU KWA KUTULINDA DHIDI YA JANG LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-s5XnMV2bWb0/XsY47PIpDpI/AAAAAAAC5wU/YaxMwVqDm14ZW6bxrLJV10uPlbjK0EEbwCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
Maombi hayo ya siku tatu, (Ijumaa, Jumamosi na Jumapili (Tarehe 22-24 Mei, 2020) yanafuatia wito wa Rais John Magufuli kupitia Hotuba yake aliyoitoa Jumapili ya tarehe 17 Mei, 2020 wakati akitoa takwimu za Corona katika maeneo mbalimbali ya nchi.
Rais Magufuli aliwahimiza Wananchi katika...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9pdvb2Vf9Dk/Vkjwb5r6PeI/AAAAAAADCbk/5CGDXJbnHAo/s72-c/_MG_0920.jpg)
TAMASHA LA KUMSHUKURU MUNGU SASA KUFANYIKA DESEMBA 25 DIAMOND JUBILEE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-9pdvb2Vf9Dk/Vkjwb5r6PeI/AAAAAAADCbk/5CGDXJbnHAo/s640/_MG_0920.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-E_K9kTFcA/VkjwdXkZumI/AAAAAAADCbo/UVWfRI-g76A/s640/_MG_0939.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki kuhusu maandalizi ya tamasha la kumshukuru Mungu kwa amani na utulivu wakati...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Vx9eeFFwZII/VOG2Q-InKKI/AAAAAAACz4s/LlUutAwbxoA/s72-c/1.jpg)
TAMASHA LA PASAKA KUTIMIZA MIAKA 15 KWA KISHINDO,KUHUSISHA SHUGHULI MBALIMBALI ZA KIJAMII
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vx9eeFFwZII/VOG2Q-InKKI/AAAAAAACz4s/LlUutAwbxoA/s1600/1.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama amezungumza na waandishi wa habari katika ofisi zake zilizopo kinondoni Moroco hapo jana,kuhusiana na maandalizi ya tamasha hilo kwa mwaka huu, Msama amesema tamasha hilo mwaka huu pamoja na kuwepo waimbaji wa muziki wa ...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-4IjTBiWlGJc/VOQFMaGfF-I/AAAAAAADZvk/XZ793ldIPsY/s72-c/10430463_883962068294975_6601982860648987121_n.jpg)
SEMA AMEN KWA KUMSHUKURU MUNGU
![](http://3.bp.blogspot.com/-4IjTBiWlGJc/VOQFMaGfF-I/AAAAAAADZvk/XZ793ldIPsY/s1600/10430463_883962068294975_6601982860648987121_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/O-ICNgh4uW0/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-P-tkHW0f02M/VISJvzgfkNI/AAAAAAAG1xY/xzctAo36jYs/s72-c/unnamed%2B(99).jpg)
JK afanya Kisomo Kumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kupona
![](http://2.bp.blogspot.com/-P-tkHW0f02M/VISJvzgfkNI/AAAAAAAG1xY/xzctAo36jYs/s1600/unnamed%2B(99).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dTvfesoWvQ0/VISJws1q5UI/AAAAAAAG1xc/eeOkK75N7vg/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jRqgxRND6Ug/VISJw3RxigI/AAAAAAAG1xk/_NKysoqp1E8/s1600/unnamed%2B(100).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-dIAfn0-uHcU/VIRg-N43EHI/AAAAAAADQFw/_4ivTS3MR7c/s72-c/D92A6166.jpg)
Rais Kikwete afanya Kisomo Kumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kupona
![](http://1.bp.blogspot.com/-dIAfn0-uHcU/VIRg-N43EHI/AAAAAAADQFw/_4ivTS3MR7c/s1600/D92A6166.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4QhYbTyOvIU/VIRg-dHptZI/AAAAAAADQFk/EfYmOw2iVKU/s1600/D92A6155.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MnLwXCnWXKs/VIRg-nKx5vI/AAAAAAADQFo/ehygY6FwDhk/s1600/D92A6216.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10