Rais Kikwete afanya Kisomo Kumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kupona
![](http://1.bp.blogspot.com/-dIAfn0-uHcU/VIRg-N43EHI/AAAAAAADQFw/_4ivTS3MR7c/s72-c/D92A6166.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia baadhi ya Mashekhe na wageni waliohudhuria hafla ya kisomo maalum cha Kumshukuru Mwenyezi Mungu baada ya kufanyiwa upasuaji na kurejea nyumbani salama kilichofanyika katika viwanja vya ikulu jijini Dar es Salaam leo Jumapili Desemba 7, 2014.
Mjukuu wa Rais, Ayman Ridhiwani Kikwete akicheza kwa furaha wakati Babu yake Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwashukuru wageni na Mashekhe waliohudhuria hafla ya kisomo maalum kilichofanyika katika viwanja vya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-P-tkHW0f02M/VISJvzgfkNI/AAAAAAAG1xY/xzctAo36jYs/s72-c/unnamed%2B(99).jpg)
JK afanya Kisomo Kumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kupona
![](http://2.bp.blogspot.com/-P-tkHW0f02M/VISJvzgfkNI/AAAAAAAG1xY/xzctAo36jYs/s1600/unnamed%2B(99).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dTvfesoWvQ0/VISJws1q5UI/AAAAAAAG1xc/eeOkK75N7vg/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jRqgxRND6Ug/VISJw3RxigI/AAAAAAAG1xk/_NKysoqp1E8/s1600/unnamed%2B(100).jpg)
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Mama Kikwete awataka Walemavu kutokumlaumu mwenyezi Mungu kwa Ulemavu wao
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimkabidhi Kiongozi wa Kituo cha walemavu cha Raisbura Bwana Mohamed Chitawala baadhi ya vyakula alivyowaletea- mchele, unga, mafuta ya kupikia, sukai, soda na vinginevyo wakati alipotembelea kituo cha walemavu cha Rasibura huko Lindi siku ya Pasaka.
Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi
Watu wenye ulemavu wa viungo wametakiwa kutosikitika kwanini Mwenyezi Mungu aliwaumba hivyo na kujiona wanyonge bali wajione wako sawa na watu wengine kwani katika maisha ya...
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-4IjTBiWlGJc/VOQFMaGfF-I/AAAAAAADZvk/XZ793ldIPsY/s72-c/10430463_883962068294975_6601982860648987121_n.jpg)
SEMA AMEN KWA KUMSHUKURU MUNGU
![](http://3.bp.blogspot.com/-4IjTBiWlGJc/VOQFMaGfF-I/AAAAAAADZvk/XZ793ldIPsY/s1600/10430463_883962068294975_6601982860648987121_n.jpg)
5 years ago
MichuziWAISLAMU KUFANYA DUA YA KUMSHUKURU MUNGU KWA SIKU TATU
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BWAKWATA) Mkoa wa Mwanza, limesema waumini wa dini hiyo mkoani humu wataungana na wa mikoa mingine nchini kufanya ibada ya kuomba dua kumshukuru Mungu kwa kusikia na kujibu maombi ya Watanzania kuhusiana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (Covid-19).
Pia watafanya ibada ya kumwombea dua Rais John Magufuli, Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda kwa alichokionyesha na hatua alizochukua za kuwapigania wananchi wanyonge kwenye mapambano ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KFpwzB-AXIs/VJ5Jz_yr2WI/AAAAAAAAsG8/MVmWY-dtPSI/s72-c/WAZIRI.jpg)
NYALANDU KUFANYA TAMASHA KUBWA LA KUMSHUKURU MUNGU KWA KUTIMIZA MIAKA 15 YA UBUNGE WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-KFpwzB-AXIs/VJ5Jz_yr2WI/AAAAAAAAsG8/MVmWY-dtPSI/s1600/WAZIRI.jpg)
Na Mwandishi Wetu
Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, Desemba 28, 2014 (kesho J’pili) atafanya mkutano mkubwa kwa ajili ya kumshukuru Mwenyezi Mungu na wananchi wa Singida Vijijini na Watanzania wote kwa kutimiza miaka 15 ya ubunge.
Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Mbunge huyo, Elia Diga, imesema kuwa mkutano huo ambao utaambatana na burudani mbalimbali, utafanyika katika Kata ya Ilongero na utahudhuriwa na viongozi wa Chama na serikali, viongozi wa dini zote na wananchi zaidi ya...
5 years ago
BBCSwahili22 May
Virusi vya corona: Watanzania waanza maombi ya siku 3 kumshukuru Mungu kwa kuwaepusha na janga
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-s5XnMV2bWb0/XsY47PIpDpI/AAAAAAAC5wU/YaxMwVqDm14ZW6bxrLJV10uPlbjK0EEbwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WATANZANIA KUFANYA MAOMBI KITAIFA SIKU TATU KUMSHUKURU MUNGU KWA KUTULINDA DHIDI YA JANG LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-s5XnMV2bWb0/XsY47PIpDpI/AAAAAAAC5wU/YaxMwVqDm14ZW6bxrLJV10uPlbjK0EEbwCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
Maombi hayo ya siku tatu, (Ijumaa, Jumamosi na Jumapili (Tarehe 22-24 Mei, 2020) yanafuatia wito wa Rais John Magufuli kupitia Hotuba yake aliyoitoa Jumapili ya tarehe 17 Mei, 2020 wakati akitoa takwimu za Corona katika maeneo mbalimbali ya nchi.
Rais Magufuli aliwahimiza Wananchi katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Nx03ocxbc1U/XrVjLB0fSCI/AAAAAAALpfg/no6Ws3gz4uwOPydcdJU3ePRpvDbuvaIpwCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
MZEE ALI HASSAN MWINYI ATIMIZA MIAKA 95, WATANZANIA WAMUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AZIDI KUMPA AFYA NJEMA
LEO Rais mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi anasherehekea siku yake ya luzaliwa kwa kufikisha umri wa miaka 95 akiwa mwenye afya njema.
Watanzania wa kada mbalimbali wamempongeza mzee Mwinyi kwa kufikisha umri huo huku wakiendelea kumuombea kwa Mwenyezi Mungu azidi kumpa afya njema na maisha marefu.Mzee Mwinyi ambaye ameliongoza Taifa la Tanzania katika Serikali ya Awamu ya Pili ameendelea kuwa Rais mwenye kupendwa na kukumbukwa na hasa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10