MZEE ALI HASSAN MWINYI ATIMIZA MIAKA 95, WATANZANIA WAMUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AZIDI KUMPA AFYA NJEMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Nx03ocxbc1U/XrVjLB0fSCI/AAAAAAALpfg/no6Ws3gz4uwOPydcdJU3ePRpvDbuvaIpwCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
LEO Rais mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi anasherehekea siku yake ya luzaliwa kwa kufikisha umri wa miaka 95 akiwa mwenye afya njema.
Watanzania wa kada mbalimbali wamempongeza mzee Mwinyi kwa kufikisha umri huo huku wakiendelea kumuombea kwa Mwenyezi Mungu azidi kumpa afya njema na maisha marefu.Mzee Mwinyi ambaye ameliongoza Taifa la Tanzania katika Serikali ya Awamu ya Pili ameendelea kuwa Rais mwenye kupendwa na kukumbukwa na hasa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-blHF9qgvWyI/VUwfSTbsemI/AAAAAAAAImo/256JN_FkEr4/s72-c/Alhaj%2BA.%2BH.%2BMwinyi.jpg)
Miaka 90 ya Mzee Ali Hassan Mwinyi
![](http://2.bp.blogspot.com/-blHF9qgvWyI/VUwfSTbsemI/AAAAAAAAImo/256JN_FkEr4/s640/Alhaj%2BA.%2BH.%2BMwinyi.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-DaP7jSFixbM/VQ1nyR4J9zI/AAAAAAADdAY/aRBoUKNMo2Y/s72-c/Chaukidu_Flyer%5B1%5D.bmp)
MKUTANO NA TAMASHA LA CHAUKIDU... Mzee Ali Hassan Mwinyi Mgeni Rasmi
Nunua tiketi yako mapema kwa kutembelea Tovuti ya CHAUKIDU <www.chaukidu.org>, au piga simu namba 301-433-3411 (Tumaini),...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-blHF9qgvWyI/VUwfSTbsemI/AAAAAAAAImo/256JN_FkEr4/s72-c/Alhaj%2BA.%2BH.%2BMwinyi.jpg)
Miaka 90 ya Rais Ali Hassan Mwinyi
![](http://2.bp.blogspot.com/-blHF9qgvWyI/VUwfSTbsemI/AAAAAAAAImo/256JN_FkEr4/s640/Alhaj%2BA.%2BH.%2BMwinyi.jpg)
Tulipata fursa ya pekee kuketi naye akatueleza mambo machache kuhusu maisha yake
UNGANA NASI
10 years ago
GPLALHAJ ALI HASSAN MWINYI NA MHE. EDWARD LOWASSA KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 20 YA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA MAASAI, MONDULI
10 years ago
Michuzialhaj ali hassan mwinyi na mhe edward lowassa katika sherehe za miaka 20 ya shule ya sekondari ya wasichana ya Maasai, monduli, leo
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI MHE, ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AHUDHURIA CHAKULA CHA JIONI. Posted: 30 Apr 2015 12:57 PM PDT Mhe, Balozi Liberata Mulamula akiwa na wageni wake Rais mstaafu wa awamu ya pili Mhe, Alhaj Ali Hassan Mwinyi pamoja na mama Sitti
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HlyKQC6Okzw/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi04 May
Mwenyezi Mungu utunusuru Watanzania na ajali hizi