MHESHIMIWA RAIS TUNAKUOMBEA KWA MUNGU UPONE HARAKA, TUKO NAWE KWA DUA NA SADAKA
![](http://api.ning.com:80/files/1pYGM2xUDQmtRq6VqS9YZ2N0aaCzkt6v3vI4KNa*2Ml8fdzhBh3HEED0imcixqFgII*4cDeE7AX-hFlxet6VALWCAkTfZVKq/JK.jpg?width=750)
Rais Jakaya Kikwete . Mheshimiwa rais, kwa niaba ya watu wa Oman tuishio Tanzania na wenzetu waliopo Oman, tunakuombea Mungu akujalie uweze kupona haraka ili urejee katika majukumu yako na kuendeleza nchi kwa ‘speed’ yako kali MANSHALAH. Siku zote utakumbukwa kwa maendeleo uliyoifanyia nchi yetu ya Tanzania na ushirikiano mzuri na nchi zote duniani. Tunakuombea upone haraka na upate furaha na kuweza kuyakamilisha...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAISLAMU KUFANYA DUA YA KUMSHUKURU MUNGU KWA SIKU TATU
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BWAKWATA) Mkoa wa Mwanza, limesema waumini wa dini hiyo mkoani humu wataungana na wa mikoa mingine nchini kufanya ibada ya kuomba dua kumshukuru Mungu kwa kusikia na kujibu maombi ya Watanzania kuhusiana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (Covid-19).
Pia watafanya ibada ya kumwombea dua Rais John Magufuli, Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda kwa alichokionyesha na hatua alizochukua za kuwapigania wananchi wanyonge kwenye mapambano ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-R2Xevyx3vHU/U0HSmYfGOPI/AAAAAAAFZFg/sNbyGDnLWPA/s72-c/lo21+(1).jpg)
RISALA YA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA KWA MHESHIMIWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-R2Xevyx3vHU/U0HSmYfGOPI/AAAAAAAFZFg/sNbyGDnLWPA/s1600/lo21+(1).jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Jan
Salamu za mwaka mpya za Rais Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwa watanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
HOTUBA YA MWAKA 2015 – FINAL.doc by moblog
11 years ago
Dewji Blog09 Jun
Balozi mpya wa Marekani ajitambulisha kwa Mheshimiwa Makamu wa Rais Ikulu Dar leo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib, akimkaribisha Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania, Mark Childres, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 9, 2014 kwa mazungumzo na utambulisho wa balozi huyo. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania, Mark Childres, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TuH-vYM0DCxCCo7Cf3-1cvsd3E207Hy5ZdZ3DT6U0SRSzt619CQu6fJYhqvFkLyReASkAzBmQCzs2NCMODh29*JWf4Uogrkg/h4.jpg?width=750)
SALAMU ZA MWAKA MPYA ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA WATANZANIA,
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bIf6WS4fq4U/VKUGKBZ9MqI/AAAAAAAG60k/5iPHMOfZ-RY/s72-c/h4.jpg)
SALAMU ZA MWAKA MPYA ZA RAIS WA JAMHURI YAMUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA WATANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bIf6WS4fq4U/VKUGKBZ9MqI/AAAAAAAG60k/5iPHMOfZ-RY/s1600/h4.jpg)
11 years ago
Michuzi01 Aug
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-dIAfn0-uHcU/VIRg-N43EHI/AAAAAAADQFw/_4ivTS3MR7c/s72-c/D92A6166.jpg)
Rais Kikwete afanya Kisomo Kumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kupona
![](http://1.bp.blogspot.com/-dIAfn0-uHcU/VIRg-N43EHI/AAAAAAADQFw/_4ivTS3MR7c/s1600/D92A6166.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4QhYbTyOvIU/VIRg-dHptZI/AAAAAAADQFk/EfYmOw2iVKU/s1600/D92A6155.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MnLwXCnWXKs/VIRg-nKx5vI/AAAAAAADQFo/ehygY6FwDhk/s1600/D92A6216.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-xO4nP9TVh9Q/Xt46mT1dXpI/AAAAAAALtDY/II3G3cRHGq4pKIp7hmAgfO-U4VGEKkj4gCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
RAIS MAGUFULI NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU AMBAYO TUMEPEWA WATANZANIA-MBUNGE CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-xO4nP9TVh9Q/Xt46mT1dXpI/AAAAAAALtDY/II3G3cRHGq4pKIp7hmAgfO-U4VGEKkj4gCLcBGAsYHQ/s400/9.jpg)
MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Amina Mollel (CCM) amelieleza Bunge kuwa Rais Dkt.John Magufuli ni zawadi tuliyopewa na Mungu, hivyo kikubwa ni kuendelea kumuombea awe na maisha marefu zaidi.
Mollel amesema hayo wakati wa vikao vya Bunge vinavyoendelea Bungeni Mjini Dodoma ambapo wabunge walipata nafasi ya kujadili maazimio mawili, Azimio la kwanza ni kumpongeza Rais Magufuli na azimio la pili ni kumpongeza Spika wa Bunge Job Ndugai.
Akieleza zaidi mbele ya...