Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MHESHIMIWA RAIS TUNAKUOMBEA KWA MUNGU UPONE HARAKA, TUKO NAWE KWA DUA NA SADAKA

Rais Jakaya Kikwete . Mheshimiwa rais, kwa niaba ya watu wa Oman tuishio Tanzania na wenzetu waliopo Oman, tunakuombea Mungu akujalie uweze kupona haraka ili urejee katika majukumu yako na kuendeleza nchi kwa ‘speed’ yako kali MANSHALAH.
Siku zote utakumbukwa kwa maendeleo uliyoifanyia nchi yetu ya Tanzania na ushirikiano mzuri na nchi zote duniani.
Tunakuombea upone haraka na upate furaha na kuweza kuyakamilisha...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAISLAMU KUFANYA DUA YA KUMSHUKURU MUNGU KWA SIKU TATU

NA BALTAZAR MASHAKA, Mwanza

BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BWAKWATA) Mkoa wa Mwanza, limesema waumini wa dini hiyo mkoani humu wataungana na wa mikoa mingine nchini kufanya ibada ya kuomba dua kumshukuru Mungu kwa kusikia na kujibu maombi ya Watanzania kuhusiana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (Covid-19).

Pia watafanya ibada ya kumwombea dua Rais John Magufuli, Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda kwa alichokionyesha na hatua alizochukua za kuwapigania wananchi wanyonge kwenye mapambano ya...

 

11 years ago

Michuzi

RISALA YA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA KWA MHESHIMIWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea risala toka kwa Katibu wa Jumuiya ya Watanzania waishio Uingereza Bi Mariam Mungula alipokuwa London kwa ziara ya kiserikali kwa mwaliko wa Waziri Mkuu wa uingereza Mhe David Cameron. Risala hiyo inasomeka hapa chini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Salamu za mwaka mpya za Rais Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwa watanzania

h4

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.

HOTUBA YA MWAKA 2015 – FINAL.doc by moblog

 

11 years ago

Dewji Blog

Balozi mpya wa Marekani ajitambulisha kwa Mheshimiwa Makamu wa Rais Ikulu Dar leo

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib, akimkaribisha Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania, Mark Childres, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 9, 2014 kwa mazungumzo na utambulisho wa balozi huyo. (Picha na OMR).

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania, Mark Childres, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es...

 

10 years ago

GPL

SALAMU ZA MWAKA MPYA ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA WATANZANIA,

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.                          Utangulizi Ndugu zangu; Watanzania Wenzangu; Kama ilivyo ada imefikia siku ya kuuaga mwaka mmoja na kuukaribisha mwaka mwingine. Leo tunauaga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2015. Tunamshukuru Muumba wetu mwingi wa rehema kwa kutujaalia uzima na kutuwezesha...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete afanya Kisomo Kumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kupona

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia baadhi ya Mashekhe na wageni waliohudhuria hafla ya kisomo maalum cha Kumshukuru Mwenyezi Mungu baada ya kufanyiwa upasuaji na kurejea nyumbani salama kilichofanyika katika viwanja vya ikulu jijini Dar es Salaam leo Jumapili Desemba 7, 2014.Mjukuu wa Rais, Ayman Ridhiwani Kikwete akicheza kwa furaha wakati Babu yake Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwashukuru wageni na Mashekhe waliohudhuria hafla ya kisomo maalum kilichofanyika katika viwanja vya...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU AMBAYO TUMEPEWA WATANZANIA-MBUNGE CCM


Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Amina Mollel (CCM) amelieleza Bunge kuwa Rais Dkt.John Magufuli ni zawadi tuliyopewa na Mungu, hivyo kikubwa ni kuendelea kumuombea awe na maisha marefu zaidi.
Mollel amesema hayo wakati wa vikao vya Bunge vinavyoendelea Bungeni Mjini Dodoma ambapo wabunge walipata nafasi ya kujadili maazimio mawili, Azimio la kwanza ni kumpongeza Rais Magufuli na azimio la pili ni kumpongeza Spika wa Bunge Job Ndugai.
Akieleza zaidi mbele ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani