Wajumbe kuomba, kumshukuru Mungu
Kamati ya Kumshauri Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba, imeridhia mapendekezo ya mjumbe wa Bunge hilo aliyependekeza kuwa wajumbe wote wasali kabla na baada ya kumaliza vikao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-4IjTBiWlGJc/VOQFMaGfF-I/AAAAAAADZvk/XZ793ldIPsY/s72-c/10430463_883962068294975_6601982860648987121_n.jpg)
SEMA AMEN KWA KUMSHUKURU MUNGU
![](http://3.bp.blogspot.com/-4IjTBiWlGJc/VOQFMaGfF-I/AAAAAAADZvk/XZ793ldIPsY/s1600/10430463_883962068294975_6601982860648987121_n.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-P-tkHW0f02M/VISJvzgfkNI/AAAAAAAG1xY/xzctAo36jYs/s72-c/unnamed%2B(99).jpg)
JK afanya Kisomo Kumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kupona
![](http://2.bp.blogspot.com/-P-tkHW0f02M/VISJvzgfkNI/AAAAAAAG1xY/xzctAo36jYs/s1600/unnamed%2B(99).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dTvfesoWvQ0/VISJws1q5UI/AAAAAAAG1xc/eeOkK75N7vg/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jRqgxRND6Ug/VISJw3RxigI/AAAAAAAG1xk/_NKysoqp1E8/s1600/unnamed%2B(100).jpg)
5 years ago
MichuziWAISLAMU KUFANYA DUA YA KUMSHUKURU MUNGU KWA SIKU TATU
NA BALTAZAR MASHAKA, Mwanza
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BWAKWATA) Mkoa wa Mwanza, limesema waumini wa dini hiyo mkoani humu wataungana na wa mikoa mingine nchini kufanya ibada ya kuomba dua kumshukuru Mungu kwa kusikia na kujibu maombi ya Watanzania kuhusiana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (Covid-19).
Pia watafanya ibada ya kumwombea dua Rais John Magufuli, Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda kwa alichokionyesha na hatua alizochukua za kuwapigania wananchi wanyonge kwenye mapambano ya...
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BWAKWATA) Mkoa wa Mwanza, limesema waumini wa dini hiyo mkoani humu wataungana na wa mikoa mingine nchini kufanya ibada ya kuomba dua kumshukuru Mungu kwa kusikia na kujibu maombi ya Watanzania kuhusiana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (Covid-19).
Pia watafanya ibada ya kumwombea dua Rais John Magufuli, Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda kwa alichokionyesha na hatua alizochukua za kuwapigania wananchi wanyonge kwenye mapambano ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9pdvb2Vf9Dk/Vkjwb5r6PeI/AAAAAAADCbk/5CGDXJbnHAo/s72-c/_MG_0920.jpg)
TAMASHA LA KUMSHUKURU MUNGU SASA KUFANYIKA DESEMBA 25 DIAMOND JUBILEE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-9pdvb2Vf9Dk/Vkjwb5r6PeI/AAAAAAADCbk/5CGDXJbnHAo/s640/_MG_0920.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-E_K9kTFcA/VkjwdXkZumI/AAAAAAADCbo/UVWfRI-g76A/s640/_MG_0939.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki kuhusu maandalizi ya tamasha la kumshukuru Mungu kwa amani na utulivu wakati...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-dIAfn0-uHcU/VIRg-N43EHI/AAAAAAADQFw/_4ivTS3MR7c/s72-c/D92A6166.jpg)
Rais Kikwete afanya Kisomo Kumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kupona
![](http://1.bp.blogspot.com/-dIAfn0-uHcU/VIRg-N43EHI/AAAAAAADQFw/_4ivTS3MR7c/s1600/D92A6166.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4QhYbTyOvIU/VIRg-dHptZI/AAAAAAADQFk/EfYmOw2iVKU/s1600/D92A6155.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MnLwXCnWXKs/VIRg-nKx5vI/AAAAAAADQFo/ehygY6FwDhk/s1600/D92A6216.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KFpwzB-AXIs/VJ5Jz_yr2WI/AAAAAAAAsG8/MVmWY-dtPSI/s72-c/WAZIRI.jpg)
NYALANDU KUFANYA TAMASHA KUBWA LA KUMSHUKURU MUNGU KWA KUTIMIZA MIAKA 15 YA UBUNGE WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-KFpwzB-AXIs/VJ5Jz_yr2WI/AAAAAAAAsG8/MVmWY-dtPSI/s1600/WAZIRI.jpg)
Na Mwandishi Wetu
Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, Desemba 28, 2014 (kesho J’pili) atafanya mkutano mkubwa kwa ajili ya kumshukuru Mwenyezi Mungu na wananchi wa Singida Vijijini na Watanzania wote kwa kutimiza miaka 15 ya ubunge.
Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Mbunge huyo, Elia Diga, imesema kuwa mkutano huo ambao utaambatana na burudani mbalimbali, utafanyika katika Kata ya Ilongero na utahudhuriwa na viongozi wa Chama na serikali, viongozi wa dini zote na wananchi zaidi ya...
5 years ago
BBCSwahili22 May
Virusi vya corona: Watanzania waanza maombi ya siku 3 kumshukuru Mungu kwa kuwaepusha na janga
Raia wa Tanzania hii leo wanaanza siku tatu za maombi ya kumshukuru Mungu baada ya Rais wa nchi hiyo John Magufuli kusema maambukizi ya Covid-19 nchini humo yamepungua.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-s5XnMV2bWb0/XsY47PIpDpI/AAAAAAAC5wU/YaxMwVqDm14ZW6bxrLJV10uPlbjK0EEbwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WATANZANIA KUFANYA MAOMBI KITAIFA SIKU TATU KUMSHUKURU MUNGU KWA KUTULINDA DHIDI YA JANG LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-s5XnMV2bWb0/XsY47PIpDpI/AAAAAAAC5wU/YaxMwVqDm14ZW6bxrLJV10uPlbjK0EEbwCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
Maombi hayo ya siku tatu, (Ijumaa, Jumamosi na Jumapili (Tarehe 22-24 Mei, 2020) yanafuatia wito wa Rais John Magufuli kupitia Hotuba yake aliyoitoa Jumapili ya tarehe 17 Mei, 2020 wakati akitoa takwimu za Corona katika maeneo mbalimbali ya nchi.
Rais Magufuli aliwahimiza Wananchi katika...
11 years ago
GPLMUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA
Elisha Bahunde akiwa chumba # 8 ghorofa ya 6 alipolazwa tangia siku ya Jumatano Feb 19, 2014 alipoletwa Maryland kwa matibabu zaidi
Elisha Bahunde au Eric akiwa hana miguu wa mkono kama picha inavyoonyesha.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10