BAKWATA MKOA WA SINGIDA YAWAOMBA WAISLAMU KUVITUMIA VITABU VITAKATIBU KUOMBA DUA UGONJWA WA KORONA UWEZE KUTOWEKA
Na Jumbe Ismailly SINGIDA
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Singida limewaomba waumini wa madhehebu ya dini ya kiislamu Mkoani Singida kuvitumia vitabu vya korani tukufu kusoma na kuomba dua ili Mwenyezimungu aweze kuwaondolea waislamu,watanzania pamoja na duniani kwa ujumla janga la COVID -19 linalosababisha ugonjwa wa korona.
Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa Bakwata wa Mkoa wa Singida,Alhaji Buruhani Mlau kwenye hafla ya kupokea vitabu vya koroni tukufu vikiwepo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziBAKWATA SINGIDA YAWAOMBA WAISLAMU KUOMBEA DUA UGONJWA WA KORONA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QiYZ3d6wXIc/ViuvmwA-c6I/AAAAAAAIClA/y4gXwzrqmiE/s72-c/IMG-20151024-WA0025.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Waislamu watakiwa kuiunga mkono Bakwata
TAASISI ya Tanzania Islamic Peace Foundation (TIPF) imewataka Waislamu kuunga mkono juhudi za maendeleo zinazofanywa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata). Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Sheikh Sadiki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rUrHnDSl8N-7H4T*-XYZGqykoKWaG1jMSMF8Zc1A-bZPp8PlVdoUiYVw39jXnTj6*3t4qznatESMHgqAoVXnCpqnxtP5O*u0/mufti.jpg?width=600)
MAHAKAMA YA KADHI, BAKWATA WAWASIHI WAISLAMU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e6mUnIiX2hU/XuNuXfOW41I/AAAAAAALtjU/dvonO9bd0PoL6PCGwdI13v0PtMiRp4OXgCLcBGAsYHQ/s72-c/CSR%2BSingida.png)
BENKI YA NMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KUNAWA MIKONO MKOA WA SINGIDA KUJIKINGA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e6mUnIiX2hU/XuNuXfOW41I/AAAAAAALtjU/dvonO9bd0PoL6PCGwdI13v0PtMiRp4OXgCLcBGAsYHQ/s640/CSR%2BSingida.png)
5 years ago
MichuziWAISLAMU KUFANYA DUA YA KUMSHUKURU MUNGU KWA SIKU TATU
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BWAKWATA) Mkoa wa Mwanza, limesema waumini wa dini hiyo mkoani humu wataungana na wa mikoa mingine nchini kufanya ibada ya kuomba dua kumshukuru Mungu kwa kusikia na kujibu maombi ya Watanzania kuhusiana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (Covid-19).
Pia watafanya ibada ya kumwombea dua Rais John Magufuli, Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda kwa alichokionyesha na hatua alizochukua za kuwapigania wananchi wanyonge kwenye mapambano ya...
5 years ago
MichuziHUAWEI YATOA MCHANGO KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI ZA KUPAMBANA NA UGONJWA WA KORONA.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z3BWMoplk5QOQWHysa-Bb38l9rnz9e7TPgGkSNxogXGybgR9UfdUGQ1jj-xSGx0XTKaMK6ZSJR7b1YeGNFpJZl*DG-GV3tde/IKULU.png?width=650)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA WAISLAMU WOTE NA BAKWATA KUFUATIA KIFO CHA SHEIKH MKUU WA TANZANIA
5 years ago
MichuziSINGIDA KUFUNGA VILABU VYA POMBE ZA KIENYEJI KWA WASIOFUATA MASHARTI YA KUJIKINGA NA KORONA
Na Jumbe Ismailly SINGIDA
MKUU wa Mkoa wa Singida,Dkt Rehema Nchimbi amesema serikali Mkoani hapa inatarajia kuwafungia watu wote wanaofanya biashara za kuuza pombe za asili (kienyeji) watakaoshindwa kutekeleza maagizo ya kujikinga na ugonjwa wa korona.
Dkt Nchimbi alitoa agizo hilo kwenye mkutano wa Baraza la Jumuiya wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Singida waliokutana kujadiliana pamoja na mambo mengine tahadhari ya kujikinga na janga na kitaifa la ugonjwa hata korona....