Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waislamu watakiwa kuiunga mkono Bakwata

TAASISI ya Tanzania Islamic Peace Foundation (TIPF) imewataka Waislamu kuunga mkono juhudi za maendeleo zinazofanywa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata). Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Sheikh Sadiki...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WATAKIWA KUIUNGA MKONO SERIKALI KWA KUBORESHA HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA HAPA NCHINI


Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel akiwajulia hali wagonjwa wanaotibiwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa ziara yake ya kikazi aliyofanya katika Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuangalia huduma za matibu ya moyo zinazotolewa.


Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel akimsikiliza Msimamizi wa wodi ya watoto Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)...

 

10 years ago

Mwananchi

Waaswa kuiunga mkono Serikali

Balozi wa Vatican nchini, Askofu Mkuu Francisco Padilla amesema ili kuimarisha ustawi wa jamii na kudumisha amani, taasisi mbalimbali zinapaswa kuunga mkono juhudi zifanywazo na Serikali ya Tanzania katika kuboresha huduma muhimu kwa jamii.

 

10 years ago

GPL

MAHAKAMA YA KADHI, BAKWATA WAWASIHI WAISLAMU

Mufti Shaaba Simba. Na Elvan Stambuli BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) linaloongozwa na Mufti Shaaba Simba (pichani) leo wamewasihi Waislamu kuwa watulivu wakati mchakato wa Mahakama ya Kadhi ukiwa bungeni kwa mjadala. Katika taarifa yao iliyosainiwa na Sheikh Abdallah Yusufu Mnyasi na Sheikh Abubakar Zuberi ambayo ilisambazwa kupitia Idara ya Habari (Maelezo) viongozi hao wote ambao wapo katika Baraza la Ulamaa la...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ujerumani kuiunga mkono Ufaransa Syria

Baraza la mawaziri nchini Ujerumani limeidhinisha msaada kwa Ufaransa katika vita dhidi ya wanamgambo wa Islamic State

 

5 years ago

Michuzi

BAKWATA SINGIDA YAWAOMBA WAISLAMU KUOMBEA DUA UGONJWA WA KORONA

 Ni Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi(CCM) Elibariki Emmanueli Kingu (wa kwanza kutoka kushoto) akimkabidhi Katibu wa Bakwata wa Mkoa wa Singida,Alhaji Buruhani Mlau vitabu vitakatifu vya korani tukufu,vikiwemo misahamu 100 pamoja na juzuu 400 kwa ajili ya kugawa kwenye misikiti ya jimbo la Singida Magharibi.Baadhi ya vitabu vitakatifu(juzuuu) zilizokabidhiwa na Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi(CCM)Elibariki Emmanueli Kingu kwa ajili ya kusambazwa kwenye misikiti ya jimbo zima la...

 

9 years ago

StarTV

Jukwaa la Wazalendo lawahimiza wananchi kuiunga mkono Hotuba Ya Rais

Jukwaa huru la Wazalendo limetangaza kuunga mkonon hotuba ya Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli aliyoitoa Novemba 19 katika ufunguzi wa Bunge la kumi na moja Mjini Dodoma.

Katika ufunguzi wa Bunge hilo Rais Magufuli ,alitangaza mpango mkakati wa Serikali wa kubana matumizi ikiwemo kupunguza safari za nje ya nchi za maofisa wa Serikali pamoja na kuondoa matumizi ya fedha yasiyo yalazima.

Hotuba ya Kwanza Rais Magufuli kuitoa katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tangu...

 

10 years ago

Michuzi

JAMUHURI YA KIISLAMU YA IRAN INA WAJIBU WA KUENDELEA KUIUNGA MKONO ZANZIBAR.

Jamuhuri ya Kiislamu ya Iran ina wajibu  wa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika harakati za maendeleo kutokana na Historia ndefu iliyopo ya mwingiliano wa kibiashara baina ya baadhi ya Wananchi wa pande hizo mbili.
Gavana  Mkuu wa Jimbo la Sistan na Balachestan Nchini Jamuhuri ya Kiislamu ya Iran Bwana  Ali Osat Hashemi akiuongoza Ujumbe wa Viongozi saba wa Jimbo hilo alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake Vuga Mjini...

 

11 years ago

Michuzi

Shukurani za Asia Idarous Khamsin kwa kuiunga mkono "Lady in RED" 2014

Asia Idarous akipita kwenye red Carpet Asia Idarous akipita kwenye red carpet

MAMA wa Mitindo nchini na Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin amewashukuru wadau mbali mbali kwa kuendelea kuliunga mkono onesho la Mitindo la kila mwaka la 'Lady in Red' ambalo kwa mwaka huu limetimiza miaka 10 tokea kuanzishwa kwake huku likiwa la mafanikio kwa kuibua wanamitindo wakubwa hapa nchini.

Akizungumza Dar es salaam, katika ofisi za Fabak zilizopo Msasani jirani na Kwa Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam, Asia Idarous...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani