Jukwaa la Wazalendo lawahimiza wananchi kuiunga mkono Hotuba Ya Rais
Jukwaa huru la Wazalendo limetangaza kuunga mkonon hotuba ya Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli aliyoitoa Novemba 19 katika ufunguzi wa Bunge la kumi na moja Mjini Dodoma.
Katika ufunguzi wa Bunge hilo Rais Magufuli ,alitangaza mpango mkakati wa Serikali wa kubana matumizi ikiwemo kupunguza safari za nje ya nchi za maofisa wa Serikali pamoja na kuondoa matumizi ya fedha yasiyo yalazima.
Hotuba ya Kwanza Rais Magufuli kuitoa katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tangu...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ws75Ful0n-k/VlWHWW751vI/AAAAAAAArzg/qB8yp9k-Gl4/s72-c/IMG-20151125-WA0022.jpg)
TAMKO LA JUKWAA HURU LA WAZALENDO KUUNGA MKONO HOTUBA YA MAGUFULI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ws75Ful0n-k/VlWHWW751vI/AAAAAAAArzg/qB8yp9k-Gl4/s640/IMG-20151125-WA0022.jpg)
Ndugu wanahabari,
Mbele yenu sisi tuliowaita hapa ni Jukwaa Huru la Wazalendo ambalo limeitisha mkutano huu ili kufikisha yale tuliyoyakusudia kuwaeleza umma wa watanzania.
Sote tunatambua kuwa nchi yetu imetoka katika uchaguzi mkuu ambao umetupatia viongozi wapya wa awamu ya tano ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-situcg5PG4c/XvODa1XTiII/AAAAAAALvS0/QKaKdqekTvosbaJjjEBNJZKwC4dwQMc2QCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-no.-1-768x512.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KUIUNGA MKONO SERIKALI KWA KUBORESHA HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA HAPA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-situcg5PG4c/XvODa1XTiII/AAAAAAALvS0/QKaKdqekTvosbaJjjEBNJZKwC4dwQMc2QCLcBGAsYHQ/s640/Picha-no.-1-768x512.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel akiwajulia hali wagonjwa wanaotibiwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa ziara yake ya kikazi aliyofanya katika Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuangalia huduma za matibu ya moyo zinazotolewa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Picha-no.-2-1024x806.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel akimsikiliza Msimamizi wa wodi ya watoto Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)...
9 years ago
Vijimambo28 Sep
COMRADE MWIGULU NCHEMBA SASA AINGIA MANYARA,WANANCHI WAFURIKA KUIUNGA MKONO CCM UCHAGUZI MKUU 2015
![](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-9/12043106_430199550515612_2776231540165560381_n.jpg?oh=8af372d05f66de2b05cd3408696594ff&oe=56A26AFE)
![](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12039614_889236764463482_8155304396541486319_n.jpg?oh=0a223245c9e52dfa638cec812350dd84&oe=56A881D7)
![](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11049607_430199623848938_2305083269899712315_n.jpg?oh=42259c196beed29722404ebb62f9e2d0&oe=568F62A3)
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-IEShvcQsRxI/VlWKiedUuPI/AAAAAAAA1S8/_JUfl1WZS70/s72-c/1.jpg)
JUKWAA HURU LA WAZALENDO LATOA TAMKO KUHUSU RAIS DK. MAGUFULI NA WABUNGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-IEShvcQsRxI/VlWKiedUuPI/AAAAAAAA1S8/_JUfl1WZS70/s640/1.jpg)
5 years ago
MichuziJUKWAA LA WALIMU WAZALENDO TANZANIA WAFURAHISHWA NA KASI YA UKUAJI WA MAENDELEO NCHINI CHINI YA RAIS DK.MAGUFULI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4XguEWBKI_Y/XuUDN9fHJZI/AAAAAAALtr4/lTjcRDvYJD8P5nxOlq0cHRZWpyc8fd8jwCLcBGAsYHQ/s72-c/50bceffc-7996-47e6-b73a-f2adf8d6115f.jpg)
Dkt. Mwakyembe Apongeza Wazalendo Wanaounga Mkono Juhudi za Rais Magufuli
![](https://1.bp.blogspot.com/-4XguEWBKI_Y/XuUDN9fHJZI/AAAAAAALtr4/lTjcRDvYJD8P5nxOlq0cHRZWpyc8fd8jwCLcBGAsYHQ/s640/50bceffc-7996-47e6-b73a-f2adf8d6115f.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/8cf9ac02-75c0-49f3-8f9f-014f7118e2ab.jpg)
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe akizungumza na Bw. Mussa Issa (kushoto) meneja wa Mtoto Romeo Asubisye (mwenye suti ya kijani) aliyekuja kumtambulisha mtoto huyo baada ya kutwaa medali takriban 09,katika mashindano mbalimbali ya kuogelea ikwemo Cana Zone Three Africa yaliyofanyika mwaka 2019 nchini Kenya
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/610ad902-76de-4171-a950-c9ed91e9017b.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Waaswa kuiunga mkono Serikali
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Waislamu watakiwa kuiunga mkono Bakwata
TAASISI ya Tanzania Islamic Peace Foundation (TIPF) imewataka Waislamu kuunga mkono juhudi za maendeleo zinazofanywa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata). Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Sheikh Sadiki...
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
Ujerumani kuiunga mkono Ufaransa Syria