Waislamu kuombea nchi
WAISLAMU nchini leo wanaanza kufanya dua maalumu katika viwanja vya Jangwani, kuombea Watanzania kumrudia Mungu na kuwa na hofu na Mungu katika matendo yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziBAKWATA SINGIDA YAWAOMBA WAISLAMU KUOMBEA DUA UGONJWA WA KORONA
10 years ago
Habarileo30 Sep
Askofu ataka waumini kuombea nchi amani
ASKOFU wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Nyanda za Juu Kusini, John Mwela amewataka waumini kukazana katika maombi kuiombea nchi isiingie katika machafuko, hasa katika kipindi hiki cha mchakato wa Katiba mpya na kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho.
9 years ago
VijimamboDC PAUL MAKONDA AONGOZA MATEMBEZI YA VYAMA VYA SIASA KUOMBEA NCHI AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
10 years ago
Habarileo19 Aug
KKKT kuombea Bunge
KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limesema litaendelea pasipo kuchoka kuombea taifa, lifanikishe michakato mbalimbali inayolenga kuimarisha demokrasia kwa mustakabali wa taifa.
11 years ago
Habarileo10 Aug
Makanisa yaaswa kuombea amani
MAKANISA nchini yametakiwa kuendeleza amani iliyopo kwa kufanya maombi ya kuliombea Taifa ,ili amani iliyopo isivurugwe na baadhi ya watu wachache wasioitakia mema nchi hii.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Mocy9B2VUhg/VdWBWWKjJYI/AAAAAAAC9wI/a72y0CQQOBw/s72-c/_MG_5123.jpg)
Mikoa 10 kuombea uchaguzi Mkuu
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mocy9B2VUhg/VdWBWWKjJYI/AAAAAAAC9wI/a72y0CQQOBw/s640/_MG_5123.jpg)
Msama alisema awali kabla ya mikoa hiyo kuombea amani uchaguzi Mkuu, Tamasha la kwanza lenye dhamira hiyo litafanyika Oktoba 4 jijini Dar es Salaam.
“Tumeona kuna umuhimu...
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Wasali kuombea maisha bora
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Wanawake Temeke kuombea Katiba
MWENYEKITI wa Makanisa ya Kipentekosti Mkoa wa Dar es Salaam, Askofu Bruno Mwakibolwa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la maombi ya Taifa kwa ajili ya mchakato wa Katiba mpya....
9 years ago
Habarileo29 Aug
Upendo Nkone kuombea amani
MWIMBAJI mahiri wa muziki wa Injili anayetamba katika muziki huo, Upendo Nkone amekubali kushiriki katika Tamasha la Kuombea Amani katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.