Makanisa yaaswa kuombea amani
MAKANISA nchini yametakiwa kuendeleza amani iliyopo kwa kufanya maombi ya kuliombea Taifa ,ili amani iliyopo isivurugwe na baadhi ya watu wachache wasioitakia mema nchi hii.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo29 Aug
Upendo Nkone kuombea amani
MWIMBAJI mahiri wa muziki wa Injili anayetamba katika muziki huo, Upendo Nkone amekubali kushiriki katika Tamasha la Kuombea Amani katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Askofu Malassy Kuombea Amani Taifa
Askofu Godfrey Malassy (kushoto) akizungumza jambo na kulia kwake ni Mchungaji wa kanisa hilo, Oliva Mallonga.
Mchungaji Mallonga (kulia) akionesha vitabu vinavyouzwa.
Wanahabari wakifuatilia hafla hiyo.
Askofu Malassy (kushoto) akisoma taarifa yake.
ASKOFU wa Kanisa la Tanzania Fellowship of Churches, Godfrey Emmanuel Malassy anatarajia kufanya maombi maalum kwa ajili ya mkesha wa kuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2016, lengo likiwa ni kudumisha amani ya taifa letu.
Akizungumza na...
10 years ago
Habarileo25 Nov
Askofu ataka Watanzania kuombea amani ya Kenya
ASKOFU Julius Salu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mombasa nchini Kenya amewataka Watanzania kuombea amani ya nchi hiyo, kutokana na kuwa na hali mbaya ya kiusalama.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Yya6RYgSo0A/VfMDDhalPjI/AAAAAAAC-5g/ge_Ym4rs7vg/s72-c/Alex-Msama-640x458.jpg)
Kwaya tatu kuombea amani uchaguzi Mkuu
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yya6RYgSo0A/VfMDDhalPjI/AAAAAAAC-5g/ge_Ym4rs7vg/s320/Alex-Msama-640x458.jpg)
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama pamoja na kwaya hizo maombi hayo ya amani yatashirikisha waimbaji wengine wa Tanzania na nje.Msama alizitaja kwaya hizo ni pamoja na Kwaya ya Uinjilisti ya Kijitonyama jijini Dar es Salaam, Kwaya ya Mtakatifu Andrew Anglican ya Dodoma...
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Tamasha la kuombea amani lisiruhusu matamko ya kisiasa
10 years ago
Habarileo30 Sep
Askofu ataka waumini kuombea nchi amani
ASKOFU wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Nyanda za Juu Kusini, John Mwela amewataka waumini kukazana katika maombi kuiombea nchi isiingie katika machafuko, hasa katika kipindi hiki cha mchakato wa Katiba mpya na kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ikFPhhVwblo/VgpXCV3D6CI/AAAAAAAH7sw/AX2yBnSkZXk/s72-c/IMG_9396.jpg)
WACHUNGAJI 200, MAASKOFU 50 KUUNGANA NA JK TAMASHA LA KUOMBEA AMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ikFPhhVwblo/VgpXCV3D6CI/AAAAAAAH7sw/AX2yBnSkZXk/s640/IMG_9396.jpg)
Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama ilieleza kuwa kati ya viongozi hao 200 ni Wachungaji na 50 ni Maaskofu.
“Idadi inaweza kuwa kubwa zaidi, lakini hadi sasa niseme hao ndiyo ambao tuna uhakika nao watashiriki katika Tamasha la...
10 years ago
Habarileo07 Feb
Bilal ataka viongozi wa dini kuombea taifa amani
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Bilal amewataka viongozi na waumini wa dini zote nchini, kuombea taifa ili Uchaguzi Mkuu na kura ya maoni kwa ajili ya Kkatiba Inayopendekezwa zimalizike kwa amani na utulivu.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/120.jpg)
DC MAKONDA AONGOZA MATEMBEZI YA KUOMBEA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI