Ujumbe kwa wanachama, wadau na waandishi wote wa mkoa wa Mbeya.
![](http://2.bp.blogspot.com/-gXDToLJ_mjI/U5ie4hAY8nI/AAAAAAAFp1E/jgJbu53WA7Q/s72-c/images.jpg)
Ndugu wanachama, Wadau na wandishi wote wa Habari,
Kuna ujumbe unaozunguka miongoni mwetu, kwa wandishi wa habari wasiokuwa wanachama na kwa wadau wetu ukieleza kwamba Mbeya Press Club (MBPC) imeandaa safari ya wanachama wake kutembelea nchi Jirani ya Malawi.
Ujumbe huu unawataja baadhi ya wanachama wa MBPC kuwa ndio waratibu wa Safari hiyo, huku ukiwataka wanachama na wadau kuchangia safari hiyo fedha kiasi cha shilingi 200,000 (Laki mbili) kwa kila mwanachama na mwandishi wa habari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi24 Apr
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X9YOr0K4kSU/XlabsjmLmtI/AAAAAAALfnA/kEW2KTeM1iEhbgebDNgsk40t52fTWPixACLcBGAsYHQ/s72-c/2f26c27f-081f-4f28-8350-68dc20257ed6.jpg)
Kamati ya Amani Mkoa wa Mbeya yaahidi Kupeleka ujumbe kwa waumini.
Viongozi hao
Wameyasema hayo walipokuwa semina ya kuelimisha jinsi ya kujikinga na uhalifu wakati wa kutumia huduma za mawasiliano ikiwa ni sehemu ya kampeni ya Sirubiniki Mjanja haingizwi chaka inayolenga katika kuelimisha umma ya...
10 years ago
Bongo Movies15 Mar
Ujumbe wa Lulu Kwa Kinamama Wote
Ikiwa leo ni siku ya kinamama ‘Mother's Day’, mrembo na staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ametoa ujumbee huu ajili ya mama yake na kina mama wote.
"Kuna wakati wazazi wetu hasa mama zetu wanabeba maumivu yetu zaidi hata ya sisi ambao ni wahusika...!
Namshukuru Mungu kwa kunipa mama anayejivunia kunipata mimi kama mtoto wake ma kuyabeba mambo yangu mengi zaidi ya mimi mwenyewe....Ombi Langu kubwa kwa Mungu ni afya na maisha marefu zaidi sio kwa mama yangu tu lakini kwa kile...
10 years ago
Michuzi30 Nov
IBADA YA SHUKRANI za dhati kwenda kwa wadau wote
![kansolele](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2014/11/kansolele.jpg)
Inaniwia vingumu sana kutoa shukrani kwa mtu mmoja mmoja au makundi kutokana na ushirikiano wenu katika kipindi kigumu cha msiba na mazishi ya mpendwa mume wangu na mwenyekiti wa Dorka catering na Dorka group of company Marehemu Dr kephas kansolele Ntevi kwaniaba ya familia yangu .Ninapenda kutoa shukrani za dhati kwa wote walio shiriki kwa njia moja au nyingine kwa kipindi chote cha msiba wa mume wangu.Kiukweli tulipatwa na kigugumizi ambacho hakisemeki Ingawa nyote mnastahili kushukuriwa...
11 years ago
TZToday21 Apr
UJUMBE WA KICHUNGAJI WA PASAKA 2014 KWA WAAMINI NA WATU WOTE WENYE MAPENZI MEMA
UJUMBE WA KICHUNGAJI WA PASAKA 2014
KWA WAAMINI NA WATU WOTE WENYE MAPENZI MEMA
“Sote tuwe na Umoja” (rej. Yn 17:21)
UTANGULIZI:
Ndugu wapendwa, tunapohitimisha kipindi cha Kwaresima kilichokuwa na ujumbe: “Ukweli utawaweka huru” (Yn. 8: 32), tunawaletea ujumbe wa “Umoja” ili kuongeza msisitizo kwenye ujumbe wetu wa Kwaresma. Tunaitwa kukubali kuwa umoja ni ukweli msingi wa kila mafanikio ya jumuiya ya mwanadamu.
Ufufuko ni Pasaka inayomaanisha kivuko au kupita kwa Wayahudi...
5 years ago
MichuziKAMPUNI YA UUZAJI VIFAA VYA UJENZI FMJ YATOA MSAADA WA VITAKASA MIKONO KWA WAANDISHI WA HABARI ...YATUMA UJUMBE KWA WAJENZI
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali KUHUSU mapambano ya kupunguza kuenea Kwa ugonjwa wa Covid-19,Kampuni ya uuzaji wa vifaa vya ujenzi ya FMJ Hard Ware Lmt iliyopo Buguruni Kisiwani jijini Dar es Salaam imetoa msaada wa vitakasa mikono kwa vyombo vya habari.
Uongozi wa Kampuni hiyo umesema unatambua kazi kubwa inaayofanywa na vyombo vya habari hasa katika utoaji wa elimu na kuhabarisha umma kuhusu Corona, hivyo wameona haja ya kuwawezesha vitakasa mikono...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yspK-7ao_O0/VZOc3BErh6I/AAAAAAAHmLA/lpF5ryAjhe4/s72-c/t1.png)
TANGAZO KWA UMMA, MAWAKILI NA WADAU WOTE WA MAHAKAMA KUU, KANDA YA DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-yspK-7ao_O0/VZOc3BErh6I/AAAAAAAHmLA/lpF5ryAjhe4/s1600/t1.png)
TUNAPENDA KUTOA TAARIFA RASMI KUWA KUANZIA TAREHE 1 JULAI, 2015 SHUGHULI ZA USIKILIZAJI WA MASHAURI KWA NJIA YA USULUHISHI (ALTERNATIVE DISPUTE RESOLUTION – ADR) ZIMEHAMIA KWENYE JENGO LA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC HOUSE), GHOROFA YA TATU MTAA WA SAMORA JIJINI DAR ES SALAAM. JENGO HILO KWA SASA LINATUMIWA PIA NA MAHAKAMA KUU, DIVISHENI YA ARDHI.
KWA MAELEZO NA UFAFANUZI PIGA SIMU NA. 022 2111131 AU 022 2110927 AU 0754 454600 NA BARUA PEPE...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eDYrPX9u4Tc/VMDKFfw6pYI/AAAAAAAACJI/epOhsY4Mxr4/s72-c/TUMAINI%2BSEMA.jpg)
MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA MBEYA KWA KUSHILIKIANA NA BENKI YA NMB YAMWAGA MADAWATI 84 SHULE ZA MSINGI ITIJI NA IVUMWE JINI MBEYA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-eDYrPX9u4Tc/VMDKFfw6pYI/AAAAAAAACJI/epOhsY4Mxr4/s1600/TUMAINI%2BSEMA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ndeL_cgZELs/VMDJ0Y5wfnI/AAAAAAAACIw/kmARkGFEgXw/s1600/NMB%2Bna%2BMwanjelwa.jpg)
9 years ago
Vijimambo02 Sep
UJUMBE WANGU KWA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA KATIKA KUELEKEA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI MKUU OCTOBER 25
![](https://fbcdn-photos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-0/p206x206/11051210_912080395509439_5714058352690894029_n.jpg?oh=e66a17a0012cd76d268bf8b7c226d3ea&oe=56ABE6ED&__gda__=1451464971_71e7e2b7f6402c1f843658bd47b2daf1)
Kalamu yangu mdomo wangu leo nataka nizungumze na wanahabari wenzangu waandishi na wataangazaji pia nataka mjue kwambaa karama hii au kipaji hiki tumepewa sio kwamba sisi tulistahili sana kuliko wengine hapana ni kwamba tuliaminiwa kwamba tunaweza kutumia midomo yetu na kalamu zetu katika kusema na kuandika ukweli ili tuweze kuelimisha,kutoa habari na hata kuburudisha ikiwezeekana naomba niwashauri tutumie karama zetu vizuri tuache ushabiki ambao hautakuwa na manufaa yeyote kwa...