TANGAZO KWA UMMA, MAWAKILI NA WADAU WOTE WA MAHAKAMA KUU, KANDA YA DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-yspK-7ao_O0/VZOc3BErh6I/AAAAAAAHmLA/lpF5ryAjhe4/s72-c/t1.png)
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAHAKAMA
TUNAPENDA KUTOA TAARIFA RASMI KUWA KUANZIA TAREHE 1 JULAI, 2015 SHUGHULI ZA USIKILIZAJI WA MASHAURI KWA NJIA YA USULUHISHI (ALTERNATIVE DISPUTE RESOLUTION – ADR) ZIMEHAMIA KWENYE JENGO LA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC HOUSE), GHOROFA YA TATU MTAA WA SAMORA JIJINI DAR ES SALAAM. JENGO HILO KWA SASA LINATUMIWA PIA NA MAHAKAMA KUU, DIVISHENI YA ARDHI.
KWA MAELEZO NA UFAFANUZI PIGA SIMU NA. 022 2111131 AU 022 2110927 AU 0754 454600 NA BARUA PEPE...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-DF8HjKFnjSI/VbuCoI7q1DI/AAAAAAABS9k/E3SGZLvSFqo/s72-c/davidKAFULILA.jpg)
MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM IMETUPILIA MBALI KESI YA IPTL DHIDI YA DAVID KAFULILA
![](http://4.bp.blogspot.com/-DF8HjKFnjSI/VbuCoI7q1DI/AAAAAAABS9k/E3SGZLvSFqo/s640/davidKAFULILA.jpg)
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali kesi namba 301 iliyofunguliwa na Kampuni ya kufua Umeme ya IPTL, PAP pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya PAP Bw Harbinder Singh Sethi dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kusini Mhe David Kafulila kwa madai kuwa Kafulila alichafua jina kampuni hizo na muhusika huyo kwamba walichota zaidi ya 300bn kwenye akaunt ya Tegeta escrow kinyume cha sheria na taratibu.
Katika shauri hilo, Kampuni ya IPTL,PAP na Herbinder Singh Sethi walitaka Mahakama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LtLAdpl--Vs/Xs_KTIlWCYI/AAAAAAALr5E/J1MaQGGTfd0Rjvuh6-UJREewa80feejAACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM YATUPILIA MBALI KESI YA KIKATIBA ILIYOFUNGULIWA NA TAASISI MBILI ZISIZO ZA SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-LtLAdpl--Vs/Xs_KTIlWCYI/AAAAAAALr5E/J1MaQGGTfd0Rjvuh6-UJREewa80feejAACLcBGAsYHQ/s400/index.jpg)
Marekebisho katika sheria hizo yalihusu kuweka tafsiri mpya ya maneno Kampuni na Asasi katika sheria husika na pia kuzitaka Asasi zote zilizosajiliwa chini ya Sheria ya Makampuni ambazo hazikuwa na malengo ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c4nqYXJtDZ4/XrEmGjmkc2I/AAAAAAALpMM/y0uZDoFJLNQkVJOAVHGLxytb8lLpPvqLACLcBGAsYHQ/s72-c/Mahakama-Kuu-2-MUDA-HUU.jpg)
MAHAKAMA KUU KANDA DARESALAAM YATOA HUKUMU KWA MAHAKAMA MTANDAO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rNPZS60ZMWQ/VcJ3rdKOB2I/AAAAAAAHubQ/ANEbD-UyiTo/s72-c/j18%2B%25281%2529.jpg)
JK aapisha jaji mmoja wa mahakama ya rufani na 13 wa mahakama kuu Ikulu jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-rNPZS60ZMWQ/VcJ3rdKOB2I/AAAAAAAHubQ/ANEbD-UyiTo/s640/j18%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo05 Feb
Mahakama Kuu yaonya mawakili
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha imewaonya baadhi ya mawakili na mahakimu kuacha mara moja tabia ya kugeuza mahakama kuwa kichaka vya kuchelewesha upatikanaji wa haki, hali hiyo ikitajwa kwa kiasi kikubwa kuchangiwa na baadhi yao kuendekeza maslahi binafsi.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AY4AGYKjMv4/U8q0lt9IRMI/AAAAAAAF3xE/aqs6J26gq9I/s72-c/3194904b62fa18c4582fa4e81ecec34f.jpg)
Jaji Mfawidhi kanda ya Dar es Salaam ahitimisha ziara ya ukaguzi wa mahakama mkoa wa pwani
![](http://2.bp.blogspot.com/-AY4AGYKjMv4/U8q0lt9IRMI/AAAAAAAF3xE/aqs6J26gq9I/s1600/3194904b62fa18c4582fa4e81ecec34f.jpg)
10 years ago
Habarileo09 Feb
Jaji Mahakama Kuu alia na ada kubwa za mawakili
JAJI Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa, Mary Shangali amesema serikali ina wajibu wa kuhakikisha wananchi wanapata huduma za kimahakama bila vikwazo vya kiufundi wala gharama kubwa za ada au malipo ya mawakili.
5 years ago
Michuzi24 Apr
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7YJi9SYEVEo/XruP-GkuOWI/AAAAAAALp_c/PXrvGCqJk10fgczJYvAnCUGbX73NwxbzwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200511-WA0022-768x576.jpg)
MAHAKAMA KUU YA TANZANIA KANDA YA SONGEA YAANZA KUSIKILIZA MASHAURI NA KUTOA HUKUMU KWA 'VIDEO CONFERENCE'.
![](https://1.bp.blogspot.com/-7YJi9SYEVEo/XruP-GkuOWI/AAAAAAALp_c/PXrvGCqJk10fgczJYvAnCUGbX73NwxbzwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200511-WA0022-768x576.jpg)
Na Brian Haule –Mahakama Kuu Songea
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Songea imeanza kusikiliza mashauri na kutoa hukumu kwa Mahakama Mtandao yaani ‘Video Conference’.
Mahakama hiyo imeanza kusikiliza mashauri kwa njia hiyo, baada ya jitihada za Mahakama ya Tanzania kununua vifaa maalumu vya kuendesha mahakama kwa mtandao kwa ajili ya mahakama mbalimbali nchini, ikiwa ni hatua za kuepuka kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa (COVID 19) sambamba na...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10