Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANGAZO KWA UMMA, MAWAKILI NA WADAU WOTE WA MAHAKAMA KUU, KANDA YA DAR ES SALAAM

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAHAKAMA

TUNAPENDA KUTOA TAARIFA RASMI KUWA KUANZIA TAREHE 1 JULAI, 2015 SHUGHULI ZA USIKILIZAJI WA MASHAURI KWA NJIA YA USULUHISHI (ALTERNATIVE DISPUTE RESOLUTION – ADR) ZIMEHAMIA KWENYE JENGO LA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC HOUSE), GHOROFA YA TATU MTAA WA SAMORA JIJINI DAR ES SALAAM.  JENGO HILO KWA SASA LINATUMIWA PIA NA MAHAKAMA KUU, DIVISHENI YA ARDHI.


KWA MAELEZO NA UFAFANUZI PIGA SIMU NA. 022 2111131 AU 022 2110927 AU 0754 454600 NA BARUA PEPE...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM IMETUPILIA MBALI KESI YA IPTL DHIDI YA DAVID KAFULILA


MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali kesi namba 301 iliyofunguliwa na Kampuni ya kufua Umeme ya IPTL, PAP pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya PAP Bw Harbinder Singh Sethi dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kusini Mhe David Kafulila kwa madai kuwa Kafulila alichafua jina kampuni hizo na muhusika huyo kwamba walichota zaidi ya 300bn kwenye akaunt ya Tegeta escrow kinyume cha sheria na taratibu.
Katika shauri hilo, Kampuni ya IPTL,PAP na Herbinder Singh Sethi walitaka Mahakama...

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM YATUPILIA MBALI KESI YA KIKATIBA ILIYOFUNGULIWA NA TAASISI MBILI ZISIZO ZA SERIKALI

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na taasisi mbili zisizo za serikali waliokuwa wakipinga marekebisho katika Sheria ya Makampuni Sura ya 212, Sheria ya Asasi Zisizo za Serikali Sura ya 337 na Sheria ya Usajili wa Wadhamini Sura ya 318.

Marekebisho katika sheria hizo yalihusu  kuweka tafsiri mpya ya maneno Kampuni na Asasi katika sheria husika na pia kuzitaka Asasi zote zilizosajiliwa chini ya Sheria ya Makampuni ambazo hazikuwa na malengo ya...

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA KUU KANDA DARESALAAM YATOA HUKUMU KWA MAHAKAMA MTANDAO

Na Innocent Kansha- Mahakama  Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam jana ilitoa hukumu tatu kwa  njia ya Mahakama Mtandao maarufu kama “Video Conference” kwa kushirikiana na Magereza ya Keko na Segerea Jijini Dar es salaam, huku ikiahirisha mashauri mawili. Mashauri matano ya mauaji yalisikilizwa mbele ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam, Mhe. Lameck Mlacha kwa kutumika njia hiyo. Kati ya mashauri hayo matatu yalisikilizwa na kutolewa hukumu,  kwa...

 

10 years ago

Michuzi

JK aapisha jaji mmoja wa mahakama ya rufani na 13 wa mahakama kuu Ikulu jijini Dar es salaam

Rais Jakaya Mrisho kikwete akiwa na Waziri wa Sheria na Katiba Dkt Asha-Rose Migiro, Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman, Jaji Kiongozi Mhe Shaaban Ally Lilla na Katibu Mkuu kiongozi katika picha ya pamoja na Majaji wa Mahakama Kuu 13 na Jaji wa Mahakama ya Rufaa mmoja aliowaapisha Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 5, 2015.Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama Kuu yaonya mawakili

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha imewaonya baadhi ya mawakili na mahakimu kuacha mara moja tabia ya kugeuza mahakama kuwa kichaka vya kuchelewesha upatikanaji wa haki, hali hiyo ikitajwa kwa kiasi kikubwa kuchangiwa na baadhi yao kuendekeza maslahi binafsi.

 

11 years ago

Michuzi

Jaji Mfawidhi kanda ya Dar es Salaam ahitimisha ziara ya ukaguzi wa mahakama mkoa wa pwani

Jaji Mfawidhi kanda ya Dar es Salaam Mhe. SS Kihiyo akihitimisha ziara yake ya ukaguzi wa mahakama Mkoa wa Pwani. Pichani anakutana na Mhe. Ridhiwani  Mbunge wa Chalinze (wa kwanza kulia) Mhe. Shah Mbunge ea Mafia (hayupo pichani) na viongozi wengine  wakijadili changamoto mbalimbali na maboresho ya mahakama mkoa wa Pwani.Wengine ni Me. William Mutaki,msajili wa Kanda ya Dar es salaam,  na mahakimu katika kiwanja cha ndege cha Mafia muda mfupi kabla ya kuanza safari ya kurejea Dar es salaam

 

10 years ago

Habarileo

Jaji Mahakama Kuu alia na ada kubwa za mawakili

JAJI Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa, Mary Shangali amesema serikali ina wajibu wa kuhakikisha wananchi wanapata huduma za kimahakama bila vikwazo vya kiufundi wala gharama kubwa za ada au malipo ya mawakili.

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA KUU YA TANZANIA KANDA YA SONGEA YAANZA KUSIKILIZA MASHAURI NA KUTOA HUKUMU KWA 'VIDEO CONFERENCE'.




Na Brian Haule –Mahakama Kuu Songea



Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Songea imeanza kusikiliza mashauri na kutoa hukumu kwa Mahakama Mtandao yaani ‘Video Conference’.

Mahakama hiyo imeanza kusikiliza mashauri kwa njia hiyo, baada ya jitihada za Mahakama ya Tanzania kununua vifaa maalumu vya kuendesha mahakama kwa mtandao kwa ajili ya mahakama mbalimbali nchini, ikiwa ni hatua za kuepuka kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa (COVID 19) sambamba na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani