Jaji Mahakama Kuu alia na ada kubwa za mawakili
JAJI Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa, Mary Shangali amesema serikali ina wajibu wa kuhakikisha wananchi wanapata huduma za kimahakama bila vikwazo vya kiufundi wala gharama kubwa za ada au malipo ya mawakili.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo05 Feb
Mahakama Kuu yaonya mawakili
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha imewaonya baadhi ya mawakili na mahakimu kuacha mara moja tabia ya kugeuza mahakama kuwa kichaka vya kuchelewesha upatikanaji wa haki, hali hiyo ikitajwa kwa kiasi kikubwa kuchangiwa na baadhi yao kuendekeza maslahi binafsi.
11 years ago
Michuzi20 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rNPZS60ZMWQ/VcJ3rdKOB2I/AAAAAAAHubQ/ANEbD-UyiTo/s72-c/j18%2B%25281%2529.jpg)
JK aapisha jaji mmoja wa mahakama ya rufani na 13 wa mahakama kuu Ikulu jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-rNPZS60ZMWQ/VcJ3rdKOB2I/AAAAAAAHubQ/ANEbD-UyiTo/s640/j18%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yspK-7ao_O0/VZOc3BErh6I/AAAAAAAHmLA/lpF5ryAjhe4/s72-c/t1.png)
TANGAZO KWA UMMA, MAWAKILI NA WADAU WOTE WA MAHAKAMA KUU, KANDA YA DAR ES SALAAM
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAHAKAMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-yspK-7ao_O0/VZOc3BErh6I/AAAAAAAHmLA/lpF5ryAjhe4/s1600/t1.png)
TUNAPENDA KUTOA TAARIFA RASMI KUWA KUANZIA TAREHE 1 JULAI, 2015 SHUGHULI ZA USIKILIZAJI WA MASHAURI KWA NJIA YA USULUHISHI (ALTERNATIVE DISPUTE RESOLUTION – ADR) ZIMEHAMIA KWENYE JENGO LA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC HOUSE), GHOROFA YA TATU MTAA WA SAMORA JIJINI DAR ES SALAAM. JENGO HILO KWA SASA LINATUMIWA PIA NA MAHAKAMA KUU, DIVISHENI YA ARDHI.
KWA MAELEZO NA UFAFANUZI PIGA SIMU NA. 022 2111131 AU 022 2110927 AU 0754 454600 NA BARUA PEPE...
![](http://3.bp.blogspot.com/-yspK-7ao_O0/VZOc3BErh6I/AAAAAAAHmLA/lpF5ryAjhe4/s1600/t1.png)
TUNAPENDA KUTOA TAARIFA RASMI KUWA KUANZIA TAREHE 1 JULAI, 2015 SHUGHULI ZA USIKILIZAJI WA MASHAURI KWA NJIA YA USULUHISHI (ALTERNATIVE DISPUTE RESOLUTION – ADR) ZIMEHAMIA KWENYE JENGO LA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC HOUSE), GHOROFA YA TATU MTAA WA SAMORA JIJINI DAR ES SALAAM. JENGO HILO KWA SASA LINATUMIWA PIA NA MAHAKAMA KUU, DIVISHENI YA ARDHI.
KWA MAELEZO NA UFAFANUZI PIGA SIMU NA. 022 2111131 AU 022 2110927 AU 0754 454600 NA BARUA PEPE...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GZ51wuc-YC0/U9JUlXTiXaI/AAAAAAACmM8/RCMSPdKt7nU/s72-c/PIX01.jpg)
Rais Kikwete amuapisha Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania.
![](http://1.bp.blogspot.com/-GZ51wuc-YC0/U9JUlXTiXaI/AAAAAAACmM8/RCMSPdKt7nU/s1600/PIX01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JwNZt2mDaDY/U9JUl6CNHNI/AAAAAAACmNA/_Z5YPtm_xzw/s1600/PIX02.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7KNFtVb2Gn8/U9JUmYQz_8I/AAAAAAACmNM/5WutzfvrOyM/s1600/PIX03.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-yO4cgtaVy_Q/XkjoOLFafQI/AAAAAAACHtM/-xdfBVCm7pUk7MzpEjV6JTI2n6fh2oUPACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200216-WA0019.jpg)
JAJI WA MAHAKAMA KUU YA ZANZIBAR MKUSA ISSAC SEPETU AMEFARIKI DUNIA LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-yO4cgtaVy_Q/XkjoOLFafQI/AAAAAAACHtM/-xdfBVCm7pUk7MzpEjV6JTI2n6fh2oUPACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200216-WA0019.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-f5OD4F0fcaU/XkkFgZEs0cI/AAAAAAAAmuE/_67-noGjE6AmLIRzlx_8TbDBzOX7tu0JQCLcBGAsYHQ/s72-c/fe7cc182-8e9a-4938-a907-18314cfd9b19.jpg)
JAJI SEPETU WA MAHAKAMA KUU ZANZIBAR AFARIKI DUNIA, KUZIKWA LEO KIJIJINI KWAO MBUZINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-f5OD4F0fcaU/XkkFgZEs0cI/AAAAAAAAmuE/_67-noGjE6AmLIRzlx_8TbDBzOX7tu0JQCLcBGAsYHQ/s640/fe7cc182-8e9a-4938-a907-18314cfd9b19.jpg)
NA ANDREW CHALE, UNGUJA,ZANZIBAR
JAJI wa Mahakama Kuu ya Zanzibar Mhe Mkusa Issack Sepetu amefariki Dunia asubuhi ya leo na mjini hapa.
Kwa mujibu wa taarifa ya Afisa Habari wa Mahakama Kuu Zanzibar, asubuhi ya leo February 16, ilieleza taarifa juu ya kifo hicho.
Pia inaelezwa kuwa, maziko yanataraji kufanyika leo saa 10 Kijijini kwao Mbuzini.
Enzi za uhai wake amewahi kushika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na baadae Kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1dr6ZkSDy4M/U-z3-9gC0aI/AAAAAAAF_sI/U2aI0VEeBlc/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
MTUMISHI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA AAGWA BAADA YA KUTEULIWA KUWA JAJI WA MAHAKAMA KUU NA RAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-1dr6ZkSDy4M/U-z3-9gC0aI/AAAAAAAF_sI/U2aI0VEeBlc/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0b17erpoxMk/U-z3-elcnfI/AAAAAAAF_sE/3jL4eYmEPEo/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wZ95rsyc_bw/XkkKDdif_5I/AAAAAAALdj4/7nBxOExN2RUGv6QsoJhjNDzYdr-QzOWlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-16%2Bat%2B12.10.36.jpeg)
JAJI SEPETU WA MAHAKAMA KUU ZANZIBAR AFARIKI DUNIA, KUZIKWA LEO KIJIJINI KWAO MBUZINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wZ95rsyc_bw/XkkKDdif_5I/AAAAAAALdj4/7nBxOExN2RUGv6QsoJhjNDzYdr-QzOWlgCLcBGAsYHQ/s1600/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-16%2Bat%2B12.10.36.jpeg)
JAJI wa Mahakama kuu ya Zanzibar Mhe Mkusa Issack Sepetu amefariki dunia asubuhi ya leo na mjini hapa.
Kwa mujibu wa taarifa ya Afisa Habari wa Mahakama Kuu Zanzibar, asubuhi ya leo February 16, ilieza taarifa juu ya kifo hicho.
Pia inaelezwa kuwa, maziko yanataraji kufanyika leo saa 10 Kijijini kwao Mbuzini.
Enzi za uhai wake amewahi kushika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Mwanasheria mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na baadae Kaimu jaji mkuu wa Zanzibar.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania