Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Salam kwa Wana DMV toka kwa Harriet Shangarai

Ndugu zangu wanaDMV, nilikuja kwenu rasmi nikiomba kura zenu.Nia yangu ikiwa ni kuungana nanyi katika kutafuta njia za kutatua changamoto zinazotukabili hapa ugenini.
Malengo niliyo nayo kwa jumuiya hii na kwa jamii kwa ujumla sio malengo ya mpito.
Sisi wanaDiaspora tumeaacha nchi yetu nzuri, wazazi,watoto, ndugu hata marafiki kwa nia ya kuja kutafuta ahueni ya maisha.Maumivu na changamoto za ugenini ni sababu tosha za kutoruhusu jambo lolote kupotosha malengo yetu.
Nipo pamoja nanyi kama...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Sera za Harriet Shangarai mgombeya wa jumuiya ya watanzania DMV

Na Hariet Shangaei Washington DC

Ndugu WanaDMV, kwa heshima na taadhima nachukua nafasi hii kujitambulisha kwenu rasmi kama Mgombea wa Nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV.

DSC00335 (2)

Hariet Shangarai, Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV alipikuwa katika kampeni.(Photo Via Swahilivillablog)

Nikiwa na mapenzi ya dhati kwa jamii,nimekuwa mtetezi wa haki za watoto yatima toka utotoni mwangu. Binafsi, nilijitoa kwa kidogo nilichokuwanacho na pia,...

 

11 years ago

Michuzi

SERA ZA HARRIET SHANGARAI MGOMBEA UMAKAMU MWENYEKITI WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV

Na Hariet Shangaei Washington DC  Ndugu WanaDMV, kwa heshima na taadhima nachukua nafasi hii kujitambulisha kwenu rasmi kama Mgombea wa Nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV. Hariet Shangarai, Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV alipikuwa katika kampeni. (Photo Via Swahilivillablog)
Nikiwa na mapenzi ya dhati kwa jamii,nimekuwa mtetezi wa haki za watoto yatima toka utotoni mwangu. Binafsi, nilijitoa kwa kidogo nilichokuwanacho na pia,...

 

11 years ago

Michuzi

HARRIET SHANGARAI: MGOMBEA WA NAFASI YA MAKAMU WA RAIS WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV ANAOMBA KURA YAKO

Ndugu WanaDMV, kwa heshima na taadhima nachukua nafasi hii kujitambulisha kwenu rasmi kama Mgombea wa Nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV.HARRIET SHANGARAI
Nikiwa na mapenzi ya dhati kwa jamii,nimekuwa mtetezi wa haki za watoto yatima toka utotoni mwangu. Binafsi, nilijitoa kwa kidogo nilichokuwanacho na pia, nimekuwa muhamasishaji wa misaada ya elimu,chakula mavazi na malazi kwa watoto yatima. Kwa ufupi  nimeona mafanikio ya kina, japo bado wahitaji ni wengi.Vile vile,...

 

11 years ago

Michuzi

SHUKRANI ZA DHATI KWA WANA-DMV

Ndugu zangu WanaDMV, mimi Harriet Shangarai nakuja mbele yenu kuwashukuru kwa kujitokeza kwa wingi ili kushiriki katika zoezi la kidemokrasia -Kupitia  kura, sauti za wanaDMV  zimesikika. 
Ushirikiano na Upendo mlio onyesha ndio msingi utakaotuletea maendeleo ya kweli.Mbele yetu tuna kazi kubwa, lakini kwa moyo  mliyoonyesha nina imani tutaweza.Asanteni saana. Palipo na Umoja pana  Ushindi. PS

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI AWAASA WANA DMV KUJITOKEZA KWA WINGI KATIKA SHEREHE ZA MUUNGANO

Embassy pics 016Mh.Balozi wa Tanzania Marekani na Mexico Liberata Mula mula akizungumzia maandalizi ya sherehe za miaka 50 ya muungano ofisini kwake Washington Dc Jumatano, Aprili 23, 2014. Embassy pics 037Mwenyekiti mwenza wa kamati ya maandalizi afisa ubalozi Suleiman Saleh akijibu maswali ya mabloger wa DMV,kulia kwake ni Dickson Mkama wa Swahili TV blog. Embassy pics 018Mh, balozi akijibu maswali kushoto ni Sunday Shomari na kulia kwa balozi ni Mubelwa Bandio wa Kwanza production. Embassy pics 007Mh.balozi akishauriana jambo na mkuu wa kitengo cha...

 

10 years ago

Vijimambo

WANA DMV WAHANI MSIBA NYUMBANI KWA KINA MARY MGAWE TANZANIA



Mona, Libe wakiwa na Mary mgawe, Tino, Lukia Mtingwa na Lazia nyumban kwa marehemu

Mona, Bernad, Augustino na Libe msibani

 

10 years ago

Vijimambo

AY ATUMA SALAM ZA POLE KWA JOSE CHAMELEONE KWA KIFO CHA AK47

Mwanamuziki wa kizazi kipya nchini Tanzania AY amemtumia Jose Chameleone kwa kifo cha kaka yake ambaye pia ni mwamnamuziki nchini Uganda.

Marehemu Emmanuel Mayanja maarufu kwa jina la AK47 amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali baada ya kuanguka akiwa bafuni.

Taarifa zimeeleza kuwa kabla ya mauti kumkuta, AK47 alikuwa katika baa moja ya usiku iliyopo eneo la Kabalagala pamoja na marafiki zake.

Imeelezwa kuwa alidondoka akiwa bafuni wakati akiongea na simu na kukimbizwa katika...

 

10 years ago

Michuzi

Salam za Rambirambi kutoka kwa Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa Familia ya Marehemu Brigedia Hashim Mbita

 Nimeshtushwa sana na kifo cha Kiongozi huyu mashuhuri aliyechangia kwa dhati harakati za ukombozi wa Bara la Afrika. Nimehuzunishwa mno, mimi Binafsi, Familia yangu na nina imani msiba huu mzito sio wa Watanzania peke yao, bali ni wa Bara zima la Afrika kwa ujumla. Katika harakati za kumzika kiongozi huyo, sitokuwepo kwa kuwa niko safarini lakini nitawakilishwa na wanangu wakiongozwa na Dkt Hussein. Kwa Mola tumetoka na kwake Mola sote tutarejea. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Apartments kuuzwa kwa njia ya mortgage kwa Wana-Diaspora wa Tanzania huko Zanzibar!

ZACADIA, which stands for Zanzibar-Canadian Diaspora Association holds a BBQ event annually and in this year of 2015, the event was sponsored by the People's Bank of Zanzibar Limited - The People's Bank, The People's Choice!
For more details on PBZ Diaspora Accounts (features & benefiits) and on ZSSF Mbweni apartments for Diaspora communities, click here:
Many Zanzibaris living in Toronto took application forms to open Diaspora accounts and Online Mobile Banking with the People's Bank of...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani