Mjumbe ataka TBC ionyeshe picha za Karume
>Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Mussa Haji Kombo amelalamikia kitendo cha makala mbalimbali za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, kutokuonyesha picha za mmoja wa waasisi wa Muungano huo, Hayati Abeid Aman Karume.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Zitto ataka TBC kuchunguzwa
10 years ago
Habarileo29 Sep
Mjumbe ataka marekebisho Bunge la Katiba
SIKU chache baada ya Bunge Maalumu la Katiba (BMK) kupokea rasimu ya Katiba mpya iliyopendekezwa, mmoja wa wajumbe wa bunge hilo anayetoka kundi la 201, John Ndumbaro ameibukia mjini hapa na kutaka vipengele kadhaa vifanyiwe marekebisho.
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Mjumbe ataka JK apewe Tuzo ya Katiba
10 years ago
Habarileo19 Aug
Mjumbe Bunge Maalum ataka Ukawa wapuuzwe
WATANZANIA wametakiwa kuwapuuza Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa maelezo kuwa Bunge Maalumu la Katiba likivunjwa na kurejea tena siku zijazo kundi hilo litatoka tena bungeni.
11 years ago
Habarileo01 Apr
Balozi Karume ataka muungano udumishwe
BALOZI mstaafu Ali Abeid Karume ametaka watanzania kuhakikisha wanatunza na kuudumisha muungano. Alisema Tanzania ni nchi pekee Afrika inayojivunia kuwa na muungano huo unaotimiza miaka 50 sasa.
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Mjumbe UVCCM ataka tume huru kashfa Escrow
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Mkoa wa Ruvuma, Khalfan Kigwenembe, amemuomba Rais Jakaya Kikwete kuunda Tume Huru ya kuchunguza tuhuma zilizotolewa na...
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Mjumbe ataka mijadala ya Katiba ‘izingatie hoja, si watu’ [VIDEO]
11 years ago
Mtanzania11 Aug
Bunge la Katiba: Mjumbe ataka atumiwe tiketi ya ndege Marekani
![Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Deus-Kibamba.jpg)
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba
Na Fredy Azzah, Dodoma
MWENYEKITI wa Jukwaa la Katiba Tanzania, Deus Kibamba, amesema mmoja wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba hadi sasa hajahudhuria vikao vya Bunge hilo kwa vile aliteuliwa akiwa Marekani.
Amesema mjumbe huyo pia amekuwa akiitaka Ofisi ya Bunge la Katiba imtumie tiketi ya ndege aweze kuhudhuria vikao hivyo vinavyoendelea mjini Dodoma.
Kibamba akizungumza na waandishi wa habari Dodoma jana, alisema tathmini ya wiki...
9 years ago
Bongo Movies22 Dec
Picha: Jionee Mafuriko, Diamond Akiwa Soko la Karume Mapema Leo
Mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platimumz mapema leo alikuwa viwanja vya soko la karume jiji Dar akitambulisha show yake ya Darlive siku ya tarehe 25,ambapo pia aliimba kidogo na kugawa CD za wimbo wake mpya wa UTANIPENDA.
Hizi ni baadhi ya picha za tukio hilo.
![diamond231](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/diamond231.jpg)
Diamond Akiwa Karume
![DIAMOND23412](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/DIAMOND23412.jpg)
Diamond Akiwa Karume