Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjumbe Bunge Maalum ataka Ukawa wapuuzwe

WATANZANIA wametakiwa kuwapuuza Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa maelezo kuwa Bunge Maalumu la Katiba likivunjwa na kurejea tena siku zijazo kundi hilo litatoka tena bungeni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mjumbe Bunge Maalum alazwa

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ziana Haji wa kundi la wajumbe 201, amelazwa katika Hospitali ya Mkoa Dodoma baada ya kupata mshtuko, alipopewa taarifa ya kifo cha baba yake.

 

10 years ago

Habarileo

Mjumbe ataka marekebisho Bunge la Katiba

SIKU chache baada ya Bunge Maalumu la Katiba (BMK) kupokea rasimu ya Katiba mpya iliyopendekezwa, mmoja wa wajumbe wa bunge hilo anayetoka kundi la 201, John Ndumbaro ameibukia mjini hapa na kutaka vipengele kadhaa vifanyiwe marekebisho.

 

11 years ago

CloudsFM

MJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA AJERUHIWA

Mjumbe wa bunge maalum la katiba kutoka kundi la 201,Thomas Magnus Mgoli amelazwa katika hospitali ya mkoa Dodoma baada ya kupigwa na wanaodaiwa kuwa 'vijana ambao mashabiki wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)'. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi akiwa kitandani kwake, Mgoli amesema alishambuliwa na vijana hao jana usiku majira ya saa moja eneo la area D anakoishi.
Amesema vijana hao hukutana nao mara kwa mara anapokwenda dukani na huzungumzia masuala ya bunge hilo, lakini...

 

11 years ago

Habarileo

Mjumbe Bunge Maalum apiga kura hospitalini

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka kundi 201, Thomas Mgoli, ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, amelazimika kupiga kura hospitalini, kushiriki kufanya uamuzi wa ibara alizoshiriki kujadili katika Kamati yake.

 

11 years ago

Mtanzania

Bunge la Katiba: Mjumbe ataka atumiwe tiketi ya ndege Marekani

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba

Na Fredy Azzah, Dodoma

MWENYEKITI wa Jukwaa la Katiba Tanzania, Deus Kibamba, amesema mmoja wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba hadi sasa hajahudhuria vikao vya Bunge hilo kwa vile aliteuliwa akiwa Marekani.

Amesema mjumbe huyo pia amekuwa akiitaka Ofisi ya Bunge la Katiba imtumie tiketi ya ndege aweze kuhudhuria vikao hivyo vinavyoendelea mjini Dodoma.

Kibamba akizungumza na waandishi wa habari Dodoma jana, alisema tathmini ya wiki...

 

11 years ago

Michuzi

MJUMBE MWIGULU NCHEMBA ALIPOCHANGIA KWENYE BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO

Mhe. Mwigulu Nchemba alivyochangia katika mjadala wa kupigwa  kura za siri ama kura za wazi katika Bunge Maalum la katiba mjini Dodoma leo, na kuleta mtafaruku mkubwa miongoni mwa wajumbe. Hatimaye iibidi aombe radhi na kufuta usemi wake baada ya kutakiwa kufanya hivyo na Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo Mhe Samia Suluhu Hassan.

 

11 years ago

Michuzi

SITTA AMJULIA HALI MJUMBE WA BUNGE MAALUM ALIYEJERUHIWA NA WATU WASIOJULIKANA

 Mwenyekiti wa Bunge Maalum Mhe. Samuel Sitta akimjulia hali mjumbe wa Bunge Maalum kutoka kundi la 201 Mhe. Thomas Mgoli aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma  baada ya kujeruhiwa na watu wasiojikana wakati akipata huduma katika duka moja lililopo karibu na mahali anapoishi Mjini Dodoma. Picha na Owen Mwandumbya

 

11 years ago

Michuzi

Mhe.Kajubi Mkajanga ala kiapo kuwa mjumbe wa Bunge maalum la katika

Mwenyekiti wa Bunge Maalum Mhe.Samweli Sitta akimwapisha mwakilishi wa vyombo vya habari katika bunge maalum Mhe.Kajubi Mkajanga mjini Dodoma leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani