Mjumbe Bunge Maalum alazwa
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ziana Haji wa kundi la wajumbe 201, amelazwa katika Hospitali ya Mkoa Dodoma baada ya kupata mshtuko, alipopewa taarifa ya kifo cha baba yake.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 Aug
Mjumbe Bunge la Katiba apigwa, alazwa
MJADALA kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya, umeingia hatua nyingine baada ya Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgoli, kupigwa na kulazwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma na wanaodhaniwa kuwa wafuasi wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Mjumbe Bunge Maalumu augua ghafla, alazwa
11 years ago
Michuzi27 Feb
11 years ago
CloudsFM12 Aug
MJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA AJERUHIWA
Mjumbe wa bunge maalum la katiba kutoka kundi la 201,Thomas Magnus Mgoli amelazwa katika hospitali ya mkoa Dodoma baada ya kupigwa na wanaodaiwa kuwa 'vijana ambao mashabiki wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)'. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi akiwa kitandani kwake, Mgoli amesema alishambuliwa na vijana hao jana usiku majira ya saa moja eneo la area D anakoishi.
Amesema vijana hao hukutana nao mara kwa mara anapokwenda dukani na huzungumzia masuala ya bunge hilo, lakini...
11 years ago
Habarileo13 Aug
Mjumbe Bunge Maalum apiga kura hospitalini
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka kundi 201, Thomas Mgoli, ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, amelazimika kupiga kura hospitalini, kushiriki kufanya uamuzi wa ibara alizoshiriki kujadili katika Kamati yake.
10 years ago
Habarileo19 Aug
Mjumbe Bunge Maalum ataka Ukawa wapuuzwe
WATANZANIA wametakiwa kuwapuuza Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa maelezo kuwa Bunge Maalumu la Katiba likivunjwa na kurejea tena siku zijazo kundi hilo litatoka tena bungeni.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lDRj_LUmqEw/U-jbfvzMbZI/AAAAAAAF-e4/9SpzOp4iv90/s72-c/unnamed+(30).jpg)
SITTA AMJULIA HALI MJUMBE WA BUNGE MAALUM ALIYEJERUHIWA NA WATU WASIOJULIKANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-lDRj_LUmqEw/U-jbfvzMbZI/AAAAAAAF-e4/9SpzOp4iv90/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-p9YQQiZYBns/U-jbfatBO5I/AAAAAAAF-e0/HD3401SJOmE/s1600/unnamed+(31).jpg)
11 years ago
Michuzi28 Mar
MJUMBE MWIGULU NCHEMBA ALIPOCHANGIA KWENYE BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qQx-yx0M-1k/UycVd3C-IuI/AAAAAAAFUME/DdlY_MHylAU/s72-c/unnamed+(67).jpg)
Mhe.Kajubi Mkajanga ala kiapo kuwa mjumbe wa Bunge maalum la katika
![](http://1.bp.blogspot.com/-qQx-yx0M-1k/UycVd3C-IuI/AAAAAAAFUME/DdlY_MHylAU/s1600/unnamed+(67).jpg)