Mjumbe Bunge la Katiba apigwa, alazwa
MJADALA kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya, umeingia hatua nyingine baada ya Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgoli, kupigwa na kulazwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma na wanaodhaniwa kuwa wafuasi wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo25 Apr
Mjumbe Bunge Maalum alazwa
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ziana Haji wa kundi la wajumbe 201, amelazwa katika Hospitali ya Mkoa Dodoma baada ya kupata mshtuko, alipopewa taarifa ya kifo cha baba yake.
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Mjumbe Bunge Maalumu augua ghafla, alazwa
11 years ago
Michuzi27 Feb
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba-3
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mjumbe Bunge la Katiba afukuzwa
MJUMBE wa Bunge la Katiba, Rashid Yussuf Mshenga amefukuzwa uanachama wa Chama cha Wakulima (AFP). Kitendo hicho kimefanywa na Mwenyekiti wa chama hicho, Said Soud. Hata hivyo, Mshenga amepinga kitendo hicho na kudai ni matokeo ya wivu wa maendeleo.
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba-2
10 years ago
Habarileo29 Sep
Mjumbe ataka marekebisho Bunge la Katiba
SIKU chache baada ya Bunge Maalumu la Katiba (BMK) kupokea rasimu ya Katiba mpya iliyopendekezwa, mmoja wa wajumbe wa bunge hilo anayetoka kundi la 201, John Ndumbaro ameibukia mjini hapa na kutaka vipengele kadhaa vifanyiwe marekebisho.
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Mjumbe aonya machafuko Bunge la Katiba