Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba-3
Wiki iliyopita shuhuda wa simulizi hii Mwandishi Salma Said, alianza kuelezea yale yaliyojitokeza wakati wa upigaji kura ndani ya lililokuwa Bunge Maalumu la Katiba, ambapo aliishia sehemu ambayo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitakiwa kuitisha kikao cha kuwaunganisha Wazanzibari kuzungumzia mahitaji yao.Endelea…
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba-2
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba
11 years ago
Michuzi27 Feb
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mjumbe Bunge la Katiba afukuzwa
MJUMBE wa Bunge la Katiba, Rashid Yussuf Mshenga amefukuzwa uanachama wa Chama cha Wakulima (AFP). Kitendo hicho kimefanywa na Mwenyekiti wa chama hicho, Said Soud. Hata hivyo, Mshenga amepinga kitendo hicho na kudai ni matokeo ya wivu wa maendeleo.
10 years ago
Habarileo29 Sep
Mjumbe ataka marekebisho Bunge la Katiba
SIKU chache baada ya Bunge Maalumu la Katiba (BMK) kupokea rasimu ya Katiba mpya iliyopendekezwa, mmoja wa wajumbe wa bunge hilo anayetoka kundi la 201, John Ndumbaro ameibukia mjini hapa na kutaka vipengele kadhaa vifanyiwe marekebisho.
11 years ago
CloudsFM12 Aug
MJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA AJERUHIWA
Mjumbe wa bunge maalum la katiba kutoka kundi la 201,Thomas Magnus Mgoli amelazwa katika hospitali ya mkoa Dodoma baada ya kupigwa na wanaodaiwa kuwa 'vijana ambao mashabiki wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)'. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi akiwa kitandani kwake, Mgoli amesema alishambuliwa na vijana hao jana usiku majira ya saa moja eneo la area D anakoishi.
Amesema vijana hao hukutana nao mara kwa mara anapokwenda dukani na huzungumzia masuala ya bunge hilo, lakini...
11 years ago
GPLMJUMBE AMTAKA JK AVUNJE BUNGE LA KATIBA
11 years ago
Habarileo12 Aug
Mjumbe Bunge la Katiba apigwa, alazwa
MJADALA kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya, umeingia hatua nyingine baada ya Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgoli, kupigwa na kulazwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma na wanaodhaniwa kuwa wafuasi wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Mjumbe aonya machafuko Bunge la Katiba