Mhe.Kajubi Mkajanga ala kiapo kuwa mjumbe wa Bunge maalum la katika
![](http://1.bp.blogspot.com/-qQx-yx0M-1k/UycVd3C-IuI/AAAAAAAFUME/DdlY_MHylAU/s72-c/unnamed+(67).jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum Mhe.Samweli Sitta akimwapisha mwakilishi wa vyombo vya habari katika bunge maalum Mhe.Kajubi Mkajanga mjini Dodoma leo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi27 Feb
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YcoK8_vUeIQ/VnS5d26Iq5I/AAAAAAAINUk/XvBp4VzaOL4/s72-c/7389837a-7f4e-427d-9748-21651ba272b2.jpg)
WAZIRI KITWANGA ALA KIAPO CHA KUWA MWENYEKITI WA TUME YA UTUMISHI YA JESHI LA POLISI NA MAGEREZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-YcoK8_vUeIQ/VnS5d26Iq5I/AAAAAAAINUk/XvBp4VzaOL4/s640/7389837a-7f4e-427d-9748-21651ba272b2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2rxhJM9YFao/VnS5d_vIJfI/AAAAAAAINUg/9y4RUXGZckI/s640/bddc4380-75c8-41ed-a62b-7ca7989b5fd9.jpg)
10 years ago
MichuziRAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kAXfjm4U3Jo/U1l5ZYFZ3VI/AAAAAAAFcvE/CbrYfmAIhZs/s72-c/10294462_10154034980515247_474516434794562394_n.jpg)
11 years ago
Habarileo25 Apr
Mjumbe Bunge Maalum alazwa
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ziana Haji wa kundi la wajumbe 201, amelazwa katika Hospitali ya Mkoa Dodoma baada ya kupata mshtuko, alipopewa taarifa ya kifo cha baba yake.
11 years ago
CloudsFM12 Aug
MJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA AJERUHIWA
Mjumbe wa bunge maalum la katiba kutoka kundi la 201,Thomas Magnus Mgoli amelazwa katika hospitali ya mkoa Dodoma baada ya kupigwa na wanaodaiwa kuwa 'vijana ambao mashabiki wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)'. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi akiwa kitandani kwake, Mgoli amesema alishambuliwa na vijana hao jana usiku majira ya saa moja eneo la area D anakoishi.
Amesema vijana hao hukutana nao mara kwa mara anapokwenda dukani na huzungumzia masuala ya bunge hilo, lakini...
10 years ago
Habarileo19 Aug
Mjumbe Bunge Maalum ataka Ukawa wapuuzwe
WATANZANIA wametakiwa kuwapuuza Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa maelezo kuwa Bunge Maalumu la Katiba likivunjwa na kurejea tena siku zijazo kundi hilo litatoka tena bungeni.
10 years ago
Habarileo13 Aug
Mjumbe Bunge Maalum apiga kura hospitalini
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka kundi 201, Thomas Mgoli, ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, amelazimika kupiga kura hospitalini, kushiriki kufanya uamuzi wa ibara alizoshiriki kujadili katika Kamati yake.